Katiba Mpya haiwezi kupatikana kabla ya 2025 na CHADEMA haitosusia Uchaguzi Mkuu

Katiba Mpya haiwezi kupatikana kabla ya 2025 na CHADEMA haitosusia Uchaguzi Mkuu

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362
Niliwahi kusema hapa vyama vyama vyote vya siasa vimetokana na CCM. Ni kama vile madhehebu mengine ya dini ya kikristo yalivyomeguka kutoka Katoliki. CCM ni chama kikubwa sana barani Afrika, hivyo hakuna chama hata kimoja Tanzania kinaweza kukitingisha.

CCM ni kweli wamesema kwamba wanategemea kuipatia Tanzania Katiba Mpya, ila wamefanya hivi kwa matakwa yao sio kwa kelele za chama chochote. Ni wao wanajua hiyo katika itakuja lini na itakuwaje, ila za ndani zinasema kwamba Katiba haitotokea kabla ya 2025 bali baada tena kwa mbali mbele ya 2030.

CHADEMA kwenye hatakati zao za kudai katiba walishawahi kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa, mfano mwaka 2019. Katika kususia kwao chaguzi ni kushinikiza mabadilko ya katiba wakidai kwamba katiba iliyopo inaipendelea CCM. Hapo kwanza ncheke..

Ila umeshawahi kusikia CHADEMA imesusia uchaguzi mkuu? Uchaguzi ni moja ya chanzo kikuu cha mapato cha CHADEMA. Hiki chama hujipatia fedha za kampeni kutoka kwa rafiki zao wa Ujerumani, Uingereza na Marekani. Hivyo hata Katiba iwe hii hii hadi 2060, bado CHADEMA utawaona tu kwenye uchaguzi mkuu. Wanajua watashindwa, ila hawataki kuacha pesa.

Niwaache na yafuatayo, kwanza Katiba Mpya itakuja CCM ikitaka, pili CHADEMA hata siku moja haiwezi kususia uchaguzi mkuu kisa hakuna Katiba Mpya. Tatu, Katiba Mpya sio mlango wa CHADEMA kushinda uchaguzi, hata ije leo Katiba Mpya, CCM itashinda tu.

Haya narakaribisha matusi..
 

Attachments

  • chadema-pic-data.jpg
    chadema-pic-data.jpg
    156.5 KB · Views: 7
Niliwahi kusema hapa vyama vyama vyote vya siasa vimetokana na CCM. Ni kama vile madhehebu mengine ya dini ya kikristo yalivyomeguka kutoka Katoliki. CCM ni chama kikubwa sana barani Afrika, hivyo hakuna chama hata kimoja Tanzania kinaweza kukitingisha.

CCM ni kweli wamesema kwamba wanategemea kuipatia Tanzania Katiba Mpya, ila wamefanya hivi kwa matakwa yao sio kwa kelele za chama chochote. Ni wao wanajua hiyo katika itakuja lini na itakuwaje, ila za ndani zinasema kwamba Katiba haitotokea kabla ya 2025 bali baada tena kwa mbali mbele ya 2030.

CHADEMA kwenye hatakati zao za kudai katiba walishawahi kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa, mfano mwaka 2019. Katika kususia kwao chaguzi ni kushinikiza mabadilko ya katiba wakidai kwamba katiba iliyopo inaipendelea CCM. Hapo kwanza ncheke..

Ila umeshawahi kusikia CHADEMA imesusia uchaguzi mkuu? Uchaguzi ni moja ya chanzo kikuu cha mapato cha CHADEMA. Hiki chama hujipatia fedha za kampeni kutoka kwa rafiki zao wa Ujerumani, Uingereza na Marekani. Hivyo hata Katiba iwe hii hii hadi 2060, bado CHADEMA utawaona tu kwenye uchaguzi mkuu. Wanajua watashindwa, ila hawataki kuacha pesa.

Niwaache na yafuatayo, kwanza Katiba Mpya itakuja CCM ikitaka, pili CHADEMA hata siku moja haiwezi kususia uchaguzi mkuu kisa hakuna Katiba Mpya. Tatu, Katiba Mpya sio mlango wa CHADEMA kushinda uchaguzi, hata ije leo Katiba Mpya, CCM itashinda tu.

Haya narakaribisha matusi..
Anawashwa
 
Wewe Getrude Mollel shida yako ni ipi hasa katika hilo? Nini hasa kimekukerekets hadi kufungua huu uzi? Waliosema hayo ya Katiba mpya ni CCM wala si CDM, cha ajabu wewe lawama zako unaelekezea CDM. Au Shaka Ni mwenezi wa CDM?
 
Unadanganya watu wewe.nchi za ulaya ndo zinasimamia democracy na sio ccm.magu mwenyewe alifyata mkia,mpaka akalazimisha COVID-19 waingie bungeni kwa nguvu.
 
Wewe Getrude Mollel shida yako ni ipi hasa katika hilo? Nini hasa kimekukerekets hadi kufungua huu uzi? Waliosema hayo ya Katiba mpya ni CCM wala si CDM, cha ajabu wewe lawama zako unaelekezea CDM. Au Shaka Ni mwenezi wa CDM?
Huyu ni mbuzi tu hana lolote!!

Inashangaza kama kuna sehemu CHADEMA walitangaza kuwa wanaleta katiba mpya 2025,

CCM ndo wametangaza katiba mpya, sasa huyu lawama kwa chadema.sijui za nn
 
Hivi hizi nchi zinazosimamia chaguzi hasa Uchaguzi mkuu si wanaridhika na demokrasia inayooneshwa katika uchaguzi mkuu?

Kama wasingeridhishwa na uchaguzi c wangeshaishtaki jii Tanzania?
 
Niliwahi kusema hapa vyama vyama vyote vya siasa vimetokana na CCM. Ni kama vile madhehebu mengine ya dini ya kikristo yalivyomeguka kutoka Katoliki. CCM ni chama kikubwa sana barani Afrika, hivyo hakuna chama hata kimoja Tanzania kinaweza kukitingisha.

CCM ni kweli wamesema kwamba wanategemea kuipatia Tanzania Katiba Mpya, ila wamefanya hivi kwa matakwa yao sio kwa kelele za chama chochote. Ni wao wanajua hiyo katika itakuja lini na itakuwaje, ila za ndani zinasema kwamba Katiba haitotokea kabla ya 2025 bali baada tena kwa mbali mbele ya 2030.

CHADEMA kwenye hatakati zao za kudai katiba walishawahi kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa, mfano mwaka 2019. Katika kususia kwao chaguzi ni kushinikiza mabadilko ya katiba wakidai kwamba katiba iliyopo inaipendelea CCM. Hapo kwanza ncheke..

Ila umeshawahi kusikia CHADEMA imesusia uchaguzi mkuu? Uchaguzi ni moja ya chanzo kikuu cha mapato cha CHADEMA. Hiki chama hujipatia fedha za kampeni kutoka kwa rafiki zao wa Ujerumani, Uingereza na Marekani. Hivyo hata Katiba iwe hii hii hadi 2060, bado CHADEMA utawaona tu kwenye uchaguzi mkuu. Wanajua watashindwa, ila hawataki kuacha pesa.

Niwaache na yafuatayo, kwanza Katiba Mpya itakuja CCM ikitaka, pili CHADEMA hata siku moja haiwezi kususia uchaguzi mkuu kisa hakuna Katiba Mpya. Tatu, Katiba Mpya sio mlango wa CHADEMA kushinda uchaguzi, hata ije leo Katiba Mpya, CCM itashinda tu.

Haya narakaribisha matusi..

Chama kikubwa wapi?. Kwa mfumo mbovu wa uchaguzi lakini chadema ilipata asilimia 40 mwaka 2015. Kama mfumo ungekuwa huru CCM ingepitia wapi?. Ndio maana 2020 ilibidi wavuruge uchaguzi.
 
Niliwahi kusema hapa vyama vyama vyote vya siasa vimetokana na CCM. Ni kama vile madhehebu mengine ya dini ya kikristo yalivyomeguka kutoka Katoliki. CCM ni chama kikubwa sana barani Afrika, hivyo hakuna chama hata kimoja Tanzania kinaweza kukitingisha.

CCM ni kweli wamesema kwamba wanategemea kuipatia Tanzania Katiba Mpya, ila wamefanya hivi kwa matakwa yao sio kwa kelele za chama chochote. Ni wao wanajua hiyo katika itakuja lini na itakuwaje, ila za ndani zinasema kwamba Katiba haitotokea kabla ya 2025 bali baada tena kwa mbali mbele ya 2030.

CHADEMA kwenye hatakati zao za kudai katiba walishawahi kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa, mfano mwaka 2019. Katika kususia kwao chaguzi ni kushinikiza mabadilko ya katiba wakidai kwamba katiba iliyopo inaipendelea CCM. Hapo kwanza ncheke..

Ila umeshawahi kusikia CHADEMA imesusia uchaguzi mkuu? Uchaguzi ni moja ya chanzo kikuu cha mapato cha CHADEMA. Hiki chama hujipatia fedha za kampeni kutoka kwa rafiki zao wa Ujerumani, Uingereza na Marekani. Hivyo hata Katiba iwe hii hii hadi 2060, bado CHADEMA utawaona tu kwenye uchaguzi mkuu. Wanajua watashindwa, ila hawataki kuacha pesa.

Niwaache na yafuatayo, kwanza Katiba Mpya itakuja CCM ikitaka, pili CHADEMA hata siku moja haiwezi kususia uchaguzi mkuu kisa hakuna Katiba Mpya. Tatu, Katiba Mpya sio mlango wa CHADEMA kushinda uchaguzi, hata ije leo Katiba Mpya, CCM itashinda tu.

Haya narakaribisha matusi..
Mpumbavu ww saidia masai wenzako wanofukuzwa loliondo
 
Niliwahi kusema hapa vyama vyama vyote vya siasa vimetokana na CCM. Ni kama vile madhehebu mengine ya dini ya kikristo yalivyomeguka kutoka Katoliki. CCM ni chama kikubwa sana barani Afrika, hivyo hakuna chama hata kimoja Tanzania kinaweza kukitingisha.

CCM ni kweli wamesema kwamba wanategemea kuipatia Tanzania Katiba Mpya, ila wamefanya hivi kwa matakwa yao sio kwa kelele za chama chochote. Ni wao wanajua hiyo katika itakuja lini na itakuwaje, ila za ndani zinasema kwamba Katiba haitotokea kabla ya 2025 bali baada tena kwa mbali mbele ya 2030.

CHADEMA kwenye hatakati zao za kudai katiba walishawahi kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa, mfano mwaka 2019. Katika kususia kwao chaguzi ni kushinikiza mabadilko ya katiba wakidai kwamba katiba iliyopo inaipendelea CCM. Hapo kwanza ncheke..

Ila umeshawahi kusikia CHADEMA imesusia uchaguzi mkuu? Uchaguzi ni moja ya chanzo kikuu cha mapato cha CHADEMA. Hiki chama hujipatia fedha za kampeni kutoka kwa rafiki zao wa Ujerumani, Uingereza na Marekani. Hivyo hata Katiba iwe hii hii hadi 2060, bado CHADEMA utawaona tu kwenye uchaguzi mkuu. Wanajua watashindwa, ila hawataki kuacha pesa.

Niwaache na yafuatayo, kwanza Katiba Mpya itakuja CCM ikitaka, pili CHADEMA hata siku moja haiwezi kususia uchaguzi mkuu kisa hakuna Katiba Mpya. Tatu, Katiba Mpya sio mlango wa CHADEMA kushinda uchaguzi, hata ije leo Katiba Mpya, CCM itashinda tu.

Haya narakaribisha matusi..

Ule utoto wako wa twitter naona unalazimisha kuuleta huku!
 
Hivi hizi nchi zinazosimamia chaguzi hasa Uchaguzi mkuu si wanaridhika na demokrasia inayooneshwa katika uchaguzi mkuu?

Kama wasingeridhishwa na uchaguzi c wangeshaishtaki jii Tanzania?

Hakuna nchi hata moja inasimamia uchaguzi wa nchi nyingine, sana sana yakitokea mauaji makubwa ndio umoja wa mataifa, na taasisi nyingine za haki za binadamu duniani zinaweza kuchukua hatua fulani, au kupaza sauti kama kulaani, vikwazo vya kiuchumi nk.
 
asilimia zaid ya 70% ya Wajumbe wa Kamati kuu ya vyama vyote vya Upinzani Tanzania ni 'Polisi Jamii' wa Chama cha Mapinduzi
Takwa la katiba mpya Sio la CHADEMA wala ccm ni la Dola!Dola imewatumia Chadema ku push Hiyo ajenda ya KATIBA MPYA!!
KWA hiyo haijalishi MAMA atawalambisha asali na kuwapapasa kina MBOWE kiasi GANI!
Dola inataka katiba Mpya kabla ya UCHAGUZI na sio kuachiana majimbo kabla ya UCHAGUZI KWA katiba iliyopo!!!!
MAMA ALIAMBIWA KATIBA MPYA IANZE KUANDIKWA MWAKA HUU ILI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 UWE CHINI YA KATIBA HIYO!!ISIPOPATIKANA ITASUBIRIWA HADI IPATIKANE NDIPO UCHAGUZI UFANYIKE!!!
MSIJE MKAMPONZA MAMA AKAKIMBIA KITI MWENYEWE BILA KUPENDA!!!!
RIP JPM!!!
 
M
Uchaguzi utakuwepo, mkisusa wenzenu wanakula, na huo ndo unakuwa mwisho wenu
Mkuu
2025 ni mbali SANA
Kuna wimbi la nne la corona unaamini mta savaivu!!?
Huko ni mbali SANA!!
Mama hajafika uthubutu wa JPM !!!
Msimpe kichwa mkamuumiza !
Muacheni afate maagizo 35 ya dola aliyopewa garberon room no:26!
Mnapojaribu kumjaza ujinga mnafanya too late yake isiwe beyond ya muda aliopewa!!
Hadi Sasa ameshawakosea Sana wenye dola tena Sana Sana!!!!
Amechelewa kuanza mchakato wa katiba,amekopa Sana,amelinda wavunjifu wa Sheria na mengine Mengi!!!
SOURCE;-Tumia akili, de'levis!!!
 
Kama wewe ni kanda ya ziwa ULIE- NEUTRAL AMA CCM 👉🏽GONGA LIKE TWENDE SAWA, CHADEMA TUWAACHIE WENYE KANDA YAO(KASKAZINI/CHAGGA)
 
Back
Top Bottom