assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Kamati kuu imesema ccm haitaki muundo wa serikali tatu bali mbili hayo yamesemwa kwenye kikao kule dodoma hivyo katiba shakani kupita kwani ccm itakua na wabunge wengi katika bunge la katiba, vilevile wanaweza kupiga kura ya hapana kama jaji warioba hatawasilikiza