Katiba Mpya haipo kwenye Ilani wala ahadi za CCM, Tusimsumbue na tusimuwekee Rais Samia maneno mdomoni

Katiba Mpya haipo kwenye Ilani wala ahadi za CCM, Tusimsumbue na tusimuwekee Rais Samia maneno mdomoni

Wee nawe, hatudai katiba mpya ya rais au CCM, tunadai katiba mpya ya wananchi. Hii ya wananchi ipo kwenye ilani ya mioyo yao toka miaka 30 iliyopita.
Wananchi wa wapi waliomba katiba mpya?zaidi ya wanasiasa kuwajazia maneno mdomoni?
 
Wameteuliwa kina fatma Alimas ukuu wa wilaya , nyie waimba mapambio ya kusifu na kuabudu toka enzi za mwendazake mnasugua makalio tu jf hamjakoma tu .
Kwani wapi uliona ninapost kutaka uteuzi?
 
Pole itakuwepo na maslahi yako yaliyomo yataporomoka na hata usiamini macho yako.
 
CCM ndo kitu gani mbele ya TAIFA, nyie ni wapangaji tu, kibri chenu Cha kuwapanda kichwani wenye nyumba yao , kitawatoke puani, ipo siku asema bwana
 
Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Mama Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea(hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama,afya bora,barabara na madaraja,na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa dubai.
Kwa hiyo CCM ndio wakuamua suala la katiba mpya?
 
maneno huumba, lilivyo jina lako na kweli wewe sio mjinga tu bali mpuuzi wa kupuuzwa hadi na jiwe ambalo haliongei wala kujigusa.
 
Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Mama Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea(hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama,afya bora,barabara na madaraja,na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa dubai.
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona vimeumana mkuu, sorry wew umewahi kufika Dubai?
 
Huu ni ushabiki sasa! Mabadiliko hayapatikani mara zote kwenye saucer! Katiba lazima ibadilike mara kwa mara kulingana na mahitaji ya nchi. suala ni lini mabadiliko yafanyike!
 
Hoja zako zinafanan na za Salum Mkambala
 
Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.

Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.

Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.

Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Usimtaje marehemu ambaye kwa kweli mfumo mzima wa utawala aliuharibu kiasi cha kuvuruga hata mifumo ya uchaguzi, kuanzia ndani ya chama, mpaka nje ya chama.

Mwaka 2020 hakukuwana uchaguzi, kilichofanyika ni dikteta kuwapachika watu wake aliowataka, ambao Rais Samia ana kazi kubwa kuwachunguza ili kuwatambua wale waliowekwa na shetani kwenye utawala lakini wao binafsi siyo mawakala wa shetani, na wale ambao waliwekwa na shetani kwa sababu na wao wenyewe ni wa shetani. Hawa wa kundi la pili, wanaondolewa taratibu.
 
Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.

Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.

Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.

Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Msisahau kuwa Vijana na nguvu zao wapo
 
Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.

Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.

Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.

Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Katiba mpya sio suala la CCM au mtu,ni suala la wenye nchi wote na sio kikundi cha wachache wanaojiita CCM,UKIELEWA hapa utahangaika
 
Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.

Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.

Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.

Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Kwani tunadai katiba ya CCM.
 
Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.

Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.

Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.

Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Katiba sio hisani, katiba ni takwa la wananchi wenye akili
 
How possible mtu mwenye akili fupi kama wewe unafungua uzi?!Unaelewa kuwa takwa la katiba mpya siyo takwa la CCM wala chadema bali ni takwa la wananchi?
 
Majambazi kama sabaya kuwepo kwenye ofisi za umma ipo kwenye ilani yenu
 
Back
Top Bottom