Katiba kitu gani

Katiba kitu gani

Wanaandikisha wapi ndugu unayesema kweli na haupotoshi umma

Makiri Unguluma, Taarifa ninayoijua mimi zoezi la uandokishaji liifanyika katika baadhi ya maeneo ikiwa ni uandikishaji wa awali na zoezi hilo litaendelea pia katika maeneo mengine,sasa mchangiaji huyo anamanisha kwamba siku eneo lako likifikiwa utake action ya kwenda kujiandikisha ili uwe na haki ya kupiga kura si tu kwa katiba inayopendekezwa pia uchaguzi mkuu na chaguzi nyingine!
 
Hisia Ni Zaidi Ya Elimu


Hapa Laizer umemuuliza Claudia swali au nini hiki? Kama basi kwa jinsi ulivyosema kuwa hisia ni zaidi ya elimu basi tumekwisha na hakuna atakayetuokoa hapa, mimi nachochua Education purspose is to open an empty mind with an open one,kupata jambo jipya usilolijua ambalo linakutoa hatua moja kwenda nyingine!
 
Anawadanganya kivipi kwani mmesahau RASIMU Jinsi ilivyopitishwa?

Mimi ni fuatiliaji mzuri sana wa masuala ya kisiasa na taarifa mbalimbali kuhusu nchi yangu na katika hili mtu hawezi kunibabaisha.Ninachojua mimi zoezi pa upatikanaji wa katiba mpya limepitia hatua mbalimbali na hata hiyo rasimu yenyewe ilipatikana baada ya kukamilika kwa hatua fulani na kisha ikapatikana katiba inayopendekezwa kupitia Bungemaalumu la Katiba, kwa hiyo taratibu zote za kikanuni na kisheria zilifuatwa na ndio maana tuko hapa kilichobaki sasa ni creating awareness environment na uelewa kwa wananchi ili waweze kufanya maamuzi sahihi juu ya mustakabali wa taifa lao.
 
Back
Top Bottom