Katiba kitu gani

Katiba kitu gani

Laizer Peter

Senior Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
130
Reaction score
24
Katiba Yenyewe Imezidi Kutunyonga Sisi Wa Chini.

duh! ama kweli aliyenayo ataongezewa na asiekuanacho atanyang'anywa alichonacho ataongezewa yule mwenye nacho.

KURA YANGU NI YA Hapana
 
Katiba Yenyewe Imezidi Kutunyonga Sisi Wa Chini.

duh! ama kweli aliyenayo ataongezewa na asiekuanacho atanyang'anywa alichonacho ataongezewa yule mwenye nacho.

KURA YANGU NI YA Hapana

Laizer Peter unachanganyikiwa nini? Katiba ni msingi wa sheria za nchi yeyote duniani ndiyo maana inaitwa sheria mama. Hivyo Tanzania ikiwa miongoni mwa mataifa ya dunia hii inawajibika kuwa na katiba yake ili kuweza kusimamia nchi katika masuala mbalimbali ya kijamii kwa watu wake.

Katiba Inaypendekezwa ya nchi yetu imeanza kwa kuainisha kwa kutambua Wananchi na kusema "Kwa kuwa, sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu". Usichanganyikiwe ndg yangu Laizer uliza utajulishwa maana kuuliza sio ujinga bali mtu ataka kujuzwa.
 
Laizer Peter unachanganyikiwa nini? Katiba ni msingi wa sheria za nchi yeyote duniani ndiyo maana inaitwa sheria mama. Hivyo Tanzania ikiwa miongoni mwa mataifa ya dunia hii inawajibika kuwa na katiba yake ili kuweza kusimamia nchi katika masuala mbalimbali ya kijamii kwa watu wake.

Katiba Inaypendekezwa ya nchi yetu imeanza kwa kuainisha kwa kutambua Wananchi na kusema “Kwa kuwa, sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu”. Usichanganyikiwe ndg yangu Laizer uliza utajulishwa maana kuuliza sio ujinga bali mtu ataka kujuzwa.

Sikiliza Ndugu yangu may be unaitetea Katiba coz labda uko mwiongoni kwa walioitunga

PILI Tz kama Tz VIONGOZI wetu wanajua kutunga SHERIA Na wao ndo wa kwanza kuivunja na Pia wao ndo wanakua mstari wa mbele kutoitekeleza

TATU Katiba ya nchi yetu imezidi kutunyongea chini cc tulio chini
 
Laizer karibu kwenye Forum ila ujiandae kujenga hoja. Lakini si kosa lako ni kutokuelewa unachokiongelea. Soma Katiba Inayopendekezwa ili uelewe. Katiba hiyo kuanzia kwenye Jalada la mbele hadi la mwisho hakuna ibara wala kifungu kinachoongelea matabaka ya walionacho na wasionacho! Hakuna! Labda wewe umesoma kitu kingine na si Katiba Inayopendekezwa. Kama hapo baadae utakuwa na hoja kuhusu Katiba unakaribishwa sana ndugu yangu. Bye bye!
 
Laizer Peter unachanganyikiwa nini? Katiba ni msingi wa sheria za nchi yeyote duniani ndiyo maana inaitwa sheria mama. Hivyo Tanzania ikiwa miongoni mwa mataifa ya dunia hii inawajibika kuwa na katiba yake ili kuweza kusimamia nchi katika masuala mbalimbali ya kijamii kwa watu wake.

Katiba Inaypendekezwa ya nchi yetu imeanza kwa kuainisha kwa kutambua Wananchi na kusema “Kwa kuwa, sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu”. Usichanganyikiwe ndg yangu Laizer uliza utajulishwa maana kuuliza sio ujinga bali mtu ataka kujuzwa.


“Kwa kuwa, sisi wananchi wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
tumeamua rasmi na kwa dhati
kujenga katika nchi yetu jamii
inayoheshimu na kuzingatia misingi
ya utu na udugu, uhuru,
kujitegemea, haki, usawa, amani na
utulivu, umoja na mshikamano
katika nyanja zote za maisha yetu

HAYO NI MAANDISHI TU KAMA MAANDISHI MENGINE
 
Laizer karibu kwenye Forum ila ujiandae kujenga hoja. Lakini si kosa lako ni kutokuelewa unachokiongelea. Soma Katiba Inayopendekezwa ili uelewe. Katiba hiyo kuanzia kwenye Jalada la mbele hadi la mwisho hakuna ibara wala kifungu kinachoongelea matabaka ya walionacho na wasionacho! Hakuna! Labda wewe umesoma kitu kingine na si Katiba Inayopendekezwa. Kama hapo baadae utakuwa na hoja kuhusu Katiba unakaribishwa sana ndugu yangu. Bye bye!


Ahsante kwa ukaribisho.

BUT Kuhusu katiba ...mmmmmmmmhhhh!!! Hakuna kitu kule zaidi ya unyonyaji
 
"Kwa kuwa, sisi wananchi wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
tumeamua rasmi na kwa dhati
kujenga katika nchi yetu jamii
inayoheshimu na kuzingatia misingi
ya utu na udugu, uhuru,
kujitegemea, haki, usawa, amani na
utulivu, umoja na mshikamano
katika nyanja zote za maisha yetu

HAYO NI MAANDISHI TU KAMA MAANDISHI MENGINE

Je? kama ni maandishi kama maandishi mengine, nawe sii unaandika maandishi kama maandishi mengine? naona sasa umechoka mapema kapumzike huna hoja hapo
 
Je? kama ni maandishi kama maandishi mengine, nawe sii unaandika maandishi kama maandishi mengine? naona sasa umechoka mapema kapumzike huna hoja hapo



Me cjui unachokataa ni nini au wewe sio MTANZANIA?

Maana kama KATIBA Yenyewe haichukuliwa kutokana na maoni yetu wee unafkria nn.

And Hata kama sina hoja BUT Msimamo wangu ni ile ile ya HAPANA.

Na sio mimi tu na wengne pia
 
me cjui unachokataa ni nini au wewe sio mtanzania?

Maana kama katiba yenyewe haichukuliwa kutokana na maoni yetu wee unafkria nn.

And hata kama sina hoja but msimamo wangu ni ile ile ya hapana.

Na sio mimi tu na wengne pia

we unauhakika gani hao watapiga hapana? Kura ni siri ya mtu bhana acha mbwembwe humu ndani.
 
Katiba Yenyewe Imezidi Kutunyonga Sisi Wa Chini.

duh! ama kweli aliyenayo ataongezewa na asiekuanacho atanyang'anywa alichonacho ataongezewa yule mwenye nacho.

KURA YANGU NI YA Hapana

Kwani umeshajiandikisha maana inavyoonekana wanaweza wakatoa tu matokeo si unakumbuka walipigisha kura watu wakiwa hija. Jamaa fusi ya aibu ilishaungua
 
Laizer Peter unachanganyikiwa nini? Katiba ni msingi wa sheria za nchi yeyote duniani ndiyo maana inaitwa sheria mama. Hivyo Tanzania ikiwa miongoni mwa mataifa ya dunia hii inawajibika kuwa na katiba yake ili kuweza kusimamia nchi katika masuala mbalimbali ya kijamii kwa watu wake.

Katiba Inaypendekezwa ya nchi yetu imeanza kwa kuainisha kwa kutambua Wananchi na kusema "Kwa kuwa, sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu". Usichanganyikiwe ndg yangu Laizer uliza utajulishwa maana kuuliza sio ujinga bali mtu ataka kujuzwa.

Ni rahisi kujua watoto wa wanaokula nchi, sikieni basi kilio cha watoto wa wauza vitumbua maana hata wao ni watoto wa Ibrahimu
 
Asichukiwe mtu anaonyesha hisia zake waziwazi katika kupigia kura katiba pendekezwa hususani anaposema atapiga kura ya HAPANA. Kwa katiba hii chenge kiukweli inamapungufu makubwa kwenye baadhi ya Ibara zake na kama ameisoma akagundua yeye kama mtu wa chini kabisa haijamjali kwanini asiipinge.

Tuache kubebesha na kulazimisha kila mtu atumie akili zenu kwa kujiona kama ziko perfect.
 
Asichukiwe mtu anaonyesha hisia zake waziwazi katika kupigia kura katiba pendekezwa hususani anaposema atapiga kura ya HAPANA. Kwa katiba hii chenge kiukweli inamapungufu makubwa kwenye baadhi ya Ibara zake na kama ameisoma akagundua yeye kama mtu wa chini kabisa haijamjali kwanini asiipinge.

Tuache kubebesha na kulazimisha kila mtu atumie akili zenu kwa kujiona kama ziko perfect.

Naomba nikuweke sawa kwanza Chenge hiuyo unaemzungumzia humu ndani wala hana Katiba yeye alichangia mawazo yake kama walivyo wengine, na pili suala la kura ni siri ya mtu si vema kwa sasa kuanza kutambishiana kwa kusema mi ntapiga kura fulani, huo si uungwana, hapa tuelimishane kwa hoija zenye maana pasipo chuki.
 
Naomba nikuweke sawa kwanza Chenge hiuyo unaemzungumzia humu ndani wala hana Katiba yeye alichangia mawazo yake kama walivyo wengine, na pili suala la kura ni siri ya mtu si vema kwa sasa kuanza kutambishiana kwa kusema mi ntapiga kura fulani, huo si uungwana, hapa tuelimishane kwa hoija zenye maana pasipo chuki.


Hilo ni lako!!

Coz hata tukisema hapa kwamba kura yetu itakua HAPANA Serikali yetu haiangaliagi hata.

KUMBUKA RASIMU JINSI ILIVYOPITISHWA
 
Asichukiwe mtu anaonyesha hisia zake waziwazi katika kupigia kura katiba pendekezwa hususani anaposema atapiga kura ya HAPANA. Kwa katiba hii chenge kiukweli inamapungufu makubwa kwenye baadhi ya Ibara zake na kama ameisoma akagundua yeye kama mtu wa chini kabisa haijamjali kwanini asiipinge.

Tuache kubebesha na kulazimisha kila mtu atumie akili zenu kwa kujiona kama ziko perfect.



Tatizo la Watanzania wanataka mawazo yafanane kitu ambacho haiwezekani
 
Back
Top Bottom