bmbalamwezi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 788
- 195
Tyta aka potato umekurupuka tena kama kawaida yako! Ila nashukuru kufahamu kipaji chako. Wewe ni mchoraji sio mzungumzaji au mtoa hoja. Njoo nikuajiri kwenye kampuni yangu uwe unatuchorea makatuni ya kuchezea watoto. Unaonekana ni mzuri sana kwa hilo kama hucopy za wengine na kupaste. Tyta, tetty, pot, potato, potter pocher n.k upo!Kweli aisee huyu jamaa kambale na ni muongo aiseee hata simsikilizi na hayo madudu yake!!!
Huyo babu mwacheni apumzike hatumuhitaji humu, yeye alishafanya kazi ya kuandika mapendekezo ya Rasimu ya Katiba sasa aache watu waendelee na masuala mengine maana yeyye amekuwa chanzo ya haya yote kupotosha umma kwa kung'ang'ania kuwa baadhi ya vipengele kuwa vimetolewa ina maana yeye akitaka pumba zake ziendelee kuwekwa paispokufanywa marekebisho na BMK? ni maana ya kupelekwa kule Bungeni?Usisahau kunichukia
Nilicho kiandika kama una akili ndogo huwezi kukielewa ila kama una akili nzuri utakielewa, sasa mule ndani kipindi baadhi ya vipengele alivyo viainisha Warioba vikirekebishwa na kuongeza vingine, wakati huo huo ukawa yaani upinzani kiujumla ulikiwa nje ya Bunge.
Hata kwako naweza kuwa mme nishindwe kwa lipi sasa?
kazi kweli kweli, hivi mpaka leo kuna watu wanaota ndoto za kupiga kura ya maoni tarehe 30/04/2015. Kweli tuna safari. Tena wengine ni wasomi kabisa watu ambao jamii inaategemea watoe mwanga kwa jamii iliyo gizani wanawaza kura ya maoni mwishoni mwa mwezi, kwa maana hata majira na nyakati hawajui kusoma. Kura tarehe 30/04/2015 imeshindikana, tusidanganyane
kazi kweli kweli, hivi mpaka leo kuna watu wanaota ndoto za kupiga kura ya maoni tarehe 30/04/2015. Kweli tuna safari. Tena wengine ni wasomi kabisa watu ambao jamii inaategemea watoe mwanga kwa jamii iliyo gizani wanawaza kura ya maoni mwishoni mwa mwezi, kwa maana hata majira na nyakati hawajui kusoma. Kura tarehe 30/04/2015 imeshindikana, tusidanganyane
huyo babu mwacheni apumzike hatumuhitaji humu, yeye alishafanya kazi ya kuandika mapendekezo ya rasimu ya katiba sasa aache watu waendelee na masuala mengine maana yeyye amekuwa chanzo ya haya yote kupotosha umma kwa kung'ang'ania kuwa baadhi ya vipengele kuwa vimetolewa ina maana yeye akitaka pumba zake ziendelee kuwekwa paispokufanywa marekebisho na bmk? Ni maana ya kupelekwa kule bungeni?
Bora kufa kuliko kuruhusu njaa ipande kichwani namna hii
Pole ndugu yangu treni nasikia hujapona tangu ulivyoruhusiwa toka Milembe. Nadhani unaweza kurudi ili wakuangalie zaidi kwani maamuzi na Katiba Inayopendekezwa si ya CCM na TLP kama unavyodhani, ni ya Bunge Maalum la Katiba, constitution assembly ambalo lilikuwa na wawakilishi toka vyama vyote vya Siasa hadi mwisho wake. Kwa uelewa wako mdogo utasema UKAWA waliondoka. Taarifa sahihi ni kwamba baadhi ya wabunge wa vyama vinavyounda ukawa ndio waliondoka. Unataka kuniambia Mhe. John Cheyo, Hamad Rashid, Constantine Akitanda, Dovutwa A. Dovutwa, Shibuda na wengine wengi je ini wana CCM au TLP!!! Don't be narrow minded! Try to look for accurate information and don't rely on the gabbage you pick in the streets.Katiba si ya CCM ila maazimio yaliyomo ndani yake ni CCM na TLP waliyapitisha, hivyo basi wengi hupenda kusema ni ya ccm, Funguka akili wewe sio mpaka uambiwe direct ni ya CCM. Utaijua kwa ilivyo kaa kaa.
Tereweni nilijua na wewe ni mtu mzima na tena una msimamo labda utakuja na hoja ya kupinga hii hoja sasa na wewe umeongea nini si ndio walewale waliojaza matuzi mdomoni, na hapa hukawii kuanza kutukana wewe,jenga hoja ueleweke mwenzio kasema sio ya CCM wewe unasemaje?Ondo pumba zako kaka
Bora kufa kuliko kuruhusu njaa ipande kichwani namna hii
wew mnafiki acha kumtukana nyerere wetu wa leo. Haya sasa likatiba lenu la ccm lisha.buma.....hahahahah.... Si mlikataa mkasema kampeny hazitakuwa na agenda kuu ya katba?? Haya sasa yameshakuwa hivyo.
wew mnafiki acha kumtukana nyerere wetu wa leo. Haya sasa likatiba lenu la ccm lisha.buma.....hahahahah.... Si mlikataa mkasema kampeny hazitakuwa na agenda kuu ya katba?? Haya sasa yameshakuwa hivyo.
Katiba si ya CCM ila maazimio yaliyomo ndani yake ni CCM na TLP waliyapitisha, hivyo basi wengi hupenda kusema ni ya ccm, Funguka akili wewe sio mpaka uambiwe direct ni ya CCM. Utaijua kwa ilivyo kaa kaa.
sisi tutapiga kura ya ndiyo!!!
Katiba si ya CCM ila maazimio yaliyomo ndani yake ni CCM na TLP waliyapitisha, hivyo basi wengi hupenda kusema ni ya ccm, Funguka akili wewe sio mpaka uambiwe direct ni ya CCM. Utaijua kwa ilivyo kaa kaa.
tarehe ngapi nikuunge mguu kwenda kupiga kuraHiyo mitusi mezeni wenyewe afu sisi tunaendelea na Katiba mpya mtaendelea kutukanana weee sisi tunajipanga kuipigia kura kibao za ndiyoooo!
Wewe ni msemaji wa kina nani?
Eliamushi acha vurugu kwani umeshakufa mara ngapi??? Wewe ni mchumia tumbo tu!!!!!