makinikia 101
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 491
- 876
Kumekua na maoni mengi sana kuhusu suala la katiba mpya Tanzania. Suala hili lilipigiwa sana kelele na wananchi pamoja na wanasiasa hadi pale JK alipoanzisha mchakato huo ambao pia uliishia njiani, oopss.
Nionavyo mimi, Tanzania hatuna tatizo la katiba mpya, tunalo hitaji la msingi la kupata viongozi wanaoheshimu na kufuata viapo vyao vya kuilinda katiba. Kama hii tu iliyopo haifuatwi na viongozi wetu (km kufungia mikutano ya kisiasa, mahakama bunge na serikali kuwa mihimili tofauti, nk), hata ikija mpya kiasi gani na tukakosa viongozi wenye kuiheshimu, bado tatizo litakua palepale
Nionavyo mimi, Tanzania hatuna tatizo la katiba mpya, tunalo hitaji la msingi la kupata viongozi wanaoheshimu na kufuata viapo vyao vya kuilinda katiba. Kama hii tu iliyopo haifuatwi na viongozi wetu (km kufungia mikutano ya kisiasa, mahakama bunge na serikali kuwa mihimili tofauti, nk), hata ikija mpya kiasi gani na tukakosa viongozi wenye kuiheshimu, bado tatizo litakua palepale