Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Mbona 2015 ilikuwa kwenye Ilani kwanini Hakutekelezwa? Sio lazima Katiba iwe kwenye Ilani Acha Siasa za Chama kimojaLipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (Hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Umeanza kwa uzuri na busara kubwa ila mwishoni ukanya.Lipo wimbi la waliokosa hoja za maendeleo kutaka kutuyumbisha.
Rais Samia atapimwa kwa utekelezaji wa Ilani ya CCM tu kwani huo ndio mkataba rasmi na wananchi kati yao na Serikali iliyopo.
Katiba mpya haipo kwenye Ilani ya CCM na mgombea (Hayati Magufuli ) na mwenza wake (incumbet president) hawajibiki kuitimiza.
Wananchi watamdai maji safi na Salama, afya bora, barabara na madaraja na fedha mfukoni.
Kamwe tusitengeneze mahitaji ya viongozi wahuni wala bata wa Dubai.
Chama A kinamiliki vifaru,Chama B kinamiliki hoja,nani ananguvu mkiwa barabarani.Katiba hapo itaruhusu hela ya matumizi chama A
Mimi ni mmoja wapo miaka 30 iliyopita hadi leo.Wananchi wa wapi waliomba katiba mpya?zaidi ya wanasiasa kuwajazia maneno mdomoni?