Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya Wabunge au ukumbi wa Bunge

Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya Wabunge au ukumbi wa Bunge

Hivi CCM wote kwanini huwa ni wajinga hivi?Kama tafsiri ya katiba ndiyo hiyo,kwanini bunge lilikaa kupitia kamati bunge la 11 na kubadili sheria ili wabunge waweze kuapishwa nje ya bunge?
Unaelewa maana ya "before the parliament"?Yaani "before the parliament" iwe na maana ya chooni au bafuni lakini kwenye eneo la bunge?[emoji16][emoji16][emoji16]!
Sheria zinazotungwa lazima zisikinzane na katiba na ikitokea imekuwa hivyo basi katiba ita over rule sheria husika!

Vilaza wa lumumba tumeelewana?

Kwa hio unataka kusema vipengele vitoe uwezo wa kuapisha bafuni hata kama dundai anapakuwa bafuni huku anaapisha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
National assembly chooni!!!?? Garage?!!
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.

Kila Mtu sasa kawa Mwanasheria anatafsiri Vifungu vya Sheria! 'Legislature' sasa imekuwa Jengo (House & Garden and Parking) badala ya 'Chombo cha Kutunga Sheria'.
 
Siasa za CCP zitawatokea puani,halafu hao wachina ni janja janja tu. Kwani mngewaachia wapinzani viti 100-150 mngepungikiwa na nini?

Ulafi wenu wa madaraka na hii tabia ya Magufuli ya kupenda kusikia yale abayoyapenda tu na kushindwa kuhimili kusikia yale hasiyoyapenda itatuzidishia njaa sisi wananchi wa kawaida. Njaa ikikolea hawa Watanzania wapole watawabadilikia na kuingia mtaani bila ya kuambiwa na mwanasiasa yoyote,njaa uzaa ujasiri.
Tatizo Jiwe anajiona ana akili Sana. Hata Kikwete alikuwa na uwezo wa kufanya huu ujinga hakufanya. SASA avunje Katiba weeee aendelee kuwa kituko maana ni KITUKO.
 
inasema Katika Bunge haiseme katika ukumbi wa bunge etc haiko specific hivyo hata bafuni spika aweza apisha mradi ni eneo katika bunge

Sheria za viapo zinabaki pala pale mbunge sio afisa viapo hawezi apisha yeyote bungeni hivyo awepo asiwepo ni useless kinachptakiwa kuwe na mbunge mwapaji na afisa mwapishaji ambaye ni spika full stop na eneo liwe bungeni
Bunge linalofuata tunaomba likafanyiwe Sokoni.
 
Siasa za CCP zitawatokea puani,halafu hao wachina ni janja janja tu. Kwani mngewaachia wapinzani viti 100-150 mngepungikiwa na nini?

Ulafi wenu wa madaraka na hii tabia ya Magufuli ya kupenda kusikia yale abayoyapenda tu na kushindwa kuhimili kusikia yale hasiyoyapenda itatuzidishia njaa sisi wananchi wa kawaida. Njaa ikikolea hawa Watanzania wapole watawabadilikia na kuingia mtaani bila ya kuambiwa na mwanasiasa yoyote,njaa uzaa ujasiri.
Wabunge 100 Wengi ingeachia wabunge 80 tu Hizi kelele zisingekwepo,CCM wanashindwa kula na kipofu
 
Tanzania ni nchi huru , hatuyumbishwi na misaada yao yenye masharti ya kishoga. Misaada hiyo wawape Chakelele
Tukumbuke kuwa serikali za jumuia ya EU hazitambui matokeo ya uchaguzi wa 2020.

Hatuna maelezo ya pesa zilizotolewa kupigana na COVID-19.

Serikali imefunguliwa kesi ICC.
 
Wabunge 100 Wengi ingeachia wabunge 80 tu Hizi kelele zisingekwepo,CCM wanashindwa kula na kipofu
Utasemaje hivyo wewe watu hawajakuchagua unapatanaje nafasi kwa hizi nafasi za Ubunge Ni za kupewa? Kumbuka watu walizunguka nchi nzima kuomba kura usiku na mchana,wabunge na madiwani walipiga kampeni mchana kwa usiku kuomba kura.Mwisho wa siku watu hawakuchaguliwa Sasa unatakaje wewe ulitaka wapewe Ubunge Kama ambavyo Chadema wanavyompa Uenyekiti wa Chama Mbowe.Hakuna kitu Kama hicho ukiliwa umeliwa kajipange kwa uchaguzi mwingine mlisema hivyo hivyo kwenye uchaguzi wa S/mitaa ikala kwenu na hili na uchaguzi mkuu imekula kwenu pia
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge wakaapishwa.
tunaposema Bunge hatua maana ya majengo bali wawakilishi wa wananchi! Kikao cha Bunge kinaweza kufanyika po pote na siyo lazima Dodoma.

Majengo ya Bunge Dodoma ni rasmi kwa matumizi ya Bunge lakini pia yanaweza kutumika kwa shughuli nyingine.

Ndiyo sababu Bunge la Afrika mashariki hufanya vikao vyake po pote katika nchi wanachama.
 
inasema Katika Bunge haiseme katika ukumbi wa bunge etc haiko specific hivyo hata bafuni spika aweza apisha mradi ni eneo katika bunge

Sheria za viapo zinabaki pala pale mbunge sio afisa viapo hawezi apisha yeyote bungeni hivyo awepo asiwepo ni useless kinachptakiwa kuwe na mbunge mwapaji na afisa mwapishaji ambaye ni spika full stop na eneo liwe bungeni
Ulivyokubali tu kusema katika bunge biashara ndio imeishia hapo
 
Tatizo Jiwe anajiona ana akili Sana. Hata Kikwete alikuwa na uwezo wa kufanya huu ujinga hakufanya. SASA avunje Katiba weeee aendelee kuwa kituko maana ni KITUKO.
Nimekuelewa yani Mbowe huyu anatufanya wote wajinga kule anaongea hivi alafu huku anaongea vile tatizo tulifanya makosa kumpa Uenyekiti wa Chadema wa kudumu
 
Maafisa wa serikali Awamu ya Tano hawapo smart Sana kila mpango wanaofanya unakuwa na shida sehemu.Ina maana wanashindwa kupanga mkakati ambao hauachi alama yoyote ya mashaka nyuma?
 
mwongo mkubwa wewe hawakuwa gerezani walikuwa rumande.Rumande ni tofauti na gerezani.Wale walikuwa hawajahukumiwa hivyo mambo mengine yalikuwa yakiendelea kama kawaida

Gerezani ni sehemu bila kujalisha umehukumiwa au haujahukumiwa.

Iko ivi gerezani kuna scenario tatu;
1. Kuna wafungwa (waliohukumiwa)
2. watuhumiwa (remands) kwa Kiswahili ndio tumetohowa tunaita rumande lakini ni gerezani pale pale
3. Kuna Magereza ya mahabusi peke yake (gereza Mahabusu).

Sasa kwanini mtu aende gerezani ikiwa hajahukumiwa? Kwa sababu kule polisi alikotakiwa kuhifadhiwa ili afikishwe mahakamani ndani ya muda mfupi kunakuwa hakuna security ya kutosha na space hivyo anapelekwa gerezani kuhifadhiwa. Kumbuka kuna watu wanakaa hata miaka kadhaa hawajapata hukumu zao, hawa wanakaa gerezani ila sio wafungwa.

Kwahiyo Nusrat Hanje alikuwa gerezani sijasema alikuwa mfungwa, sijui kama unaelewa? Na taratibu za mtuhumiwa kutolewa gerezani tunazifahamu sio kama wewe unayedandia mambo kisa ushabiki wa chama
 
Katiba inatamka kuapa Bungeni. Haijasema wataapa mbele ya wa Wabunge.

Bungeni ni kwenye majengo ya Bunge waweza apishwa hata kwenye jiko la Bunge au bafu ya Bunge ili mradi ni Bungeni.

Kwa sababu Katiba haijatamka kuwa wataapishwa ukumbi wa Bunge inasema tu Bungeni yaweza kuwa hata viwanja vya Bunge .wakaapishwa.
Kwahiyo pale parking ni bungeni ?
 
Kuna tofauti kati ya Ukumbi wa bunge(majengo ya bunge) na bunge. Ni vitu viwili tofauti kabisa.
Bunge ni kikao rasmi cha wawakilishi wa wananchi kinachokaa kikatiba kikiwa na wabunge na spika.

Katiba inasema wabunge wapya wataapa kwenye bunge na sio kwenye majengo ya bunge, garage ya bunge, baraza la bunge, vyoo vya bunge nk.
Hao watakuchosha bure huko kwao asipoonekana anatetea kila kitu pamoja na ujinga wa CCM, hapati uteuzi
 
Back
Top Bottom