katiba mpya inawajali wazee. Katika hili tukubaliane tuache ubishi wa kishamba!

katiba mpya inawajali wazee. Katika hili tukubaliane tuache ubishi wa kishamba!

kwa vipi inawajali, weka vifungu sio unaongea tu! And do not read those vifungu in isolation. Approach with a holistic outlook!

mmhhhhh kuna mijitu inatia hasira humu kusoma hasomi, huyu chakachuara clearly ni crazy unapewa vifungu ukasome bado unatoa macho nawasiwasi na elimu.
 
Lakini hasilazimishe Watanzania na kuwaita washamba je na wewe nawe umeona hilo tu katika katiba.hana hata kifungu.je hajaona mapungufu katika katiba?

Swissme

KUWA MUELEWA WEWE KIUMBE MBNA UNAKUWA MGUMU KUELEWA HIVO MPAKA UNATAKA KUWA MBABE? Ubabe fanya kwenu bhana tuachie amani yetu sisi Watnzania wapenda amani.
 
umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba.

Swissme

swissme hujielewi kati ya watu ambao nawaona wako empty mind ni wewe umepewa ibara ukashangaa najua hukusoma ukaanza kubahatisha kwa kujifanya unauliza umeliona hilo tuuuuu bila aibu ukadhani utafafanuliwa kwa umburula wako mvivu wa kufikiri,

ongeza mwenyewe mambo unayojua nje ya hayo yaliyotajwa kwenye katiba pendekezwa tuone kama hutaanza kutaja non sense acha umbilikimo fikiri sawasawa!
 
Lakini hasilazimishe Watanzania na kuwaita washamba je na wewe nawe umeona hilo tu katika katiba.hana hata kifungu.je hajaona mapungufu katika katiba?

Swissme

Usiwe mwepesi wa kusahau, maneno yako uliyoandika leo hii hii, umeyasahau uliyoyasema "Today 19:31 By swissme https://www.jamiiforums.com/katiba-...e-tuache-ubishi-wa-kishamba.html#post12265320 Umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba. swissme".

Sasa tutapimaje busara yako na hekima yako katika kupambanua mambo kama ndiyo punde tu umesahau? Zaidi ya hapo hatuna neno la Kiswahili la "hasilazimishe" Mimi nimekuwa nawajali sana msomaji wa JF kwani ndio hao ambao tunaeleweshana kwa hoja na mwisho wa yote tunafikia muafaka wa jambo husika.

Karibu naona umejirudi. Ndugu yangu swissme, Busara haiuzwi, inajengwa na kukuzwa kwa kuwa msikivu na kupambanua mema na mabaya yasiyojenga jamii. Tuijenge nchi yetu, hatuna Tanzania nyingine. Kumbuka wazee ni hazina kuanzia familia, mtaa, kata, tarafa, wilaya, mkoa na taifa. Tuwajali kama Katiba Inayopendekezwa inavyoainisha.



 
Lakini hasilazimishe Watanzania na kuwaita washamba je na wewe nawe umeona hilo tu katika katiba.hana hata kifungu.je hajaona mapungufu katika katiba?

Swissme

Usiwe mwepesi wa kusahau, maneno yako uliyoandika leo hii hii, umeyasahau uliyoyasema “Today 19:31 By swissme https://www.jamiiforums.com/katiba-...e-tuache-ubishi-wa-kishamba.html#post12265320Umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba. swissme”.

Sasa tutapimaje busara yako na hekima yako katika kupambanua mambo kama ndiyo punde tu umesahau? Zaidi ya hapo hatuna neno la Kiswahili la “hasilazimishe” Mimi nimekuwa nawajali sana msomaji wa JF kwani ndio hao ambao tunaeleweshana kwa hoja na mwisho wa yote tunafikia muafaka wa jambo husika.

Karibu naona umejirudi. Ndugu yangu swissme, Busara haiuzwi, inajengwa na kukuzwa kwa kuwa msikivu na kupambanua mema na mabaya yasiyojenga jamii. Tuijenge nchi yetu, hatuna Tanzania nyingine. Kumbuka wazee ni hazina kuanzia familia, mtaa, kata, tarafa, wilaya, mkoa na taifa. Tuwajali kama Katiba Inayopendekezwa inavyoainisha.
 
[font=&amp]usiwe mwepesi wa kusahau, maneno yako uliyoandika leo hii hii, umeyasahau uliyoyasema [/font][font=&amp]"today 19:31 by swissme [/font][font=&amp]umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba. Swissme". [/font]

[font=&amp]sasa tutapimaje busara yako na hekima yako katika kupambanua mambo kama ndiyo punde tu umesahau? Zaidi ya hapo hatuna neno la kiswahili la "hasilazimishe" mimi nimekuwa nawajali sana msomaji wa jf kwani ndio hao ambao tunaeleweshana kwa hoja na mwisho wa yote tunafikia muafaka wa jambo husika. [/font]

[font=&amp]karibu naona umejirudi. Ndugu yangu swissme, busara haiuzwi, inajengwa na kukuzwa kwa kuwa msikivu na kupambanua mema na mabaya yasiyojenga jamii. Tuijenge nchi yetu, hatuna tanzania nyingine. [/font][font=&amp]kumbuka wazee ni hazina kuanzia familia, mtaa, kata, tarafa, wilaya, mkoa na taifa. Tuwajali kama katiba inayopendekezwa inavyoainisha.[/font]

msamehe bure huyo maana hajielewi na amechanganya frequencies ndo maana anasahau anachokiandika.
 
mmhhhhh kuna mijitu inatia hasira humu kusoma hasomi, huyu chakachuara clearly ni crazy unapewa vifungu ukasome bado unatoa macho nawasiwasi na elimu.

Wewe kama ni binti kuwa na adabu. Mtoto wa kike kinywa chake huwa ni kisafi! Sitakujibu maana huna adabu! Na kwa mumeo utakuwa tatizo kubwa sana! Ni hasara kwa mmeo (if at all you are a lady)
 
Wewe kama ni binti kuwa na adabu. Mtoto wa kike kinywa chake huwa ni kisafi! Sitakujibu maana huna adabu! Na kwa mumeo utakuwa tatizo kubwa sana! Ni hasara kwa mmeo (if at all you are a lady)

PUNGUZA JAZBA LIJIBABA, AU MANENO YAKE YAMEKUWA SUMU KWAKE? KAMA SUMU BASI KAUSHA, VUMILIA WEKENI HOJA ZA MAANA NA MUACHE MALUMBANO YASIYO NA MAANA. nadhani umenielewa.
 
Wewe kama ni binti kuwa na adabu. Mtoto wa kike kinywa chake huwa ni kisafi! Sitakujibu maana huna adabu! Na kwa mumeo utakuwa tatizo kubwa sana! Ni hasara kwa mmeo (if at all you are a lady)

CHUAKACHARA, Nasi mabinti tunahaki ya kuzungumza maana wanatumia vibaya jukwaa hili. Ndio maana siku zote nasema hoja tunazotoa ziwe ni kwa manufaa ya wengi. Matusi sio mtaji zaidi ya kuonesha udhaifu wa mtu katika kuchangia hoja. Sichoki kuwasisitiza wasomaji wa JF wanaojitahidi kuelimisha ni vema kuwa na maswali ili watueleze zaidi mwisho wa siku tupate ufahamu wa mambo kwa upana wake zaidi.
 
CHUAKACHARA, Nasi mabinti tunahaki ya kuzungumza maana wanatumia vibaya jukwaa hili. Ndio maana siku zote nasema hoja tunazotoa ziwe ni kwa manufaa ya wengi. Matusi sio mtaji zaidi ya kuonesha udhaifu wa mtu katika kuchangia hoja. Sichoki kuwasisitiza wasomaji wa JF wanaojitahidi kuelimisha ni vema kuwa na maswali ili watueleze zaidi mwisho wa siku tupate ufahamu wa mambo kwa upana wake zaidi.

Lakini wewe mwanangu umenitukana, nilitoa wazo kuwa weka vifungu mtu apate insight ya kinachosemwa. kama umepitia sheria, majaji/mahakimu wanapenda sana ku-quote vifungu kuonyesha anachokisema kinasimamiwa na sheria na siyo mawazo yake. Mimi ninayo katiba pendekezwa, lakini wengine hawana ndio maana nikasema weka vifungu and a holistic approach would be more meaningful than isolated quotations! Anyway, all in all, umenitukana ingawa mimi sikutukana mtu!
Haya asante mwanangu,
Have a nice day
 
Tanzania haijawahi kuwa na shida ya sera nzuri. Shida kubwa ni usimamiaji, ufuatiliaji, utekelezaji. Kwa kifupi vyombo vtenye meno kusaidia kutekeleza haya mambo yanayopendekezwa na hayatekelezwi. Wateule wachache wanakuwa na maamuzi makubwa bila kuwa na accountability.
Pamoja na katiba kuwa na mambo mazuri meeeengi ni mambo ambayo kwa uhakika yasipotekelezwa hakuna jinsi ya kudai zaidi ya kulia lia tu.

Kuwa na jambo zuri hakuzuii kudai udhaifu uondolewe. Kudai kuboreshwa kwa katiba pendekezwa hakumaanishi mambo mazuri yatolewe!!!!!
 
umeona hii nchi ni ya wazee peke yao tu sio??
 
Tanzania haijawahi kuwa na shida ya sera nzuri. Shida kubwa ni usimamiaji, ufuatiliaji, utekelezaji. Kwa kifupi vyombo vtenye meno kusaidia kutekeleza haya mambo yanayopendekezwa na hayatekelezwi. Wateule wachache wanakuwa na maamuzi makubwa bila kuwa na accountability.
Pamoja na katiba kuwa na mambo mazuri meeeengi ni mambo ambayo kwa uhakika yasipotekelezwa hakuna jinsi ya kudai zaidi ya kulia lia tu.
Kuwa na jambo zuri hakuzuii kudai udhaifu uondolewe. Kudai kuboreshwa kwa katiba pendekezwa hakumaanishi mambo mazuri yatolewe!!!!!

Haika, ni kweli mambo mazuri yakiwepo kwenye Katiba ndiyo msingi wa yote. Sheria Mama ndiyo katiba na Bunge litakuwa na jukumu la kutunga sheria kwa msingi wa sheria Mama ili kusimamia maslahi ya Watanzania kwa ujumla wao. Haya yote hayawezi kufikiwa kama sheria Mama Katiba Inayopendekezwa, soma na mwelimishe mwingine ajue umuhimu wa Katiba hii Inayopendekezwa kwa maendeleo ya nchi yetu na watu wake. Mungu Ibariki Tanzania na watu wake.
 
umeona hii nchi ni ya wazee peke yao tu sio??

Hewizet karibu ili uelimike, nchi yetu inawatu wenye mahitaji mbalimbali lakini anza na hii ili ujue makundi hayo yalivyoainishwa na mahitaji yake. Sura ya Tano Ibara ya 32 – 59 ndiyo mahususi inabainisha masuala yote yanayohusu Haki za Binadamu, Wajibu wa Raia, Jamii na Mamlaka ya Nchi. Usifungwe na hoja iliyopo kwenye mjadala. Kama una hoja uliza nipo kwa ajili yako ili uelimike na wengine juu ya umuhimu wa Katiba Inayopendekezwa kwa maendeleo ya nchi yetu na watu wake.

Kwa kifupi yapo mambo yanayohusu Uhuru, utu na usawa wa binadamu, Haki ya kuishi, Haki ya kutobaguliwa, Haki ya kutokuwa mtumwa, Uhuru wa mtu binafsi, Haki ya faragha na usalama wa mtu, Uhuru wa mtu kwenda anakotaka, Uhuru wa maoni, Uhuru wa habari na vyombo vya habari, Uhuru wa imani ya dini, Uhuru wa mtu kujumuika na kushirikiana na wengine, Uhuru wa kushiriki shughuli za utawala wa nchi, Haki ya kufanya kazi, Haki za wafanyakazi na waajiri.

Makundi mengine ni Haki za wakulima, wafugaji, wavuvi na wachimbaji madini, Haki ya kumiliki mali, Haki ya mtuhumiwa na mfungwa, Haki ya mtu aliye chini ya ulinzi au kizuizi, Uhuru na haki ya mazingira safi na salama, Haki ya afya na maji safi na salama, Haki ya elimu, Haki za mtoto, Haki na wajibu wa vijana, Haki za watu wenye ulemavu, Haki za makundi madogo katika jamii, Haki za wanawake, Haki za wazee na Uhuru wa taaluma, ubunifu, ugunduzi na usanii.

Karibu sana kwenye darasa la JF maana hili ni mahusi kwa wasomaji wake na hatimaye wawe walimu bora wa jamii.

 
Wewe kama ni binti kuwa na adabu. Mtoto wa kike kinywa chake huwa ni kisafi! Sitakujibu maana huna adabu! Na kwa mumeo utakuwa tatizo kubwa sana! Ni hasara kwa mmeo (if at all you are a lady)


Ha ha ha ha asanteee ulifikiri ntakuchunia na hata sikuogopi mtu mzima ovyo kazi kudanganya watu na uongo wako ukijiheshimu nitakuheshimu,ukiharibu naharibu mwanaume wewe punguza kuropoka maana kipimo cha akili yako kinaharibiwa na taarifa zako za uongo!peleka zako bhana na mume wangu hakuhusu.
 
Ha ha ha ha asanteee ulifikiri ntakuchunia na hata sikuogopi mtu mzima ovyo kazi kudanganya watu na uongo wako ukijiheshimu nitakuheshimu,ukiharibu naharibu mwanaume wewe punguza kuropoka maana kipimo cha akili yako kinaharibiwa na taarifa zako za uongo!peleka zako bhana na mume wangu hakuhusu.

Umelaaniwa milele wewe na uzao wako> Shetani akulaani na awe rafiki wako milele
 
umelaaniwa milele wewe na uzao wako> shetani akulaani na awe rafiki wako milele

maneno ya kushindwa hayo ndugu, wewe ndo utalaaniwa kwani biblia inasema usihukumu ucje ukahukumiwa, sasa huoni unakosea hapo? Kama umeshindwa kujibu hoja za wenzako bora usignout utoke humu ndani kwani hapakufai kaka. Kuwa mwelewa.
 
Back
Top Bottom