Viongozi wakuu wa serikali mafao yao huwa ni 80% ya mshahara wa viongozi walio madarakani.
Swali langu:
Viongozi walioshika nafasi za juu kwenye pande tofauti za muungano yaani Zanzibar na Tanzania bara wanachukua pension mara mbili.
Mfano Shein amekuwa makamu wa Rais Tanzania na Rais wa Zanzibar. Mafao anadaka kote?
80% ya rais wa Zanzibar na 80% ya makamu wa rais JMT?
Ahsante.
Swali langu:
Viongozi walioshika nafasi za juu kwenye pande tofauti za muungano yaani Zanzibar na Tanzania bara wanachukua pension mara mbili.
Mfano Shein amekuwa makamu wa Rais Tanzania na Rais wa Zanzibar. Mafao anadaka kote?
80% ya rais wa Zanzibar na 80% ya makamu wa rais JMT?
Ahsante.