Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
kwa vipi inawajali, weka vifungu sio unaongea tu! And do not read those vifungu in isolation. Approach with a holistic outlook!
Lakini hasilazimishe Watanzania na kuwaita washamba je na wewe nawe umeona hilo tu katika katiba.hana hata kifungu.je hajaona mapungufu katika katiba?
Swissme
umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba.
Swissme
Lakini hasilazimishe Watanzania na kuwaita washamba je na wewe nawe umeona hilo tu katika katiba.hana hata kifungu.je hajaona mapungufu katika katiba?
Swissme
Lakini hasilazimishe Watanzania na kuwaita washamba je na wewe nawe umeona hilo tu katika katiba.hana hata kifungu.je hajaona mapungufu katika katiba?
Swissme
[font=&]usiwe mwepesi wa kusahau, maneno yako uliyoandika leo hii hii, umeyasahau uliyoyasema [/font][font=&]"today 19:31 by swissme [/font][font=&]umeliona hilo tu boya kweli wewe na wewe ndio bonge la mshamba. Swissme". [/font]
[font=&]sasa tutapimaje busara yako na hekima yako katika kupambanua mambo kama ndiyo punde tu umesahau? Zaidi ya hapo hatuna neno la kiswahili la "hasilazimishe" mimi nimekuwa nawajali sana msomaji wa jf kwani ndio hao ambao tunaeleweshana kwa hoja na mwisho wa yote tunafikia muafaka wa jambo husika. [/font]
[font=&]karibu naona umejirudi. Ndugu yangu swissme, busara haiuzwi, inajengwa na kukuzwa kwa kuwa msikivu na kupambanua mema na mabaya yasiyojenga jamii. Tuijenge nchi yetu, hatuna tanzania nyingine. [/font][font=&]kumbuka wazee ni hazina kuanzia familia, mtaa, kata, tarafa, wilaya, mkoa na taifa. Tuwajali kama katiba inayopendekezwa inavyoainisha.[/font]
mmhhhhh kuna mijitu inatia hasira humu kusoma hasomi, huyu chakachuara clearly ni crazy unapewa vifungu ukasome bado unatoa macho nawasiwasi na elimu.
Wewe kama ni binti kuwa na adabu. Mtoto wa kike kinywa chake huwa ni kisafi! Sitakujibu maana huna adabu! Na kwa mumeo utakuwa tatizo kubwa sana! Ni hasara kwa mmeo (if at all you are a lady)
Wewe kama ni binti kuwa na adabu. Mtoto wa kike kinywa chake huwa ni kisafi! Sitakujibu maana huna adabu! Na kwa mumeo utakuwa tatizo kubwa sana! Ni hasara kwa mmeo (if at all you are a lady)
CHUAKACHARA, Nasi mabinti tunahaki ya kuzungumza maana wanatumia vibaya jukwaa hili. Ndio maana siku zote nasema hoja tunazotoa ziwe ni kwa manufaa ya wengi. Matusi sio mtaji zaidi ya kuonesha udhaifu wa mtu katika kuchangia hoja. Sichoki kuwasisitiza wasomaji wa JF wanaojitahidi kuelimisha ni vema kuwa na maswali ili watueleze zaidi mwisho wa siku tupate ufahamu wa mambo kwa upana wake zaidi.
Tanzania haijawahi kuwa na shida ya sera nzuri. Shida kubwa ni usimamiaji, ufuatiliaji, utekelezaji. Kwa kifupi vyombo vtenye meno kusaidia kutekeleza haya mambo yanayopendekezwa na hayatekelezwi. Wateule wachache wanakuwa na maamuzi makubwa bila kuwa na accountability.
Pamoja na katiba kuwa na mambo mazuri meeeengi ni mambo ambayo kwa uhakika yasipotekelezwa hakuna jinsi ya kudai zaidi ya kulia lia tu.
Kuwa na jambo zuri hakuzuii kudai udhaifu uondolewe. Kudai kuboreshwa kwa katiba pendekezwa hakumaanishi mambo mazuri yatolewe!!!!!
umeona hii nchi ni ya wazee peke yao tu sio??
bonge la tapeli mpotoshaji mimempa za uso hapo juu.
Swissme
Wewe kama ni binti kuwa na adabu. Mtoto wa kike kinywa chake huwa ni kisafi! Sitakujibu maana huna adabu! Na kwa mumeo utakuwa tatizo kubwa sana! Ni hasara kwa mmeo (if at all you are a lady)
Ha ha ha ha asanteee ulifikiri ntakuchunia na hata sikuogopi mtu mzima ovyo kazi kudanganya watu na uongo wako ukijiheshimu nitakuheshimu,ukiharibu naharibu mwanaume wewe punguza kuropoka maana kipimo cha akili yako kinaharibiwa na taarifa zako za uongo!peleka zako bhana na mume wangu hakuhusu.
umelaaniwa milele wewe na uzao wako> shetani akulaani na awe rafiki wako milele