Katiba Mpya ni mradi wa wanasiasa

Katiba Mpya ni mradi wa wanasiasa

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Ndio si unajua !! Wanasiasa ndio haswaa!! Wenye mradi wao. Waite wakulima ikulu ,kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Unajua KwaninI hii tu iliyopo imefanya maajabu nchi imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

Waite wavuvi na machinga ikulu waulize mnataka nini, kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Waite mama lishe na wajenzi pamoja hawatazungumzia Katiba mpya.

Wajua nini hapo sio mradi wao. Katiba mpya haitamletea mtu ugali Wala kumlipia mtu pango la nyumba au karo ya mtoto shule.

Sasa Hawa wanajipa majina ya sijui profesa, Mzee wa anga au mama Tanzania pamoja na yule jamaa wa mwandiga waalike Ikulu watatoka macho mekundu Kwa sababu tu wanataka Katiba mpya , mtu chama chake tu hawezi kung'atuka apishe wengine afu umkabidhi nchi utegemee atatoka huyooo, Katiba ije lakini sio Kwa ajili ya kuwafurahisha wanasiasa.

Sijajua Kwanini ccm haipewi heshima yake, wanademokrasia kubwa sana ya kubadilishana uongozi bila vurugu Wala vitisho.

Ikifika zamu ya Hawa wanaotaka katiba mpya ya nchi kufanya demokrasia kwenye vyama vyao tu. Utasikia yuleee ni msalitiiii mara wanatimuana mtuache na ccm yetu na Katiba yetu ileile mpaka mtakapo onyesha mmekuwa ndani ya vyama vyenu.
 
Kama kuna mada za kipumbavu zimewahi kuanzishwa humu JF, hii yako Mganguzi inastahili tuzo. Mtu na akili zako timamu unapata wapi ujasiri wa kuingia JF na kuandika ujinga huu? Wewe lazima una shoti kichwani kama aliyefyatuliwa kwenye mikesha ya mwenge.
 
Kama kuna mada za kipumbavu zimewahi kuanzishwa humu JF, hii yako Mganguzi inastahili tuzo. Mtu na akili zako timamu unapata wapi ujasiri wa kuingia JF na kuandika ujinga huu? Wewe lazima una shoti kichwani kama aliyefyatuliwa kwenye mikesha ya mwenge.
Hahahahahahaaa ,inawezekana ninashoti kichwani kwakuwa sipo kwenye mlengo wako ,ila wewe ndio mpumbavu zaidi kwakuwa unadhani wanadamu wote Wana fikra kama za kwako ,,
 
Kama kuna mada za kipumbavu zimewahi kuanzishwa humu JF, hii yako Mganguzi inastahili tuzo. Mtu na akili zako timamu unapata wapi ujasiri wa kuingia JF na kuandika ujinga huu? Wewe lazima una shoti kichwani kama aliyefyatuliwa kwenye mikesha ya mwenge.
Haaa ni wajinga, na ndo unakuta wanajiona wajanja sana, kumbe ni maiti, na mbaya unakuta wako bise kutetea ujinga na mtu kama huyu unaweza kuta ndugu zake kule kijijini wana life gumu asikuambie mtu
 
Mleta mada,hata sisi huku vijijini tunaihitaji katiba mpya.Yapo mengi hayapo sawa hasa tunaposhindwa kumuwajibisha mtu ambaye hatukumchagua anapotudhulumu rasilimali zetu katika Kijiji.Mtu mwizi na mla rushwa anapita bila kupingwa katika nafasi ya uenyekiti Wa kijiji kwa wapinzani kukatwa.Unadhani sisi ni wajinga kwakua tunaishi vijijini.Tunahitaji mtu imara Wa kusimamia rasilimali zetu sio chama!
 
Ndio si unajua !! Wanasiasa ndio haswaa!! Wenye mradi wao. Waite wakulima ikulu ,kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Unajua KwaninI hii tu iliyopo imefanya maajabu nchi imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

Waite wavuvi na machinga ikulu waulize mnataka nini, kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Waite mama lishe na wajenzi pamoja hawatazungumzia Katiba mpya.

Wajua nini hapo sio mradi wao. Katiba mpya haitamletea mtu ugali Wala kumlipia mtu pango la nyumba au karo ya mtoto shule.

Sasa Hawa wanajipa majina ya sijui profesa, Mzee wa anga au mama Tanzania pamoja na yule jamaa wa mwandiga waalike Ikulu watatoka macho mekundu Kwa sababu tu wanataka Katiba mpya , mtu chama chake tu hawezi kung'atuka apishe wengine afu umkabidhi nchi utegemee atatoka huyooo, Katiba ije lakini sio Kwa ajili ya kuwafurahisha wanasiasa.

Sijajua Kwanini ccm haipewi heshima yake, wanademokrasia kubwa sana ya kubadilishana uongozi bila vurugu Wala vitisho.

Ikifika zamu ya Hawa wanaotaka katiba mpya ya nchi kufanya demokrasia kwenye vyama vyao tu. Utasikia yuleee ni msalitiiii mara wanatimuana mtuache na ccm yetu na Katiba yetu ileile mpaka mtakapo onyesha mmekuwa ndani ya vyama vyenu.
Sijawahi kuona uharo kama huu!
 
Hawawezi Kwa sababu nyinyi mnajua watanzania wapo mijini tu ,,,na wanaostahili kuongoza mnadhani wapo kilimanjaro tu

..Nimemsikia Katibu Mwenezi wa Ccm akitamka kwamba chama kinaunga mkono kuandikwa Katiba mpya.

..Kwa msingi huo chama tawala na vile vya upinzani kwa pamoja vinaunga mkono hoja hiyo.
 
Ndio si unajua !! Wanasiasa ndio haswaa!! Wenye mradi wao. Waite wakulima ikulu ,kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Unajua KwaninI hii tu iliyopo imefanya maajabu nchi imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

Waite wavuvi na machinga ikulu waulize mnataka nini, kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Waite mama lishe na wajenzi pamoja hawatazungumzia Katiba mpya.

Wajua nini hapo sio mradi wao. Katiba mpya haitamletea mtu ugali Wala kumlipia mtu pango la nyumba au karo ya mtoto shule.

Sasa Hawa wanajipa majina ya sijui profesa, Mzee wa anga au mama Tanzania pamoja na yule jamaa wa mwandiga waalike Ikulu watatoka macho mekundu Kwa sababu tu wanataka Katiba mpya , mtu chama chake tu hawezi kung'atuka apishe wengine afu umkabidhi nchi utegemee atatoka huyooo, Katiba ije lakini sio Kwa ajili ya kuwafurahisha wanasiasa.

Sijajua Kwanini ccm haipewi heshima yake, wanademokrasia kubwa sana ya kubadilishana uongozi bila vurugu Wala vitisho.

Ikifika zamu ya Hawa wanaotaka katiba mpya ya nchi kufanya demokrasia kwenye vyama vyao tu. Utasikia yuleee ni msalitiiii mara wanatimuana mtuache na ccm yetu na Katiba yetu ileile mpaka mtakapo onyesha mmekuwa ndani ya vyama vyenu.
Naandika nafuta,naandika nafuta Tena daah,ngoja TU nikuambie WEWE NI TAKATAKA, UMEIAIBISHA FAMILIA YAKO,NA HAO WALIOKUTUMA
 
Kiufupi hiyo mada siyo ya level yako,umekurupuka.
 
Ndio si unajua !! Wanasiasa ndio haswaa!! Wenye mradi wao. Waite wakulima ikulu ,kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Unajua KwaninI hii tu iliyopo imefanya maajabu nchi imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

Waite wavuvi na machinga ikulu waulize mnataka nini, kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Waite mama lishe na wajenzi pamoja hawatazungumzia Katiba mpya.

Wajua nini hapo sio mradi wao. Katiba mpya haitamletea mtu ugali Wala kumlipia mtu pango la nyumba au karo ya mtoto shule.

Sasa Hawa wanajipa majina ya sijui profesa, Mzee wa anga au mama Tanzania pamoja na yule jamaa wa mwandiga waalike Ikulu watatoka macho mekundu Kwa sababu tu wanataka Katiba mpya , mtu chama chake tu hawezi kung'atuka apishe wengine afu umkabidhi nchi utegemee atatoka huyooo, Katiba ije lakini sio Kwa ajili ya kuwafurahisha wanasiasa.

Sijajua Kwanini ccm haipewi heshima yake, wanademokrasia kubwa sana ya kubadilishana uongozi bila vurugu Wala vitisho.

Ikifika zamu ya Hawa wanaotaka katiba mpya ya nchi kufanya demokrasia kwenye vyama vyao tu. Utasikia yuleee ni msalitiiii mara wanatimuana mtuache na ccm yetu na Katiba yetu ileile mpaka mtakapo onyesha mmekuwa ndani ya vyama vyenu.
Sidhani kwamba katiba mpya ni mradi wa wanasiasa kwasababu
Ndio si unajua !! Wanasiasa ndio haswaa!! Wenye mradi wao. Waite wakulima ikulu ,kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Unajua KwaninI hii tu iliyopo imefanya maajabu nchi imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

Waite wavuvi na machinga ikulu waulize mnataka nini, kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Waite mama lishe na wajenzi pamoja hawatazungumzia Katiba mpya.

Wajua nini hapo sio mradi wao. Katiba mpya haitamletea mtu ugali Wala kumlipia mtu pango la nyumba au karo ya mtoto shule.

Sasa Hawa wanajipa majina ya sijui profesa, Mzee wa anga au mama Tanzania pamoja na yule jamaa wa mwandiga waalike Ikulu watatoka macho mekundu Kwa sababu tu wanataka Katiba mpya , mtu chama chake tu hawezi kung'atuka apishe wengine afu umkabidhi nchi utegemee atatoka huyooo, Katiba ije lakini sio Kwa ajili ya kuwafurahisha wanasiasa.

Sijajua Kwanini ccm haipewi heshima yake, wanademokrasia kubwa sana ya kubadilishana uongozi bila vurugu Wala vitisho.

Ikifika zamu ya Hawa wanaotaka katiba mpya ya nchi kufanya demokrasia kwenye vyama vyao tu. Utasikia yuleee ni msalitiiii mara wanatimuana mtuache na ccm yetu na Katiba yetu ileile mpaka mtakapo onyesha mmekuwa ndani ya vyama vyenu.
Sidhani kwamba katiba mpya ni mradi wa wana siasa bali fukuto hili linaweza likawa linatumika na wana siasa kujijengea umaarufu haswa kwasababu serikali haiwezi kutishiwa. Nina kubaliana na wewe unaposema kwamba katiba haiwezi kuletea maendeleo kwa kila mwananchi moja kwa moja ila kumudu vizuri hali ya siasa nchini ni muhimu sana katika kupiga hatua kama nchi na katika uwepo wa amani na utulivu ambao ni mtaji kwa kila mtu katika shughuli za kujikwamua kiuchumi. Nafikiri wana siasa wanaodai katiba mpya wanatakiwa kutumia njia za kistaarabu katika shughuli zao wakiamini kwamba vyombo vya serikali viko tayari kusikiliza maoni yanayoleta tija. Hili litawezekana kwa wao kuwa na uchambuzi wa kina wa katiba tuliyonayo sasa hivi na vile vile kuwa na mapendekezo mazuri ya mabadiliko yanayotakiwa kufanyika
 
Wakuu, hivi pesa inayotarajiwa kutumiwa kwenye 'white elephant project ya katiba' inaweza kujenga vituo vya afya vingapi? Nauliza swali kwa nia njema tu ili nieleweshwe.
 
Wakuu, hivi pesa inayotarajiwa kutumiwa kwenye 'white elephant project ya katiba' inaweza kujenga vituo vya afya vingapi? Nauliza swali kwa nia njema tu ili nieleweshwe.
Kwani mpaka sasa ambapo katiba bado vimeshajengwa vingapi? Eti na wewe ni kichwa cha familia. Upumbavu mtupu!!!
 
Ndio si unajua !! Wanasiasa ndio haswaa!! Wenye mradi wao. Waite wakulima ikulu ,kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Unajua KwaninI hii tu iliyopo imefanya maajabu nchi imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo.

Waite wavuvi na machinga ikulu waulize mnataka nini, kamwe hawatazungumzia Katiba mpya. Waite mama lishe na wajenzi pamoja hawatazungumzia Katiba mpya.

Wajua nini hapo sio mradi wao. Katiba mpya haitamletea mtu ugali Wala kumlipia mtu pango la nyumba au karo ya mtoto shule.

Sasa Hawa wanajipa majina ya sijui profesa, Mzee wa anga au mama Tanzania pamoja na yule jamaa wa mwandiga waalike Ikulu watatoka macho mekundu Kwa sababu tu wanataka Katiba mpya , mtu chama chake tu hawezi kung'atuka apishe wengine afu umkabidhi nchi utegemee atatoka huyooo, Katiba ije lakini sio Kwa ajili ya kuwafurahisha wanasiasa.

Sijajua Kwanini ccm haipewi heshima yake, wanademokrasia kubwa sana ya kubadilishana uongozi bila vurugu Wala vitisho.

Ikifika zamu ya Hawa wanaotaka katiba mpya ya nchi kufanya demokrasia kwenye vyama vyao tu. Utasikia yuleee ni msalitiiii mara wanatimuana mtuache na ccm yetu na Katiba yetu ileile mpaka mtakapo onyesha mmekuwa ndani ya vyama vyenu.
RASIMU alosimamia Judge WARIOBA Ina PICHA halisi ya matakwa ya wananchi.

Tunataka RASIMU alosimamia Judge WARIOBA kabla haijaitwa KATIBA PENDEKEZWA irudi mezani mjadala uanzie hapo,

Hatimaye tupate KATIBA mpya Kwa maslah mapana ya nchi.

Ameeeen
 
Back
Top Bottom