Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
Ukisema hatA kama ulikuwa ni CCM kindakindaki, unakuwa mpinzani. Unatakiwa uwe mnafiki kusifia kila kitu
Hivi;-
Kuonyesha nyala za serikali ndio kuifungua Nchi
- Kuonyesha hazina yako ndo kuvutia wawekezaji tutaibiwa mpaka tukome na hiyo faida tunayoitegemea itatupa majuto. Mungu ibariki Loyal tour film.
Tulipofikia bila kumunginya maneno KATIBA MPYA NI MUHIMU tunawaambia watumishi mnaofurahia mseleleko kuleni lakini hiyo ni pelemende ya danganya toto.
KATIBA NI YA MUHIMU SANA KWA SASA
Hivi;-
Kuonyesha nyala za serikali ndio kuifungua Nchi
- Kuonyesha hazina yako ndo kuvutia wawekezaji tutaibiwa mpaka tukome na hiyo faida tunayoitegemea itatupa majuto. Mungu ibariki Loyal tour film.
Tulipofikia bila kumunginya maneno KATIBA MPYA NI MUHIMU tunawaambia watumishi mnaofurahia mseleleko kuleni lakini hiyo ni pelemende ya danganya toto.
KATIBA NI YA MUHIMU SANA KWA SASA