Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Hofu!Ukimuuliza leo atazuga na kuikana kauli hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu!Ukimuuliza leo atazuga na kuikana kauli hii
Atusaidie hiliNdugu Nape viongozi pia ni wananchi! Hili neno wananchi limeanza kutumika vibaya sana katika nchi yetu. Sote ni watanzania tuache kubaguana kwa njia yeyote ile.
This is true, Nape ni mwenzetu humu, tupo naye kwa ID yake ya nape mnauye, ila pia yupo yupo!.Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
View attachment 2420687
Naomba kuthibitisha ana ngozi ngumu!.Mwenye ngozi ngumu ni hapa JF ni Pascal Mayalla wengine ngozi ya u-bwbw