Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya Wabunge au ukumbi wa Bunge

Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya Wabunge au ukumbi wa Bunge

Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge .wakaapishwa.
Je wakiapa mbele ya Spika "gereji"?...😂😂😂
 
Ila wanasiasa wqnatuchezea saana... yaani kaissue kadogo kama haka mnazunguka mbuyu...

Sio bure hatuendelei... Mdee tumepata baraka za chama.

NEC tumepokea majina kutoka CDM.

CDM hatujawapa NEC majina yoyote.

kuna umbali gani kutoka Mbowe alipo hadi ofisi za NEC!..nenda uliza nani kawapa majina na fanyia press hapo....Nipo NEC na hatujawapa majina.

NEC waseme nani kawapa majina.....

CDM fungua kesi....aliyehand majina ashikiliwe.....

Ila yote haya hayawezi fanyika maana wengi mnachotaka sio maendeleo ya watu....ni mivutano na ubinafsi uliowajaa.
Twafwaa
 
Ila wanasiasa wqnatuchezea saana... yaani kaissue kadogo kama haka mnazunguka mbuyu...

Sio bure hatuendelei... Mdee tumepata baraka za chama.

NEC tumepokea majina kutoka CDM.

CDM hatujawapa NEC majina yoyote.

kuna umbali gani kutoka Mbowe alipo hadi ofisi za NEC!..nenda uliza nani kawapa majina na fanyia press hapo....Nipo NEC na hatujawapa majina.

NEC waseme nani kawapa majina.....

CDM fungua kesi....aliyehand majina ashikiliwe.....

Ila yote haya hayawezi fanyika maana wengi mnachotaka sio maendeleo ya watu....ni mivutano na ubinafsi uliowajaa.
Tatizo yote haya yameanzishwa na ulafi wa CCM
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge .wakaapishwa.
Sawa Awamu ya 5 chochote kinawezekana mkuu,awamu isiyofuata katiba/sheria.
 
Tunahitaji kuombewa sana kama nchi mmahali tunapo elekea si salama kabisa
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge .wakaapishwa.
Tunaposema fulani yuko Bungeni, hatumaanishi yuko kantini ( tungesema kantini ya Bunge) au ndio anapaki gari lake( yuko kwenye parking ya Bunge). Tunamaanisha yuko kwenye ukumbi wa Bunge.

Amandla...
 
No
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa

Ni ibara gani ya katiba hiyo?

Unaweza kuikwoti pls ili ku - back up argument yako?

Au umeandika kwa kutumia hisia zako tu?
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge .wakaapishwa.
Mmeanza lini kuwapenda wapinzani
 
Hivi CCM wote kwanini huwa ni wajinga hivi?Kama tafsiri ya katiba ndiyo hiyo,kwanini bunge lilikaa kupitia kamati bunge la 11 na kubadili sheria ili wabunge waweze kuapishwa nje ya bunge?

Unaelewa maana ya "before the parliament"?Yaani "before the parliament" iwe na maana ya chooni au bafuni lakini kwenye eneo la bunge?😁😁😁!

Sheria zinazotungwa lazima zisikinzane na katiba na ikitokea imekuwa hivyo basi katiba ita over rule sheria husika!

Vilaza wa lumumba tumeelewana?
Screenshot_20201129-204244.png

Kwa maana hii, tafsiri ya "Bunge" haiwezi kuwa Spika tu na wafanyakazi wawili ama watatu wa Bunge..

"Bunge" ni lazima lihusishe Spika au kiongozi wa shughuli za Bunge na wajumbe wa council yenyewe...

Mkutano wa Bunge kwa ajili ya shughuli yoyote si lazima ufanyikie ndani ya jengo fulani.

Mkutano wa bunge (parliament) unaweza kufanyikia hata kwenye uwanja wa mpira ili mradi wawepo wajumbe (wabunge) na kiongozi rasmi (Spika au naibu Spika au mwenyekiti)...

Kukosekana kwa mmoja wa hao, hilo haliwezi kuwa "Bunge"...

Kwa katiba inaposema " ....before the Parliament " maana yake wabunge + kiongozi wa Bunge (Spika, naibu Spika ama Mwenyekiti)...

Kwa shughuli ya Kuala, lazima Spika aendeshe shughuli hiyo mbele ya "baraza" la wajumbe wote...

Ndugai kavunja katiba. Kiapo cha wabunge wa COVID - 19 automatic ni batili...
 
ndio ili mradi ni eneo la bubge
Naomba kuuliza,kama katiba inamaana hiyo,kwaninj kanuni zilibadilishwa bunge lililopita ili wabunge waweze kuapishwa hata nje ya ukumbi wa bunge ilimradi ni spika ndiye anawaapisha?

Ndugai kasema wazi kuwa hapo kabla ilikuwa mbunge lazima aapishwe mbele ya wabunge kwa maana ya Bunge,ili kuwafanya wabunge waanze kutekeleza majukumu yao haraka,ikabidi itungwe kanuni hiyo itakayowezesha hilo!Sasa swali,je katiba imebadilishwa?Vipi kama kanuni zinakinzana na katiba?
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge .wakaapishwa.
Mbona kama CCM wanatokwa povu kutetea wabunge wa Viti maalum Chadema, kuwahalalisha kwa nguvu zote, mngekuwa mnawahitaji sana si msingefanya janja janja kwenye uchaguzi, inashangaza sana ujue, na wamejisahau kabisa povu linawatoka
 
Back
Top Bottom