Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nikisikia mtu analalamika ati wamechezewa akili.... nani ambaye alikuwa hajui hili? na wamekubali kushiriki mchakato (wameupa uhalali) wawe tayari kuishi na matokeo yake... kwani Sheria waliyoipitisha Bungeni ilisema katiba mpya itakuwepo kabla ya 2015?