Katiba ibadilishwe,marais wastaafu waruhusiwe kugombea,tuanze na Jakaya Kikwete 2030

Katiba ibadilishwe,marais wastaafu waruhusiwe kugombea,tuanze na Jakaya Kikwete 2030

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.
 
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.


Huyu jamaa mambo ya ajira na mzunguko wa PESA aliyawezea Sana.
 
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.

Hivi mtu akishindwa uchaguzi anakuwa ni mstaafu ...!!?
 
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.
Marekani Donald Trump anaruhusiwa kugombea tena kwa kuwa hakuwa rais katika terms 2.

Hata Tanzania, Kikwete angekuwa ametumikia urais kwa term moja tu, angeruhusiwa kugombea tena urais.

Barack Obama, rais ambaye amekuwa rais kwa terms 2, haruhusiwi kugombea urais tena.

Umeelewa?
 
Marekani Donald Trump anaruhusiwa kugombea tena kwa kuwa hakuwa rais katika terms 2.

Barack Obama, rais ambaye amekuwa rais kwa terms 2, haruhusiwi kugombea urais tena.

Umeelewa?
Hatucopy kila kitu,sisi waafrica tunajuana hata kiaka 30 ikulu ni kawaida,Kagane anaenda muhula wa 5 huu,Jk bado tunamuhitaji,
 
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.
Kuna topic ulikuwa unaandika vizuri lakini hii, duuu!!!!!!!!!!!! Hivi unataka Tanzania irudi tena zama za uwanja wa Ndege kuwa upenyezo wa madawa ya kulevya? Kuna nchi tulikuwa tunaingia hatuulizwi kitu baada ya JK mambo yakawa magumu. Brazil, Hong Kong, USA, Ulaya karibu nchi zote. Huyu wacha apumzike huyu hana uchungu hata wa fedha z umma.
Unakumbuka hadi yule sijui Mnikulu Gambo, anamwambia judge ati huku nimejaza pesa na huku niazo nako kumejaa, Drugmakers walijaa mjini duuu. Escrow na mafurushi ya pesa. Ulimboka na Mwanepande si ndiyo ilianza hapa? Richmond ------------------------------------
 
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.
Cra.p!
By Rev Kishoka
 
Back
Top Bottom