Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

Aliyekwambia nimepanick ni nani wewe taahira!? Acha kujibaraguza mpumbavu wewe!!!.

Kama hayaukuuma mbona umepanick???? na wewe ndo ulianzamkuweka matuc wakati mi najitahidi kuwasihi mujikite kwenye mada ukadhani mi ndo walewale. Hahahah imekula kwak hiyo message sent. kama imekuuma zaidi jinyonge
 
DSC02794.jpg

Hizo ni lugha za magazeti naona we ni mgeni sana kwenye hizo mambo, wanaweka hivo ili wauze wapate hela ya kula kama wewe ulivyotumwa na Ukawa upate hela ya kuweka bundle na lunch.
 
Aliyekwambia nimepanick ni nani wewe taahira!? Acha kujibaraguza mpumbavu wewe!!!.

Umepanick wewe huna jipya, maneno yangu sumu eeeeenh!! hahaha vumilia wewe kubwa jinga kama hayajakuuma kwanini umepanick basi kuondoa aibu jiweke kitanzi au nenda Iringa uksomee namna ya kujinyonga ili upata morare wakati wa kujinyonga kule ndo Chuo Kikuu cha mafunzo ya kujinyonga. Hahaahaaha
 
Usiwe na mawazo mgando,Kura ya maruhani ndo nini hujitambui,au wewe ndo Ruhani mwenyewe maana husomeki na wala hueleweki unakosa kuangalia mambo ya msingi unakalia kufuata akili zawatu walioshindwa!

nasikupendi kweli wewe njoo na utaondoka pia lakini sisi ndio wenye nchi tutapiga kura hapanaaa
 
Kwa majibu ya kawaida Tu; hakutakuwa na kura ya maoni tena. Sijajua kwanini haswaa hii chelewachelewa ya BVR, ila tutajua tu kitambo si kirefu
 
Kwa majibu ya kawaida Tu; hakutakuwa na kura ya maoni tena. Sijajua kwanini haswaa hii chelewachelewa ya BVR, ila tutajua tu kitambo si kirefu

Una hakika na maneno yako kaka? jana wala hawajasema hakutakuwa na kura ya maoni tena ebu kapitie taarifa vizuri, muda umesogezwa mbele mpaka pale utakapotangazwa zoezi la BVR linaendelea kama kawaida.
 
Acha kurukaruka nani kakwambia CCM imeondoa maoni ya watu, Sikubaliani na maelezo yako CCM wala chama kingine chochote hakimiliki katba,na we mwenyewe unapochangia tumia akili aisee!

Haa haaa haaaa. Zako kweli hizo?
 
Sasa kwani wapi panasema kuwa Katiba hii ni ya ccm? kuwa muwazi bhana.

SIPIKA:Wanaounga mkono hiki kifungu waseme

Wabunge wa CCM: NDIO

SIPIKA: Na wasiounga hiki kifungu waseme

WABUNGE WA UKAWA: SIO.

SIPIKA: NDIO wameshinda
 
Back
Top Bottom