Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Nimekuelewa mwanaharakati.Nimejaaliwa staha ya kutosha Huwa situkani Bali naelimisha watu wenye mawazo Duni Kama wewe! Hiyo 2025 utashangaa na kutukana baada ya kuona mnanyukwa kipigo Cha mbwa Koko kwenye box la kura zilizo halali!
Zipo ndege za abiria na zipo za mizigo.Toka lini ndege za abiria zikabeba maparachichi?
Mpo watu hii dunia hamna msaada, yaani ujinga ujinga tuInapoteza muda wa kufanya masuala yenye umuhimu zaidi kwa sasa. Unapopewa rasilimali za madini, mito na maziwa na bahari yenye kilomita 1400 halafu ukapoteza muda kwenye siasa hata huyo Mungu anabakia kukushangaa.
Kwa hiyo Katiba iliyopo imeruhusu hayo uliyotajaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Kuna sehemu hamuelewi... Tatizo letu Ni maadili, mila na desturi yaani malezi kuliko Katiba.
Jipe Muda kutafakariCorona imeleta matatizo makubwa ya uchumi wa dunia na sisi hatuwezi kukwepa huo mdororo. Katiba inaweza kusubiri mpaka 2025.
Wengi wanaoongelea katiba kwa sasa ni wanasiasa na wapambe wao, mwananchi wa kawaida kabisa kule Chunya anataka afikishiwe maji na umeme.
Mwananchi wa kawaida kule Ngara Rulenge anataka afaidike na Kabanga Nickel kuliko kufuatilia mijadala ya vifungu vya katiba kwa muda huu.
Mwananchi wa kawaida kabisa kule Ruangwa Lindi anataka aanze kufaidika na uwepo wa graphite iliyo chini ya ardhi anayoikanyaga kila siku.
Katiba inapigiwa kelele humu jukwaani walipo wanasiasa na mashabiki wao.