Kwa hiyo Katiba iliyopo imeruhusu hayo uliyotaja🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwananchi wa kawaida anayejielewa, hatutaki kuendelea kubambikiziwa kesi, hataki kudhulumiwa, hataki kubebeshwa mizigo ya kodi ya wengine, anataka mihimili ya utawala iliyo na uhuru kamili, anataka usawa, anataka uwajibikaji, anataka mawazo yake kusikilizwa nk.
Asiyetaka hayo ni uelewa mdogo au kuwa na maslahi binafsi.
Katiba iliyopo ni kikwazo kwa hayo yote. Wananchi wote wanaojitambua wanahitaji katiba mpya tena kwa hali ya dharura sana.
Huyo mwananchi wa chunya atapata vipi hayo maji ikiwa aliempa mamlaka ya kulinda hela zake anazitumia vibaya kwa kununua mandege ambayo hayatumiki na mwisho wa siku hana cha kumfanya.Corona imeleta matatizo makubwa ya uchumi wa dunia na sisi hatuwezi kukwepa huo mdororo. Katiba inaweza kusubiri mpaka 2025.
Wengi wanaoongelea katiba kwa sasa ni wanasiasa na wapambe wao, mwananchi wa kawaida kabisa kule Chunya anataka afikishiwe maji na umeme.
Mwananchi wa kawaida kule Ngara Rulenge anataka afaidike na Kabanga Nickel kuliko kufuatilia mijadala ya vifungu vya katiba kwa muda huu.
Mwananchi wa kawaida kabisa kule Ruangwa Lindi anataka aanze kufaidika na uwepo wa graphite iliyo chini ya ardhi anayoikanyaga kila siku.
Katiba inapigiwa kelele humu jukwaani walipo wanasiasa na mashabiki wao.
Crap 🚮Inapoteza muda wa kufanya masuala yenye umuhimu zaidi kwa sasa. Unapopewa rasilimali za madini, mito na maziwa na bahari yenye kilomita 1400 halafu ukapoteza muda kwenye siasa hata huyo Mungu anabakia kukushangaa.
Huu ni muda wa kuzalisha mali na tuutumie vyema kuliko kuupoteza kwenye mijadala mirefu ya siasa.
Poleni sana.
Ndege zinampelekea China maparachichi yake na zinaleta watalii wanaoongeza pato la taifa linalomrudia kwa njia mbalimbali.Huyo mwananchi wa chunya atapata vipi hayo maji ikiwa aliempa mamlaka ya kulinda hela zake anazitumia vibaya kwa kununua mandege ambayo hayatumiki na mwisho wa siku hana cha kumfanya.
Mama anaendelea kuupiga mwingi na ndio kasema sasa tunajenga uchumi.Tunawapa pole nyie. Kama mtoto mdogo ziwa ndiyo bye bye hivyo.
Hizo ni ndoto we bwanamDogo kama miaka yote haukufaidika itakuwa leo?Corona imeleta matatizo makubwa ya uchumi wa dunia na sisi hatuwezi kukwepa huo mdororo. Katiba inaweza kusubiri mpaka 2025.
Wengi wanaoongelea katiba kwa sasa ni wanasiasa na wapambe wao, mwananchi wa kawaida kabisa kule Chunya anataka afikishiwe maji na umeme.
Mwananchi wa kawaida kule Ngara Rulenge anataka afaidike na Kabanga Nickel kuliko kufuatilia mijadala ya vifungu vya katiba kwa muda huu.
Mwananchi wa kawaida kabisa kule Ruangwa Lindi anataka aanze kufaidika na uwepo wa graphite iliyo chini ya ardhi anayoikanyaga kila siku.
Katiba inapigiwa kelele humu jukwaani walipo wanasiasa na mashabiki wao.
Vyote ulivyovitaja havitakuwa na tija Kwa wananchi hao Kama hakutakuwepo na Sheria na taratibu nzuri za kikatiba ambapo ya Sasa haijitoshelezi!Corona imeleta matatizo makubwa ya uchumi wa dunia na sisi hatuwezi kukwepa huo mdororo. Katiba inaweza kusubiri mpaka 2025.
Wengi wanaoongelea katiba kwa sasa ni wanasiasa na wapambe wao, mwananchi wa kawaida kabisa kule Chunya anataka afikishiwe maji na umeme.
Mwananchi wa kawaida kule Ngara Rulenge anataka afaidike na Kabanga Nickel kuliko kufuatilia mijadala ya vifungu vya katiba kwa muda huu.
Mwananchi wa kawaida kabisa kule Ruangwa Lindi anataka aanze kufaidika na uwepo wa graphite iliyo chini ya ardhi anayoikanyaga kila siku.
Katiba inapigiwa kelele humu jukwaani walipo wanasiasa na mashabiki wao.
Wachina hawajawahi kuwa watalii wazuri. hawna culture ya savings na kwenda ng'ambo kutaliiNdege zinampelekea China maparachichi yake na zinaleta watalii wanaoongeza pato la taifa linalomrudia kwa njia mbalimbali.
Mauritius kwa kutegemea utalii wa fukwe tu wanaingiza dola bilioni kumi kwa mwaka, watu wote hao wanaletwa na ndege.
Subiri mpaka 2025 uje na haya maoni yako. Hivi sasa utaishia kutukana kwa hasira.V
Vyote ulivyovitaja havitakuwa na tija Kwa wananchi hao Kama hakutakuwepo na Sheria na taratibu nzuri za kikatiba ambapo ya Sasa haijitoshelezi!
Think, miaka 50+ ya ccm na katiba take ya 1977 still mwananchi anajadili kupata maji, umeme na huduma za kijamii Kwa uhakika? Mlikuwa mnaijenga Dunia Kwa kipindi chote hicho au ni hii hii Tanganyika?
Kama wewe huna uhitaji wa katiba mpya nyamaza kwani Kikwete alivyouanzisha ule mchakato wa katiba mpya alikuwa anataka iwe ya nchi ipi? Ccm mnajiaibisha wenyewe Kwa kupinga vitu mlivyovianzisha wenyewe!
Mama anaendelea kuupiga mwingi na ndio kasema sasa tunajenga uchumi.
Uchumi Bora hujengwa kwenye misingi ya katiba! Unalitambua hilo? Inaanza katiba Kisha uchumi.Mama anaendelea kuupiga mwingi na ndio kasema sasa tunajenga uchumi.
Kuna mataifa practically hawana katiba na wana fadhili nchi za afrika. Usikaririshwe kama kasuku.Uchumi Bora hujengwa kwenye misingi ya katiba! Unalitambua hilo? Inaanza katiba Kisha uchumi.
Subiri mpaka 2025 uje na haya maoni yako. Hivi sasa utaishia kutukana kwa hasira.
Tuwalazimishe kwa nguvu zetu zoteInajulikana ccm wanaigopa katiba mpya hasa kipengele cha tume huru ya uchaguzi [emoji3][emoji3][emoji3]
Wakisikia hayo maneno wanaona mwache punda afe ila matumbo yao yavimbewe.
Mifano ya hayo mataifa ingependeza ukiiweka hapa tuyasome na kuyachambua kwani nawe ulikaririshwa kikasuku Hadi kuyajua!Kuna mataifa practically hawana katiba na wana fadhili nchi za afrika. Usikaririshwe kama kasuku.
Toka lini ndege za abiria zikabeba maparachichi?Ndege zinampelekea China maparachichi yake na zinaleta watalii wanaoongeza pato la taifa linalomrudia kwa njia mbalimbali.
Mauritius kwa kutegemea utalii wa fukwe tu wanaingiza dola bilioni kumi kwa mwaka, watu wote hao wanaletwa na ndege.