Katiba ibadilishwe,marais wastaafu waruhusiwe kugombea,tuanze na Jakaya Kikwete 2030

Katiba ibadilishwe,marais wastaafu waruhusiwe kugombea,tuanze na Jakaya Kikwete 2030

Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.
Awe rais wenu na familia yenu. Nyie mkipata tu mwanaume akawahonga mnataka awe kila kitu kwa wote.
 
Hatucopy kila kitu,sisi waafrica tunajuana hata kiaka 30 ikulu ni kawaida,Kagane anaenda muhula wa 5 huu,Jk bado tunamuhitaji,
Kaeni mkiota ndoto tu.

Tanzania mwisho ni mihula miwili.

Ukiweza kubadikisha njoo hapa utuhabarishe.

Kwa sasa hizo ni ndoto za alinacha.
 
kweli ccm imeweza kwenye swala la kukuza vijana wa hovyo wasio na mtazamo wa mbali.....
 
Kuna topic ulikuwa unaandika vizuri lakini hii, duuu!!!!!!!!!!!! Hivi unataka Tanzania irudi tena zama za uwanja wa Ndege kuwa upenyezo wa madawa ya kulevya? Kuna nchi tulikuwa tunaingia hatuulizwi kitu baada ya JK mambo yakawa magumu. Brazil, Hong Kong, USA, Ulaya karibu nchi zote. Huyu wacha apumzike huyu hana uchungu hata wa fedha z umma.
Unakumbuka hadi yule sijui Mnikulu Gambo, anamwambia judge ati huku nimejaza pesa na huku niazo nako kumejaa, Drugmakers walijaa mjini duuu. Escrow na mafurushi ya pesa. Ulimboka na Mwanepande si ndiyo ilianza hapa? Richmond ------------------------------------
Njaaa mbaya sana hasa ikiingia kwenye ubongo. Wanataka kurudisha kinyesi tumboni wakidhani kitakuwa tena chakula.
 
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.
Kwani watanzania wengine hawana uwezo huo mpaka kung'ang'ania mtu mmoja?
 
Donald Trump ni Rais mstaafu wa USA
Bila shaka kuwa kwake bench kwa miaka hii minne amejifunza mengi kama observer na anajutia mengi ambayo aliyafanya au hakuyafanya.

Trust me akipita atakuwa Rais bora sana kuliko tunavyomchukulia.

Hata kule Russia,Putin na Medinev wamepokezana sana kiti cha urais,

Katiba zao zinaruhusu hilo jambo,ya kwetu hairuhusu.

Tuna Rais mstaafu mmoja tu na bado ana nguvu,miaka 74,Trump ana 76,Biden nadhani 80+ au 90

Kikwete ni hazina ya Taifa hili,apewe nafasi nyingine muone kama waalimu wote na madaktari hawataajiriwa.
Atake asitake alazimishwe naona mmekuja kivingine
 
Na mwanao mwenye ndoto ya kuwa rais atagombea lini??

Kweli kuna baadhi ya waafrika akili zenu ni fupi sana kama punje ya mchanga.

Shenzi kabisa
 
Kama Lowassa mlimuita mstaafu Trump ni nani sasa.
Ofcoz Trump ni mstaafu na anapewa prevelegies zote za retired president kuanziaallowances mpaka ulinzi,usimchukulie powa
Trump ni raisi wa zamani
Lowasa kiuhalisia alipaswa kuitwa waziri mkuu wa zamani kwani alijihuzuru kwa kashfa
Kuna tofauti kati ya mstaafu na wazamani
 
Na mwanao mwenye ndoto ya kuwa rais atagombea lini??

Kweli kuna baadhi ya waafrika akili zenu ni fupi sana kama punje ya mchanga.

Shenzi kabisa
Mwanangu yupi,unadhani kuwa Rais ni kwa kila mtu?
 
Back
Top Bottom