Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

gwamaka aswile

Senior Member
Joined
Mar 26, 2015
Posts
186
Reaction score
106
Watanzania katiba Inayopendekezwa siyo ya CCM kama wanavyodai baadhi ya watu na kuwashawishi wasiipigie kura, acheni kuwasikiliza watu hao, Aprilli 30 jitokezeni kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo kama inavyosisitizwa na viongozi wetu akiwemo Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
 
hahahaha ni ya nani sasa? ya familia yako? naukitaka kujua kwamba ni yenu ngoja tupige kura, umetumwa wewe si bure.
 
Kwa mtanzania yeyote makini anajua katiba inayopendekezwa haina maoni ya watanzania kamwe. Maoni yao yaliondolewa na wanaccm! Ndo maana ccm wanataka katiba pendekezwa ipigiwe kura ya ndiyo.

WAPI imeandikwa kuwa ni ya CCM? Kama hauna huo uthibitisho basi ujue akili yako inautapiamlo, acha kupotosha watu humu ndani jina lako lenyewe kama jina la dawa ya miti shamba.
 
Kwa mtanzania yeyote makini anajua katiba inayopendekezwa haina maoni ya watanzania kamwe. Maoni yao yaliondolewa na wanaccm! Ndo maana ccm wanataka katiba pendekezwa ipigiwe kura ya ndiyo.

Inashagaza sana leo...wale wajumb tuliowatum kutuwakilish ni CCM mbn tunakuwa vigeugeu jmn.....evertng this nation iz doing people complainz guyz wajumbe zaid ya 400 waliend kuchmbua mapendekezo ya Warioba lastly wakaj na kitu kinachopndekezwa....mule ndani walikuwepo watu kutok makund yote ktk jamii nani asiyejua hilo.....usitak kupotosha watu wewe...
 
Ukawa wamekuambieni wao hawashiriki, kaeni kimya itisheni hiyo kura ya maoni pigeni kura mtakutana na wenye nchi siku hiyo inakuja.
 
Kwa mtanzania yeyote makini anajua katiba inayopendekezwa haina maoni ya watanzania kamwe. Maoni yao yaliondolewa na wanaccm! Ndo maana ccm wanataka katiba pendekezwa ipigiwe kura ya ndiyo.

Acha kurukaruka nani kakwambia CCM imeondoa maoni ya watu, Sikubaliani na maelezo yako CCM wala chama kingine chochote hakimiliki katba,na we mwenyewe unapochangia tumia akili aisee!
 
Ukawa wamekuambieni wao hawashiriki, kaeni kimya itisheni hiyo kura ya maoni pigeni kura mtakutana na wenye nchi siku hiyo inakuja.

We Jogi jitambue UKAWA ni watu 5 usikubali washike akili yako, jitambue wewe una haki ya kujisimami na kusimamia mambo yako acha kuburuzwa kama punda, siku ya kupiga kura wananchi kibao wataenda na mtashangaa na roho zenu za korosho.
 
kama waliweza kupiga kura za maruhani ilikuipitisha katika BMK wapige hiyvo hiyvo ili kuipitisha ikubalike. mimi naona inapoteza muda ya kushughurikia mambo mengine ya msingi!

Usiwe na mawazo mgando,Kura ya maruhani ndo nini hujitambui,au wewe ndo Ruhani mwenyewe maana husomeki na wala hueleweki unakosa kuangalia mambo ya msingi unakalia kufuata akili zawatu walioshindwa!
 
hahahaha ni ya nani sasa? ya familia yako? naukitaka kujua kwamba ni yenu ngoja tupige kura, umetumwa wewe si bure.

Samilakadunda huwezi kuwadanganya wtu wote kwa wakati mmoja ila wewe ni miongoni mwa watu wanaofanya mchezo huo, unajqribu kujengq hoja dhaifu ili uonewe huruma na wana JF naomba utambue kuwa humu hatufagilii vilaza kura za pwananchi kama kawa zitapigwa na kura kibao zitapatikana.
 
Kwa mtanzania yeyote makini anajua katiba inayopendekezwa haina maoni ya watanzania kamwe. Maoni yao yaliondolewa na wanaccm! Ndo maana ccm wanataka katiba pendekezwa ipigiwe kura ya ndiyo.

Wewe kwa mawazo yako ya kuhurumiwa ndio unaona haina mawazo ya wananchi, kwa taarifa yako utakuta ukiacha kupiga kura nakuambia!
 
kazi kweli kweli, hivi mpaka leo kuna watu wanaota ndoto za kupiga kura ya maoni tarehe 30/04/2015. Kweli tuna safari. Tena wengine ni wasomi kabisa watu ambao jamii inaategemea watoe mwanga kwa jamii iliyo gizani wanawaza kura ya maoni mwishoni mwa mwezi, kwa maana hata majira na nyakati hawajui kusoma. Kura tarehe 30/04/2015 imeshindikana, tusidanganyane
 
Katuni%2BLEBA.jpg
 
kazi kweli kweli, hivi mpaka leo kuna watu wanaota ndoto za kupiga kura ya maoni tarehe 30/04/2015. Kweli tuna safari. Tena wengine ni wasomi kabisa watu ambao jamii inaategemea watoe mwanga kwa jamii iliyo gizani wanawaza kura ya maoni mwishoni mwa mwezi, kwa maana hata majira na nyakati hawajui kusoma. Kura tarehe 30/04/2015 imeshindikana, tusidanganyane

Wewe ndio unaota usiyejua nini kinaendelea kaa hivyo hivyo na utajikuta mpaka siku ya mwisho hujui arehe unakuja kukurupuka tumemaliza kupiga kura!kama una lingine useme!
 
Endelea kuomba msaada wa katuni afu naona unayakosea ungechora lile la UKAWA walosusia bunge ningekuona wa maana kweli na ningekusifu kwa taaluma yako!!!!
 
Watanzania katiba Inayopendekezwa siyo ya CCM kama wanavyodai baadhi ya watu na kuwashawishi wasiipigie kura, acheni kuwasikiliza watu hao, Aprilli 30 jitokezeni kwa wingi kuipigia kura ya ndiyo kama inavyosisitizwa na viongozi wetu akiwemo Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Unadhalilisha watu wa Mbeya. Hawana mawazo machovu kama ya kwako. Badilika
 
Back
Top Bottom