Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Mbona 2015 ilikuwa kwenye Ilani kwanini Hakutekelezwa? Sio lazima Katiba iwe kwenye Ilani Acha Siasa za Chama kimojaLipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (Hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.