katiba mpya inawajali wazee. Katika hili tukubaliane tuache ubishi wa kishamba!

katiba mpya inawajali wazee. Katika hili tukubaliane tuache ubishi wa kishamba!

nyimbag

Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
41
Reaction score
17
jamani kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu katiba inayopendekezwa. Kila mtu anasema lake lakini hatuwezi kukataa kuwa Katiba Inayopendekezwa inawajali wazee wanaobisha ni wabishi wa asili.
 
jamani kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu katiba inayopendekezwa. Kila mtu anasema lake lakini hatuwezi kukataa kuwa Katiba Inayopendekezwa inawajali wazee wanaobisha ni wabishi wa asili.

Kwa vipi inawajali, weka vifungu sio unaongea tu! And do not read those vifungu in isolation. Approach with a holistic outlook!
 
Kwa vipi inawajali, weka vifungu sio unaongea tu! And do not read those vifungu in isolation. Approach with a holistic outlook!

Ndugu CHUAKACHARA, Nimekubaliana na mawazo yako ya kukupa vifungu vinavyohusiana na wazee. Yapo mambo mengi yaliyoainishwa katika Katiba hii Inayopendekezwa kuhusu wazee nchini. Mambo hayo yamebainishwa katika (Ibara ya 58) ambayo inayowatambua kuwa Wazee ni hazina ya taifa letu. Katiba Inayopendekezwa inatambua umuhimu huu wa wazee katika jamii.


Ndani ya Katiba Inayopendekezwa wazee wanapewa fursa ya kushiriki katika shughuli za kimaendeleo na kijamii, kupata huduma mbalimbali na kulindwa dhidi ya vitendo vya ukatili. Kupitia Katiba Inayopendekezwa kutawekwa miundombinu na mazingira bora yatakayowawezesha kwenda wanakotaka na kutumia vyombo vya usafiri wa umma kwa gharama nafuu.
 
Umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba.

swissme
 
jamani kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu katiba inayopendekezwa. Kila mtu anasema lake lakini hatuwezi kukataa kuwa Katiba Inayopendekezwa inawajali wazee wanaobisha ni wabishi wa asili.

Since most of us lack critical thinking we cannot see clearly what's important!
 
Umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba.

swissme

Nasikitika kuwa unayoyaongea ndiyo tabia yako. Hoja yako ulihitaji upewe uthibitisho, umepewa unaleta matusi. Tukueleweje? Anyway, Sikulaumu umejidhihirisha wazi kuwa hayo ndiyo malezi ulivyolelewa. Huo ni umasikini wa mawazo, mwazo mgando, kukengeuka na kukubuhu kwa tabia za udomo kaya. JF ni eneo la watu kujadiliana siyo kutoa lugha za kubabaisha na matusi. Ukiona mambo ni mazito kwako na huwezi kuhimili mjadala, kapumzike! unaweza kuwakarahisha wasiyopenda tabia kama zako. Uwe muungwana penda nchi yako, Kubwa zaidi soma Katiba Inayopendekezwa.
 
umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba.

Swissme

swissme we utakuwa mvuta bangi ama umelewa mchana kweupeee, punguza jazba, tatizo unaparamia ovyo pombe mchana mchana, soma kitu ukielewe na jibu hoja iliyowekwa sio blaa blaa zako humu ndani.
 
Nasikitika kuwa unayoyaongea ndiyo tabia yako. Hoja yako ulihitaji upewe uthibitisho, umepewa unaleta matusi. Tukueleweje? Anyway, Sikulaumu umejidhihirisha wazi kuwa hayo ndiyo malezi ulivyolelewa. Huo ni umasikini wa mawazo, mwazo mgando, kukengeuka na kukubuhu kwa tabia za udomo kaya. JF ni eneo la watu kujadiliana siyo kutoa lugha za kubabaisha na matusi. Ukiona mambo ni mazito kwako na huwezi kuhimili mjadala, kapumzike! unaweza kuwakarahisha wasiyopenda tabia kama zako. Uwe muungwana penda nchi yako, Kubwa zaidi soma Katiba Inayopendekezwa.
Wewe umejijua kuwa ni mshamba kushobokea ushuzi usiokuhusu na kuwalaghai watanzania na katiba yako ya uwagent wa Albino

swissme
 
swissme we utakuwa mvuta bangi ama umelewa mchana kweupeee, punguza jazba, tatizo unaparamia ovyo pombe mchana mchana, soma kitu ukielewe na jibu hoja iliyowekwa sio blaa blaa zako humu ndani.
Yeah man jamaa hoja yake kaishatukana Watanzania kuwa ni washamba yeye kaona hilo tu kwa wazee.hakuna hoja hapo matapishi tu.


swissme.
 
mleta mada ni boya. inaonekana kwa wk mbili mmekuwa mnaleta uongo kuwa wazee wamewajari.huzi mmoja humu niliweka no ya bibi yuko kernye kamati ya kitaifa kuhusu mafao na jinsi ya kuwajali wazee. ata wazee waliopendekezwa kwenda bunge la katiba hakuna ata mmoja alichaguliwa. kwanini tusikuite boya?
 
Ndugu CHUAKACHARA, Nimekubaliana na mawazo yako ya kukupa vifungu vinavyohusiana na wazee. Yapo mambo mengi yaliyoainishwa katika Katiba hii Inayopendekezwa kuhusu wazee nchini. Mambo hayo yamebainishwa katika (Ibara ya 58) ambayo inayowatambua kuwa Wazee ni hazina ya taifa letu. Katiba Inayopendekezwa inatambua umuhimu huu wa wazee katika jamii.


Ndani ya Katiba Inayopendekezwa wazee wanapewa fursa ya kushiriki katika shughuli za kimaendeleo na kijamii, kupata huduma mbalimbali na kulindwa dhidi ya vitendo vya ukatili. Kupitia Katiba Inayopendekezwa kutawekwa miundombinu na mazingira bora yatakayowawezesha kwenda wanakotaka na kutumia vyombo vya usafiri wa umma kwa gharama nafuu.

Mwasi, these provisions in the katika pendekezwa, the way it stands now are political statements. Kama wanasema wazee wamelindwa this way and that way, at the same time wanasema you can not contest it in a court of law, is non sense, ndiyo maana nimesema you need to read this katiba pendekezwa in a holistic approach and not in isolation. Nimependa argument yako! Inaelekea unajali wazee
 
Mwasi, these provisions in the katika pendekezwa, the way it stands now are political statements. Kama wanasema wazee wamelindwa this way and that way, at the same time wanasema you can not contest it in a court of law, is non sense, ndiyo maana nimesema you need to read this katiba pendekezwa in a holistic approach and not in isolation. Nimependa argument yako! Inaelekea unajali wazee

Kama misingi isipowajali wazee wetu ambao wakati wao ndiyo hao waliosimamia maslahi ya nchi yetu wakati wakiwa na nguvu ambazo aidha waliwahudumia Watanzania katika nafasi mbalimbali kwenye utumishi wa Umma ama sekta binafsi. Hawa ndiyo wazazi wetu, walezi wetu, babu na bibi zetu. Kumbuka wazee ni hazina kuanzia familia, mtaa, kata, tarafa, wilaya, mkoa na taifa. Tuwajali kama Katiba Inayopendekezwa inavyoainisha.

Nawaasa Watanzania, tusichoshwe na kuchanganya na watu wenye uoni hafifu kwenye umaana na mantiki ya wazee kutambuliwa. Kukosa kwao busara wanaishia kutoa lugha isiyo na staha na kuwashawishi watu wengine wafuate porojo zao. Labda wanadhani hatua ya uzee haitawafikia andaa maisha yako sasa kwa kuweka misingi imara ya Kikatiba.
 
Umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba.

swissme

Katika hali ya kawaida, huwezi kutoa usichonacho. wewe swissme nimekubali huna hoja tumia akili katika kufikiri usitumie matope. Maneno hayo yoote! hoja yake nini? Jibu hoja au toa hoja yenye kujenga na siyo kuonesha ujinga wako mbele ya wasomaji wa JF. Unaweza kufikiri wanakufagilia kumbe unaanika ujinga tu. Tumia ngalau punje tu ja busara tutakuelewa vizuri zaidi kuliko matusi yako. Anyway hivyo ndivyo ulivyolelewa labda na ndiyo makuzi yako yalivyokuwa. Katiba ya nchi yetu ni ya muhimu zaidi kuliko lugha chafu, pata wasaa, Isome sasa.
 
mleta mada ni boya. inaonekana kwa wk mbili mmekuwa mnaleta uongo kuwa wazee wamewajari.huzi mmoja humu niliweka no ya bibi yuko kernye kamati ya kitaifa kuhusu mafao na jinsi ya kuwajali wazee. ata wazee waliopendekezwa kwenda bunge la katiba hakuna ata mmoja alichaguliwa. kwanini tusikuite boya?

Bonge la tapeli mpotoshaji mimempa za uso hapo juu.

swissme
 
Katika hali ya kawaida, huwezi kutoa usichonacho. wewe swissme nimekubali huna hoja tumia akili katika kufikiri usitumie matope. Maneno hayo yoote! hoja yake nini? Jibu hoja au toa hoja yenye kujenga na siyo kuonesha ujinga wako mbele ya wasomaji wa JF. Unaweza kufikiri wanakufagilia kumbe unaanika ujinga tu. Tumia ngalau punje tu ja busara tutakuelewa vizuri zaidi kuliko matusi yako. Anyway hivyo ndivyo ulivyolelewa labda na ndiyo makuzi yako yalivyokuwa. Katiba ya nchi yetu ni ya muhimu zaidi kuliko lugha chafu, pata wasaa, Isome sasa.
Habari zako zote huwa ni za kutunga na bila ushaidi.unalopoka tu lazima nikupe za kichwa.

swissme
 
Habari zako zote huwa ni za kutunga na bila ushaidi.unalopoka tu lazima nikupe za kichwa.

swissme

Ukiambiwa, fanya utafiti, kama Tanzania tusingekuwa na wazee hatukuwa na haja ya kuingiza mahitaji ya wazee kwenye Katiba Inayopendekezwa. Lakini kwa sababu wapo, ni vema watambuliwe kisheria. Msomaji wa JF chuja na achana na swissme anayetishia kuwapa kama alivyosema "nikupe za kichwa". JF hazipo hizo akajiunge na masumbwi nafasi ipo wazi ni yeye kwenda tu, watampa nafsi kama wataona anafaa. Hapa JF awaachie wenye kusoma na kutoa hoja na kuelimisha jamii na sio kuonesha ubabe usio na msingi wowote.
 
Ukiambiwa, fanya utafiti, kama Tanzania tusingekuwa na wazee hatukuwa na haja ya kuingiza mahitaji ya wazee kwenye Katiba Inayopendekezwa. Lakini kwa sababu wapo, ni vema watambuliwe kisheria. Msomaji wa JF chuja na achana na swissme anayetishia kuwapa kama alivyosema "nikupe za kichwa". JF hazipo hizo akajiunge na masumbwi nafasi ipo wazi ni yeye kwenda tu, watampa nafsi kama wataona anafaa. Hapa JF awaachie wenye kusoma na kutoa hoja na kuelimisha jamii na sio kuonesha ubabe usio na msingi wowote.
Lakini hasilazimishe Watanzania na kuwaita washamba je na wewe nawe umeona hilo tu katika katiba.hana hata kifungu.je hajaona mapungufu katika katiba?

Swissme
 
Back
Top Bottom