Private investigator
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 303
- 287
Taja yangu haijafuata protoko ila ninachomaanisha, katika utumishi wa umma kumekuwa na hawa mabosi ambao wengi wao sio wanataaluma katika nafasi walizonazo ila wana power kubwa sana kwa watu ambao ni wanataaluma.
Unakuta DC anamwagiza DED amsimamishe kazi labda Mhasibu. Hapo unakuta DC hajawahi hata kuwa mtumishi wa umma kabla ya UDC wake, ukute na DED nae hajawahi kuwa DED kabla ya UDED wake.
Shauri linagoma kwa mfano, mtumishi wa umma anaenda kushitaki kwa Katibu Mkuu wa wizara, bahati mbaya hata huyo katibu mkuu hakuwahi kuwa kwenye utumishi wa wizara hiyo, mfano ni mjeda tu aliteuliwa kisiasa.
Ushauri wangu, kiongozi wa kisiasa asiwe na mamlaka ya kutoa maamuzi juu ya utumishi wa mtu wala asiwe na mamlaka yoyote ya kinidhamu kwa mtumishi mwenye ajira ya kudumu.
Uongozi wa kisiasa sio permanent, unakuta mtu anafukuzwa kwa shinikizo la RC au DC au Waziri halafu kesho RC au DC ama huyo waziri anakuja kuonekana kilaza huku ameshaharibu maisha ya mtumishi mwaminifu.
Unakuta DC anamwagiza DED amsimamishe kazi labda Mhasibu. Hapo unakuta DC hajawahi hata kuwa mtumishi wa umma kabla ya UDC wake, ukute na DED nae hajawahi kuwa DED kabla ya UDED wake.
Shauri linagoma kwa mfano, mtumishi wa umma anaenda kushitaki kwa Katibu Mkuu wa wizara, bahati mbaya hata huyo katibu mkuu hakuwahi kuwa kwenye utumishi wa wizara hiyo, mfano ni mjeda tu aliteuliwa kisiasa.
Ushauri wangu, kiongozi wa kisiasa asiwe na mamlaka ya kutoa maamuzi juu ya utumishi wa mtu wala asiwe na mamlaka yoyote ya kinidhamu kwa mtumishi mwenye ajira ya kudumu.
Uongozi wa kisiasa sio permanent, unakuta mtu anafukuzwa kwa shinikizo la RC au DC au Waziri halafu kesho RC au DC ama huyo waziri anakuja kuonekana kilaza huku ameshaharibu maisha ya mtumishi mwaminifu.