Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

Ukawa wamekuambieni wao hawashiriki, kaeni kimya itisheni hiyo kura ya maoni pigeni kura mtakutana na wenye nchi siku hiyo inakuja.


Wewe ni kijana gani usiyejitambua, mawazo yako unatembea nayo mfukoni!!!wewe mwenyewe kilaza kura itapigwa na ushindi utapatikana!!!!
 
Mimi nachokua zoezi hilo limesogezwa mbele hayo unayoyasema wewe ni uongo!mimi eneo ninaloishi hapa Morogoro mbona wanalijua hili na wamepata taarifa kupitia media TUMEkusogeza mbele kura ya maoni mpaka itakapotangaza usiwe muongo sasa na wewe!
kisha nikaangalia umejiunga lini na JF, kisha nikang'amua kuwa kumbe ni mpiga mpunga endelea kuula tu, shida kwani iko wapi. Kinachonisikitisha mnapotosha wananchi. But remember the sons of darkness will never take victory against the sons of light who are represented by the candle that was lit at Calvary
 
Usifikiri kama huji wewe ni wote hawajui na kihoja chako dhaibu kuwa na heshima watanzania wako makini kufuatilia mambo yanayowahusu usiwaze kula na kulala.
Nilipost hicho kitu kabla ya TUME kutangaza kwa sababu nina macho niliona ila wewe ni kipofu, you are not of my level!!! stop your nonsense!!! yaani unachowaza ni namna gani utaliibia taifa ndiyo maaana unazungumzia kula na kulala badala ya kufanya kazi kwanza. Any way kizazi cha nyoka ndivyo kinavyowaza nisikushangae sana
 
Hiyo mitusi mezeni wenyewe afu sisi tunaendelea na Katiba mpya mtaendelea kutukanana weee sisi tunajipanga kuipigia kura kibao za ndiyoooo!
Please, unaweza kubold maandishi yangu nilipotukana. Umekuwa mtu mzima sasa hata kama unalipwa pesa usijidhalilishe
 

Mabadiliko hayanabudi kutokea, kwasababu wajumbe waliobaki walikuwa na jukumu la kuendelea na kazi ambayo walitumwa na wananchi. Kuwapo nje ukawa hakubatilishi utaratibu Sheria ya Mabadiliko ya Katiba sura ya 83 (toleo la mwaka, 2014) sehemu ya tano: kuhusu Kuitisha Bunge Maalum, inasema Kuitisha Bunge Maalum ni hakali kwa kuzingatia Sheria Na. 9 ya mwaka, 2013 na kuatangazwa kupitia Tangazo la Serikali Na.394 la mwaka 2011 Amri ya 2 aya (r) 22.-(1) kwamba kutakuwa na Bunge Maalum litakalokuwa na wajumbe wafuatao: (a) wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano; (b) wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar;


Kuhusu wajumbe hawa 201 watakaoteuliwa na Rais kwa makubaliano na Rais wa Zanzibar idadi hiyo inakamilika kutokana na mchanganuo huu: (i) wajumbe ishirini kutoka Taasisi zisizokuwa za Kiserikali. Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2014] inasema (ii) wajumbe ishirini kutoka Taasisi za Kidini; (iii) wajumbe arobaini na mbili kutoka Vyama vyote vya Siasa vyenye usajili wa kudumu; (iv) wajumbe ishirini kutoka Taasisi za Elimu; (v) wajumbe ishirini kutoka katika makundi ya watu wenye ulemavu; (vi) wajumbe kumi na tisa kutoka Vyama vya Wafanyakazi; (vii) wajumbe kumi kutoka Vyama vinavyowakilisha Wafugaji; (viii) wajumbe kumi kutoka Vyama vinavyowakilisha Wavuvi; (ix) wajumbe ishirini kutoka Vyama vya Wakulima; (x) wajumbe ishirini kutoka makundi mengine yoyote ambayo yana malengo yanayofanana.

Hawa ndiyo watu wanaopinga vitu bila kuwa nafacts zozote, kama kweli wewe una macho, una masikio hata kuambiwa huelewi? Ama kweli udanganyifu ni kufifisha ukweli na uhalali wa Katiba Inayopendekezwa. Wananchi msidanganywe na hawa wapotoshaji maana hawapo kwa mustakabali wa nchi yetu.
 
Eti uliota we umekuwa NABII? acha kudanganya watu humu ndani uwongo wako, kila mtu sasa hivi anasema mi nlijua watahairisha, hakuna lolote wanaojua wakisubiri tu tamko afu we unajifanya eti ulijua. kaa kimya kama huna jipay.
 
Kwa mtanzania yeyote makini anajua katiba inayopendekezwa haina maoni ya watanzania kamwe. Maoni yao yaliondolewa na wanaccm! Ndo maana ccm wanataka katiba pendekezwa ipigiwe kura ya ndiyo.

Kura ya ndiyo haizuiliki,Wananchi wanaendelea kuisoma, wengine tayari wameielewa na tarehe itakayotangazwa kura itapigwa afu muanze kupiga kelele ikipita mkione cha moto nyie wahaini wa nchi hiii msiopenda maendeleo!
 
Mataahira watakuwa ni baba yako na mama yako wamekula hasara kubwa kwa kupata mtoto naye taahira ambaye hajitambui na yuko tayari kuisaliti nchi yake kwa ujira mdogo sana toka kwa wauza unga, mafisadi, wezi, wapokea rushwa waliojazana Serikalini.
Kiongozi, mhurumie basi, mbona unampa za uso. Unaweza sababisha mtu kutupa PC chini kwa maumivu. ILA HAWA WAPIGA MPUNGA WANAKERA SANA, na wanadhani wote hapa ni viazi
 
Mimi nina mawazo huru sielekezwi, hata nilipotoa maoni yangu mbele ya Tume sikuelekezwa. Ww umelelkezwa upost kitu ganii hapa. Wenye akili tunakuona, Piga hela yako tembea
 
Please, unaweza kubold maandishi yangu nilipotukana. Umekuwa mtu mzima sasa hata kama unalipwa pesa usijidhalilishe

Hakuna muda wa kubold maneno yako!!!mwenyewe unakielewa kichwa chako,unajifariji chini ya kivuli cha uyoga na kwa taarifa yako umebaki peke yako siku inakuja utajuta!
 
Kiongozi, mhurumie basi, mbona unampa za uso. Unaweza sababisha mtu kutupa PC chini kwa maumivu. ILA HAWA WAPIGA MPUNGA WANAKERA SANA, na wanadhani wote hapa ni viazi


Mwakaboko na Bak nyie ni product mmoja kazi yenu ni kuzuia mafuriko kwa midomo, hayo meno ni halali ya mafuriko mgekua mnajielewa msingepoteza muda humu ndani kwa kuendelea kuwaaminisha watanzania uongo wetu!KURA YA NDIYO HAIEPUKIKI!!
 
Mimi nina mawazo huru sielekezwi, hata nilipotoa maoni yangu mbele ya Tume sikuelekezwa. Ww umelelkezwa upost kitu ganii hapa. Wenye akili tunakuona, Piga hela yako tembea

Huna mawazo huru wewe usiwe kama senene subiri siku inakuja utakaangwa kwa mafuta yako mwenyewe, una roho mbaya kama jina lako, acha kuwadanganya watanzania maana huna jipya umeshafirisika akili yako!Naomba ukalale ili akili yako ipoe!
 
Mimi nina mawazo huru sielekezwi, hata nilipotoa maoni yangu mbele ya Tume sikuelekezwa. Ww umelelkezwa upost kitu ganii hapa. Wenye akili tunakuona, Piga hela yako tembea

Hii ndiyo maana mara nyingine humu nasoma watu wanaandikiana "Mchumia tumbo" huu sasa ndiyo uchumia tumbo. Unatanguliza kupiga hela tembea, huu ndiyo msingi wa kubomoa bila kujenga. Tanguliza taifa lako kwanza ili mwisho wa siku wewe na familia za Watanzania wawe salama na wafanye kazi zao kwa uhuru uliojengwa imara kupitia Katiba ya nchi yao.
 
Mwakaboko na Bak nyie ni product mmoja kazi yenu ni kuzuia mafuriko kwa midomo, hayo meno ni halali ya mafuriko mgekua mnajielewa msingepoteza muda humu ndani kwa kuendelea kuwaaminisha watanzania uongo wetu!KURA YA NDIYO HAIEPUKIKI!!
Ndiyo maana niliwahi sema huko nyuma kuwa unauelewa mdogo wa mambo. Nilishapost kabla yako kuwa Katiba hii Pendekezwa itapita na kama ikionekana kuwa wananchi wanaikataa, itapitishwa. Mbona hilo liko wazi. Kwani9 nalo hilo linahitaji mpaka upate masomo ya ziada!!!
 
Huna mawazo huru wewe usiwe kama senene subiri siku inakuja utakaangwa kwa mafuta yako mwenyewe, una roho mbaya kama jina lako, acha kuwadanganya watanzania maana huna jipya umeshafirisika akili yako!Naomba ukalale ili akili yako ipoe!
Fuatilia genocide zote zilizowahi tokea katika mataifa mbalimbali duniani, utaona kuwa wote walikuwa wanatumia Lugha unayotumia, swali langu kwa ni hili: Ndivyo walivyokutuma? kiongozi wenu ni nani? anayekufundisha ujinga huu
 
Naona mpiga mpunga unatoka shimoni, kufundisha walimu wako
 
Eti uliota we umekuwa NABII? acha kudanganya watu humu ndani uwongo wako, kila mtu sasa hivi anasema mi nlijua watahairisha, hakuna lolote wanaojua wakisubiri tu tamko afu we unajifanya eti ulijua. kaa kimya kama huna jipay.
huna macho nyamaza, tuongea wenye macho
 


acha kupumua povu umeshindwa mwenyewe,kura lazima ipigwe!! Na kitaeleweka tu Ndiyooo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…