Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya Wabunge au ukumbi wa Bunge

Lete sheria hapa acha upoyoyo
 

Kwa hiyo bafu la Bunge ni Bungeni mkuu??
 
Kama ni hivyo mbona hawajawahi kwenda kuendesha vikao vya bunge bafuni au nje ya ukumbi wakafanya kikao getini pale?? Kwanini wanaingia ndani wakati nje pia kuna nafasi wanaweza weka turubai tu wakafanya vikao vyao.
Sema ukishakua mataga kuna akili pia unapoteza kidogo kwahiyo haishangazi.
 
Kuna tofauti kati ya Ukumbi wa bunge(majengo ya bunge) na bunge. Ni vitu viwili tofauti kabisa.
Bunge ni kikao rasmi cha wawakilishi wa wananchi kinachokaa kikatiba kikiwa na wabunge na spika.

Katiba inasema wabunge wapya wataapa kwenye bunge na sio kwenye majengo ya bunge, garage ya bunge, baraza la bunge, vyoo vya bunge nk.
 
Umehamia lini Chadema comrade?
 
Ila wanasiasa wqnatuchezea saana... yaani kaissue kadogo kama haka mnazunguka mbuyu...

Sio bure hatuendelei... Mdee tumepata baraka za chama.

NEC tumepokea majina kutoka CDM.

CDM hatujawapa NEC majina yoyote.

kuna umbali gani kutoka Mbowe alipo hadi ofisi za NEC!..nenda uliza nani kawapa majina na fanyia press hapo....Nipo NEC na hatujawapa majina.

NEC waseme nani kawapa majina.....

CDM fungua kesi....aliyehand majina ashikiliwe.....

Ila yote haya hayawezi fanyika maana wengi mnachotaka sio maendeleo ya watu....ni mivutano na ubinafsi uliowajaa.
 
Ivi mbowe ni mwanasheria? Naona ametiririka vizuri sana kwenye vile vifungu bila tabu, hotuba yake nzuri sana world class. Akiongea unapata hisia kweli kiongozi wa juu anaongea muda huu

Shida na mateso umpa mwanadamu uzoefu wa kupambana
 
Wapinzani si wanatuchelewesha?? Wa nini sasa.
 


Wewe angu umepata akili umewahi kuona mbunge anaapishwa kwa staili hiyo?????
 
bunge sio majengo wala watu
Bunge ni wabunge
 
Daah nimecheka hapo kwenye bafu, mawazo yangu yamejikuta yamefika mbali sana
Haa πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜…
Umefika Mbali Sana Kwa Professor Juma Athuman Kapuya
Na Dkt Pius G'wandu
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 

soma kifungu namba 68 ukielewe vizuri
 
Katiba inasema National Assembly kwa maana ya kikao na kiswahili chake ni mbele ya bunge kwa maana kikao na siyo jengo. Tukisema rais anahutubia bunge tuna maana ya kikao "wabunge" likiwa na siwa yake na siyo jengo
 
Tukumbuke kuwa serikali za jumuia ya EU hazitambui matokeo ya uchaguzi wa 2020.

Hatuna maelezo ya pesa zilizotolewa kupigana na COVID-19.

Serikali imefunguliwa kesi ICC.
KWANI EU NDIO WAMEPIGA KURA WATANZANIA WASINGEUTAMBUA UCHAGUZI NDIIO INGEKUWA SHIDA
WATANZANIA RAIS WETU TUNAMCHAGUA WENYEWE HATUCHAGULIWI NA EU, KWA HIYO WATAMBUE WASITAMBUE MATAKEO SISI HAITUHUSU...SISI NI NCHI HURU YENYE MAAMUZI YAKE...TUNAJUA CHADEMA AKILI ZENU ZISHADUMA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa tamaa zao hata chooni wangekubali kuapishwa kama ulivyosema almradi kiwe choo cha bunge.
Nakwambiaje hata kwenye gest za vyumba wangeapishwa

Chezea pesa ww chezea utamu wa madaraka
 
Kama neno bunge kwenye katiba inamaana ya majengo tungetegemea rais alipoenda kulivunja bunge angevunjilia mbali Yale majengo ya bunge
 
Sio suala la kuapa tu, hata namna walivyopatikana, fomu zao zipo chamani azijajazwa eti nimeletewa majina, je, walikutaarifu fomu zimeungua Moto? Tume imetoa fomu zinajazwa na kupelekwa tume, mbona kwa wagombea mliwaengua sababu fomu zilikosewa leo fomu zenu hazina maana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…