Katiba Mpya: Kwanini CCM hawataridhia kirahisi

Katiba Mpya: Kwanini CCM hawataridhia kirahisi

Mwananchi wa kawaida anayejielewa, hatutaki kuendelea kubambikiziwa kesi, hataki kudhulumiwa, hataki kubebeshwa mizigo ya kodi ya wengine, anataka mihimili ya utawala iliyo na uhuru kamili, anataka usawa, anataka uwajibikaji, anataka mawazo yake kusikilizwa nk.

Asiyetaka hayo ni uelewa mdogo au kuwa na maslahi binafsi.

Katiba iliyopo ni kikwazo kwa hayo yote. Wananchi wote wanaojitambua wanahitaji katiba mpya tena kwa hali ya dharura sana.
Kwa hiyo Katiba iliyopo imeruhusu hayo uliyotaja🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna sehemu hamuelewi... Tatizo letu Ni maadili, mila na desturi yaani malezi kuliko Katiba.
 
Corona imeleta matatizo makubwa ya uchumi wa dunia na sisi hatuwezi kukwepa huo mdororo. Katiba inaweza kusubiri mpaka 2025.

Wengi wanaoongelea katiba kwa sasa ni wanasiasa na wapambe wao, mwananchi wa kawaida kabisa kule Chunya anataka afikishiwe maji na umeme.

Mwananchi wa kawaida kule Ngara Rulenge anataka afaidike na Kabanga Nickel kuliko kufuatilia mijadala ya vifungu vya katiba kwa muda huu.

Mwananchi wa kawaida kabisa kule Ruangwa Lindi anataka aanze kufaidika na uwepo wa graphite iliyo chini ya ardhi anayoikanyaga kila siku.

Katiba inapigiwa kelele humu jukwaani walipo wanasiasa na mashabiki wao.
Huyo mwananchi wa chunya atapata vipi hayo maji ikiwa aliempa mamlaka ya kulinda hela zake anazitumia vibaya kwa kununua mandege ambayo hayatumiki na mwisho wa siku hana cha kumfanya.
 
Inapoteza muda wa kufanya masuala yenye umuhimu zaidi kwa sasa. Unapopewa rasilimali za madini, mito na maziwa na bahari yenye kilomita 1400 halafu ukapoteza muda kwenye siasa hata huyo Mungu anabakia kukushangaa.
Crap 🚮
 
Kwa katiba hii hata we ukiwa chama tawala Sio rahisi kuibadili
 
Huyo mwananchi wa chunya atapata vipi hayo maji ikiwa aliempa mamlaka ya kulinda hela zake anazitumia vibaya kwa kununua mandege ambayo hayatumiki na mwisho wa siku hana cha kumfanya.
Ndege zinampelekea China maparachichi yake na zinaleta watalii wanaoongeza pato la taifa linalomrudia kwa njia mbalimbali.

Mauritius kwa kutegemea utalii wa fukwe tu wanaingiza dola bilioni kumi kwa mwaka, watu wote hao wanaletwa na ndege.
 
Corona imeleta matatizo makubwa ya uchumi wa dunia na sisi hatuwezi kukwepa huo mdororo. Katiba inaweza kusubiri mpaka 2025.

Wengi wanaoongelea katiba kwa sasa ni wanasiasa na wapambe wao, mwananchi wa kawaida kabisa kule Chunya anataka afikishiwe maji na umeme.

Mwananchi wa kawaida kule Ngara Rulenge anataka afaidike na Kabanga Nickel kuliko kufuatilia mijadala ya vifungu vya katiba kwa muda huu.

Mwananchi wa kawaida kabisa kule Ruangwa Lindi anataka aanze kufaidika na uwepo wa graphite iliyo chini ya ardhi anayoikanyaga kila siku.

Katiba inapigiwa kelele humu jukwaani walipo wanasiasa na mashabiki wao.
Hizo ni ndoto we bwanamDogo kama miaka yote haukufaidika itakuwa leo?
Nini serekali ime kiplan na bunge limeridhia ili hayo yatekelezeke? Zaidi ya kuongeza kodi ya mafuta na simu?
 
V
Corona imeleta matatizo makubwa ya uchumi wa dunia na sisi hatuwezi kukwepa huo mdororo. Katiba inaweza kusubiri mpaka 2025.

Wengi wanaoongelea katiba kwa sasa ni wanasiasa na wapambe wao, mwananchi wa kawaida kabisa kule Chunya anataka afikishiwe maji na umeme.

Mwananchi wa kawaida kule Ngara Rulenge anataka afaidike na Kabanga Nickel kuliko kufuatilia mijadala ya vifungu vya katiba kwa muda huu.

Mwananchi wa kawaida kabisa kule Ruangwa Lindi anataka aanze kufaidika na uwepo wa graphite iliyo chini ya ardhi anayoikanyaga kila siku.

Katiba inapigiwa kelele humu jukwaani walipo wanasiasa na mashabiki wao.
Vyote ulivyovitaja havitakuwa na tija Kwa wananchi hao Kama hakutakuwepo na Sheria na taratibu nzuri za kikatiba ambapo ya Sasa haijitoshelezi!
Think, miaka 50+ ya ccm na katiba take ya 1977 still mwananchi anajadili kupata maji, umeme na huduma za kijamii Kwa uhakika? Mlikuwa mnaijenga Dunia Kwa kipindi chote hicho au ni hii hii Tanganyika?
Kama wewe huna uhitaji wa katiba mpya nyamaza kwani Kikwete alivyouanzisha ule mchakato wa katiba mpya alikuwa anataka iwe ya nchi ipi? Ccm mnajiaibisha wenyewe Kwa kupinga vitu mlivyovianzisha wenyewe!
 
Ndege zinampelekea China maparachichi yake na zinaleta watalii wanaoongeza pato la taifa linalomrudia kwa njia mbalimbali.

Mauritius kwa kutegemea utalii wa fukwe tu wanaingiza dola bilioni kumi kwa mwaka, watu wote hao wanaletwa na ndege.
Wachina hawajawahi kuwa watalii wazuri. hawna culture ya savings na kwenda ng'ambo kutalii
 
V

Vyote ulivyovitaja havitakuwa na tija Kwa wananchi hao Kama hakutakuwepo na Sheria na taratibu nzuri za kikatiba ambapo ya Sasa haijitoshelezi!
Think, miaka 50+ ya ccm na katiba take ya 1977 still mwananchi anajadili kupata maji, umeme na huduma za kijamii Kwa uhakika? Mlikuwa mnaijenga Dunia Kwa kipindi chote hicho au ni hii hii Tanganyika?
Kama wewe huna uhitaji wa katiba mpya nyamaza kwani Kikwete alivyouanzisha ule mchakato wa katiba mpya alikuwa anataka iwe ya nchi ipi? Ccm mnajiaibisha wenyewe Kwa kupinga vitu mlivyovianzisha wenyewe!
Subiri mpaka 2025 uje na haya maoni yako. Hivi sasa utaishia kutukana kwa hasira.
 
Mama anaendelea kuupiga mwingi na ndio kasema sasa tunajenga uchumi.

Hata sisi tunajenga uchumi. Yetu ya moyoni mtakuwa mmeshamfikishia hata kama ni kwa design hii:

IMG_20210704_051559_619.jpg


Wewe hapo ni huyo mwenye kiduku?

Tunajua mmewekeza sana humo kwenye red:

IMG_20210705_090501_586.jpg


".... hata kama ni la kijinga." ---- ninakazia.

Hiiiiii bagosha!
 
Nimejaaliwa staha ya kutosha Huwa situkani Bali naelimisha watu wenye mawazo Duni Kama wewe! Hiyo 2025 utashangaa na kutukana baada ya kuona mnanyukwa kipigo Cha mbwa Koko kwenye box la kura zilizo halali!
Subiri mpaka 2025 uje na haya maoni yako. Hivi sasa utaishia kutukana kwa hasira.
 
Ndege zinampelekea China maparachichi yake na zinaleta watalii wanaoongeza pato la taifa linalomrudia kwa njia mbalimbali.

Mauritius kwa kutegemea utalii wa fukwe tu wanaingiza dola bilioni kumi kwa mwaka, watu wote hao wanaletwa na ndege.
Toka lini ndege za abiria zikabeba maparachichi?
 
Back
Top Bottom