Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

Aibu sana mwanaume kuamua kuwa mali ya mtu. Sijui unamwambia nini mkeo
Lusajo11 kuwa mwangalifu sana unapoandika, jitahidi sana kila unachoandika kiwe na sifa ya jina lako. Vinginevyo unajidhalilisha kwa kutumia jina lako vibaya. Au unataka kuniambia kuwa I should not judge the book by its cover. Please Lusajo11 acha kujidhalilisha...na kuhusu Katiba Pendekezwa weka kumbukumbu zako vizuri angalia kilichotokea wakati wa BMK, ni nani alipewa jukumu la kuiandika, aliandika nini na je ndivyo wananchi walivyotaka au alibadilisha maudhui ili kulinda kitumbua chake dhidi ya mchanga, je, mambo ya muhimu yakoje je itakidhi matakwa ya miaka mia moja ijayo....Zoea kujiuliza maswali magumu na usitake majibu mepesi yasiyo na mashiko
 
Tarehe inakuhusu nini wewe? Kwani mtoto akizaliwa ni makosa? Tarehe ya mwana JF sii kigezo cha kumhusisha mtu na unachofikiri wewe. Hoja hapa ni msingi wa majadiliano ambayo wote tujadili kwa hoja na wa wala sii kwa tarehe ya kujiunga JF
Huwezi kuelewa maana yake,kwa sababu umezoea kujibu maswali mepesi, endelea na kazi yako maalumu. Piga mpunga wako wako tembea
 
!
!
ni kiwa na akiki timamu, bila kushurutishwa wala kushawishiwa....kura yangu na mademu zangu ni HAPANA kwa katiba pendekezwa
 
Sasa kwani wapi panasema kuwa Katiba hii ni ya ccm? kuwa muwazi bhana.
tehteh....
toon.jpg
 
Katiba n ya ccm kweli c walibak wenyewe bungen katba ya wananchi waliikataa aipt katba yao kila mtu anahaki tusilazimishane kama ww utaipa kura ya ndio ipe mm hapana
 
Nahitimisha kuwa katiba inayopendekezwa ni ya Chenge na ccm ndo maana waliikataa katiba ya Warioba na wananchi sababu maslahi yao hayapo
 
Kwa mtanzania yeyote makini anajua katiba inayopendekezwa haina maoni ya watanzania kamwe. Maoni yao yaliondolewa na wanaccm! Ndo maana ccm wanataka katiba pendekezwa ipigiwe kura ya ndiyo.

Labda yako tu ndio hayamo ndi maana umekua elshabab na usubiri tu kushuhudia Taifa likisonga mbele na katiba mpya hayo mawazo ya katiba kuwa ya chama yatakutoka!!!
 
Nahitimisha kuwa katiba inayopendekezwa ni ya Chenge na ccm ndo maana waliikataa katiba ya Warioba na wananchi sababu maslahi yao hayapo

Mabusu we mwenyewe Chenge ndio maana unamkumbatia sana na unamtaja kama mfadhili wako!acha kuwa kibaraka wa kumpigia kampeni, kwa taarifa yako hana katiba hapa Katiba ni ya wananchi.
 
Katiba si ya CCM ila maazimio yaliyomo ndani yake ni CCM na TLP waliyapitisha, hivyo basi wengi hupenda kusema ni ya ccm, Funguka akili wewe sio mpaka uambiwe direct ni ya CCM. Utaijua kwa ilivyo kaa kaa.
 
Katiba n ya ccm kweli c walibak wenyewe bungen katba ya wananchi waliikataa aipt katba yao kila mtu anahaki tusilazimishane kama ww utaipa kura ya ndio ipe mm hapana

Mlilopoka wenyewe kwa wananchi na tena mkala kiapo mkasema hamuwezi kususia mchakato mkafikiri wananchi watawasikiliza sasa imekula kwenu mnaanza Kulialia!!!!
 
Katiba si ya CCM ila maazimio yaliyomo ndani yake ni CCM na TLP waliyapitisha, hivyo basi wengi hupenda kusema ni ya ccm, Funguka akili wewe sio mpaka uambiwe direct ni ya CCM. Utaijua kwa ilivyo kaa kaa.

Sa ndo umeandika nini hapo< ebu tuonyeshe mahali palipo andikwa ni ya ccm.
 
Huwezi kuelewa maana yake,kwa sababu umezoea kujibu maswali mepesi, endelea na kazi yako maalumu. Piga mpunga wako wako tembea
Hivi wewe ndugu Mwakaboko huwa unalala shimoni kama mchwa na unaamka na kukurupuka na maneno matupu maana nashindwa kuziita hoja. Kama ni pombe unazokunywa ndo zinakufanya hivyo hunabudi kuziacha kwani zimesha kukataa. Kama huwezi kuongea kama mtu mzima na mwenye akili timamu kaa kimya. Kama umezeeka kacheze na wajukuu.
 
Lusajo11 kuwa mwangalifu sana unapoandika, jitahidi sana kila unachoandika kiwe na sifa ya jina lako. Vinginevyo unajidhalilisha kwa kutumia jina lako vibaya. Au unataka kuniambia kuwa I should not judge the book by its cover. Please Lusajo11 acha kujidhalilisha...na kuhusu Katiba Pendekezwa weka kumbukumbu zako vizuri angalia kilichotokea wakati wa BMK, ni nani alipewa jukumu la kuiandika, aliandika nini na je ndivyo wananchi walivyotaka au alibadilisha maudhui ili kulinda kitumbua chake dhidi ya mchanga, je, mambo ya muhimu yakoje je itakidhi matakwa ya miaka mia moja ijayo....Zoea kujiuliza maswali magumu na usitake majibu mepesi yasiyo na mashiko

Hiyo mitusi mezeni wenyewe afu sisi tunaendelea na Katiba mpya mtaendelea kutukanana weee sisi tunajipanga kuipigia kura kibao za ndiyoooo!
 
Usisahau kunichukia
Nilicho kiandika kama una akili ndogo huwezi kukielewa ila kama una akili nzuri utakielewa, sasa mule ndani kipindi baadhi ya vipengele alivyo viainisha Warioba vikirekebishwa na kuongeza vingine, wakati huo huo ukawa yaani upinzani kiujumla ulikiwa nje ya Bunge.
 
Back
Top Bottom