Basi Tukutane BarabaraniTutaipinga kwa nguvu zote pia
Mungu hapendi kukutana barabarani wakati kuna makorongo.tukutane mezaniBasi Tukutane Barabarani
Sasa, kama hawataki,Mungu hapendi kukutana barabarani wakati kuna makorongo.tukutane mezani
kupigwa na mwiko ni kawaida
Chama A kinamiliki vifaru,Chama B kinamiliki hoja,nani ananguvu mkiwa barabarani.Katiba hapo itaruhusu hela ya matumizi chama ASasa, kama hawataki,
Suluhu ni nini.? Inabidi tulazimishane ndio tuingie Barabarani.
Hujasikia Yalitokea Libya, Sudan na sasa hivi SwazilandChama A kinamiliki vifaru,Chama B kinamiliki hoja,nani ananguvu mkiwa barabarani.Katiba hapo itaruhusu hela ya matumizi chama A
Kama wewe siyo jingalao kiukweli, basi tumia sababu aliyoitaja mama Samia kuwa “anataka kujenga uchumi kwanza” kabla ya katiba mpya! Na siyo kutoa reference za mwendazake!Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Mama Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo....
Wateule wa vifaru ukiwashawishi wasitokee road basi mchezo ni asubuhi tu kijani inapoteaHujasikia Yalitokea Libya, Sudan na sasa hivi Swaziland
Lolote liwezekanalo litatumikaWateule wa vifaru ukiwashawishi wasitokee road basi mchezo ni asubuhi tu kijani inapotea
Makamanda naona mnataka kumjaribu mama. Nadhani mmesahau kuwa alishasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja; na Magu alisema yeye hajaribiwi, kwa hiyo na mama hajaribiwi.Mtake Msitake, Katiba Mpya lazima ipatikane.
Tutaidai kwa Nguvu na wivu Wote. [emoji58]
This time, hajaribiwi Atafanyiwa kweli.Makamanda naona mnataka kumjaribu mama. Nadhani mmesahau kuwa alishasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja; na Magu alisema yeye hajaribiwi, kwa hiyo na mama hajaribiwi.