Wananchi wa wapi waliomba katiba mpya?zaidi ya wanasiasa kuwajazia maneno mdomoni?Wee nawe, hatudai katiba mpya ya rais au CCM, tunadai katiba mpya ya wananchi. Hii ya wananchi ipo kwenye ilani ya mioyo yao toka miaka 30 iliyopita.
Kwa hiyo CCM ndio wakuamua suala la katiba mpya?Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Mama Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea(hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama,afya bora,barabara na madaraja,na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa dubai.
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Mama Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea(hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama,afya bora,barabara na madaraja,na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa dubai.
Kwan katiba mpya ni jinai, ni usaliti, ni uhujumu uchumi? Mbona unapinga san?Tutaipinga kwa nguvu zote pia
Usimtaje marehemu ambaye kwa kweli mfumo mzima wa utawala aliuharibu kiasi cha kuvuruga hata mifumo ya uchaguzi, kuanzia ndani ya chama, mpaka nje ya chama.Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Msisahau kuwa Vijana na nguvu zao wapoLipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Katiba mpya sio suala la CCM au mtu,ni suala la wenye nchi wote na sio kikundi cha wachache wanaojiita CCM,UKIELEWA hapa utahangaikaLipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Kwani tunadai katiba ya CCM.Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Katiba sio hisani, katiba ni takwa la wananchi wenye akiliLipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.