Ninaamoni katiba ingelikuwa ni bora, inayotoa fursa sawa ya uhuru wa mtu kuamua, kuchagua na kumpata mgombea anayemtaka, washamba ndani ya ccm mngefanya maamuzi na maamuzi yenu yangepata ushindi. Kwasbb washamba ni wengi.
Lkn kwa katiba hii, wingi wenu hauna tija, hauna mashiko na ndiyo maana watoto wa mjini wanachezea sharubu zenu na hamna kitu mtawafanya. Kwasabb silaha zote wameshika wao na makali ya hizo silaha yameelekezwa kwenu.
Kwahiyo, suala la katiba mbovu haliumizi wapinzani tu. Katiba mbovu inaumiza kila kundi na kila nyanja za maisha. Hebu kama taifa tulione hili na tupiganie katiba mpya.
Lkn kwa katiba hii, wingi wenu hauna tija, hauna mashiko na ndiyo maana watoto wa mjini wanachezea sharubu zenu na hamna kitu mtawafanya. Kwasabb silaha zote wameshika wao na makali ya hizo silaha yameelekezwa kwenu.
Kwahiyo, suala la katiba mbovu haliumizi wapinzani tu. Katiba mbovu inaumiza kila kundi na kila nyanja za maisha. Hebu kama taifa tulione hili na tupiganie katiba mpya.