Katiba iwe ya Wananchi sio ya viongozi!

Aisee nchi hii ndio inaongoza kwa kuwa na viongozi wanafiko
 
najiraumu maishani mwangu kupoteza dakika zangu kusoma uzi huu, kwann hukuyasema haya before pindi ukiwa katika position nzur chamani, ww subilia kuvuliwa uanachama tu
Mbona alilisema toka 2013 (4yrs before)
Soma tarehe ya bandiko
 
 
Ndugu Nape viongozi pia ni wananchi! Hili neno wananchi limeanza kutumika vibaya sana katika nchi yetu. Sote ni watanzania tuache kubaguana kwa njia yeyote ile.
Mayu siku hizi naona unaangalia maslahi ya tumbo kwanza,umeacha kusema ukweli umepoteza haiba kwa jamii ya watanzania waliokuwa wakikuona kama msomi mwenye hoja za mashiko.
 
Kimsingi hamja muelewa Nnape.. Kasema katiba iwe ya wananchi isiwe ya viongozi...
Maana yake nihivi.. Viongozi wawape nafasi wananchi wa kawaida watoe mawazo yao.. Kwauhuru na haki..
Then viongozi waone mtazamo wawananchi, alafu wao waboreshe kupitia maoni ya wananchi.
Anacho kataa viongozi wasitoe matamko hadharani kuhusu katiba..
Namkubali sana Nnape
 
Kwa nini chama chako kilikataa maoni ya wananchi? Kwanini ccm tu ambao ni viongozi wanaogopa mfumo wa Muungano ulio kusudiwa wa serikali tatu? Kwa nini haya maneno huku yasema hadharani badala yake Unakuja kwenye mitandao? Najua wewe ni muumini wa serikali moja, ila kwa nini unakataa maoni ya wengi? Serikali tatu Kw nini hamutaki?

Sababu ya kukwama mchakato wa katiba ni mfumo wa Muungano, mlijua kwamba hio katiba haipiti, labda goli la mkono kama usemavyo, huku Zanzibar lazima ipatikane theluthi mbili, kwa Zanzibar never. Haipiti
 
Hii katiba ya sasa ipo upande gani? Ya wananchi au viongozi wa ccm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndio Nnape si huyu awamu ya kusifu
 
Muda Huu Kule Anapata Notification Kwenye Account Yake
Anasema Moyoni Nani Kafukua Kaburi Hili La 2013
 
Ndugu Nape viongozi pia ni wananchi! Hili neno wananchi limeanza kutumika vibaya sana katika nchi yetu. Sote ni watanzania tuache kubaguana kwa njia yeyote ile.
Wakati huo ulikuwa na akili sana!
 
Ndugu Nape viongozi pia ni wananchi! Hili neno wananchi limeanza kutumika vibaya sana katika nchi yetu. Sote ni watanzania tuache kubaguana kwa njia yeyote ile.
Upo sawa lakini point ya muhimu ni katiba iwe inawawakilisha wananchi wa kawaida na sio wanasiasa!
 
Leo hii akiambiwa hivyo atakana . Viongozi wetu ni wanafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…