Katiba inasemaje kuhusu uteuzi wa Bashiru Ally?

Kama nimekuelewa ,unachotaka kusema ni kuwa, kwa Sasa nchi yetu haina rais kwa mujibu wa katiba yetu,siyo?
Sawa kabisa.

Kama uchaguzi ulikuwa batili, nchi itakuwa na rais kwa vipi? Ni mtu aliyejitwalia tu madaraka na kutumia njia zote kujisafishia urais wake.

Lakini labda nirudi nyuma kidogo: Si 'alitangazwa na tume ya uchafuzi' kuwa ameshinda uchafuzi? Hiyo pekee inamhalalisha kuwa yeye ni rais.
Nadhani katiba inalitambua hilo na hakuna yeyote anayeweza kupingana na hilo, hata mahakama haina uwezo nalo!

Maajabu ni hayo mkuu wangu!
 
Ila tatizo ni kwamba hata hili la 'mijadala' huenda haliwezekani, kwa sababu "mijadala itatuchelewesha kuwaletea wanyonge maendeleo" kwa hiyo mijadala ikianza tu inapigwa marufuku!

Itachukua watu waliodhamiria kweli kwweli kuifanya kazi kama hiyo kwa ufanisi, na inahitaji watu waliojipanga vizuri na wawe ni watu wa subira, kwani matokeo hayaonekani kwa muda mfupi.

Kwa sasa hivi hakuna watu walio tayari kufanya kazi ya namna hiyo.
 
Katiba na sheria haziusiki na uteuzi wa Ndg Bashiru... labda wameamua kujaribu ubashite ktk vigezo...

Nguvu za Chifu Burigi pia zimeusika [emoji849][emoji849]
 
JPM hata afanye nini wewe huwezi kupongeza. Onyesha mahali popote pale kwenye hii Forum ulipompongeza. Unafiki sio kitu kizuri jipime mkuu, then umri ndio umekwenda hivyo. Kila mtu atalipwa kwa wema wake na mabaya yake.
 
Mtoa hoja anaongelea katiba gani?vipi tuna katiba au tuna no 1 ambaye kila kitu kinamzunguka yeye?nchi haina katiba ila tuna very very strong statesman.
😂Kila kiitwacho katiba kipo compressed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…