Katiba Mpya tutumie ile ya Warioba badala ya kuteketeza pesa

Katiba Mpya tutumie ile ya Warioba badala ya kuteketeza pesa

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Binafsi kama mpenda maendeleo. Mimi ningekuwa Mama ningependekeza katiba ya warioba iongezewe vitu vichache tu. Tutengeneze Mtandao ambao raia watatoa maoni yao kwa kuna AI sasa hivi tunazichakata hizo taarifa within a few days(wazee wa data science na python wapo mtaani kibao). Then inapelekwa bungeni kupitiwa na kupitishwa.

Hakuna haja ya kutengeneza BUNGE LA KATIBA ili hela ziliwe na watu wachahe tu. Hela zingine zielimishe watu katiba ina nini kwa kuandaa apps, VIPINDI VYA TV kila usiku hata one hour.

Kwa muktadha huo itasaidia taifa kuokoa pesa nyingi sana. Next tunaweka maadhimio kila baada ya miaka 20 katiba ifanyiwe amendment.

Nawasilisha.
 
Naunga mkono HOJA.

Bt tuitupe Kapuni Katiba pendekezwa.

Tuanze na RASIMU alosimamia Judge WARIOBA kabla haijaitwa KATIBA pendekezwa.

Tuboreshe Kwa kuongeza maoni mapya kama yapo ndo tujadili upatikanaji wa wajumbe Bunge la Katiba.
 
Binafsi kama mpenda maendeleo. Mimi ningekuwa Mama ningependekeza katiba ya warioba iongezewe vitu vichache tu. Tutengeneze Mtandao ambao...
Hoja imepita. Maana ile rasimu utafiti ulifanyika wa ndani Sana.
 
Binafsi kama mpenda maendeleo. Mimi ningekuwa Mama ningependekeza katiba ya warioba iongezewe vitu vichache tu. Tutengeneze Mtandao ambao raia watatoa maoni yao...
Napinga hoja. Hili bunge haliwezi kutuamulia kuhusu katiba, ni but sana. Litengenezwe bunge maalum la katiba ambalo sisi wananchi tutawakilishwa na wananchi wenzetu.

Mama yupo makini na bunge lile alikuwa naibu spika, hivyo wanavyoamua pawepo na bunge lingine la katiba ana MAANA zake.
 
Rasimu ya warioba ndio na hapana! Mfano huku bara Watz majority wamataka serikali moja kwa vilekila kitu wanagharamia wao!

Huwezi kuwa na watu milioni 2 wakaungana na watu milioni 60 ukasema ni Muungano kwanza iwe nchi moja! Yaani kisiwa cha Hawai'i kujiunga na US na US inagjatamia kila kitu ukasema ni Muungano!

Mikoa mingine ya bara ina hakijuu ya radlimalizao zao zinabyptumika! Fikiria tu Bu.nge yaani wabunge 80 visiwani wanawakilisha watu milioni 2 na wanalipwana bara wakati Dar ina watu mino 5.3 ina wabunge 10 na Dar huchangia 70 makusanyoTRA kwa taifa hili! Haiwezekani!
 
Rasimu ya warioba ndio na hapana! Mfano huku bara Watz majority wanataka serikali moja kwa vilekila kitu wanagharamia wao!

Huwezi kuwa na watu milioni 2 wakaungana na watu milioni 60 ukasema ni Muungano kwanza iwe nchi moja! Yaani kisiwa cha Hawai'i kujiunga na US na US inagharamia kila kitu ukasema ni Muungano! Mikoa mingine ya bara ina hakijuu ya radlimalizao zao zinabyptumika!

Fikiria tu Bu.nge yaani wabunge 80 visiwani wanawakilisha watu milioni 2 na wanalipwana bara wakati Dar ina watu mino 5.3 ina wabunge 10 na dar huchangia 70 makusanyoTRA kwa taifa hili! Haiwezekani!
 
Kwa hisani ya Brazaj.
Ingekuwa ni kwa hisani yangu suala la katiba mpya lingekuwa lilishakwisha zamani. Ya CAG yangekuwa historia. Haki na usawa vingekuwa vimetamalaki katika nyanja zote. Tungekuwa na serikali ya umoja wa kitaifa. Muungano ungekuwa kwa ridhaa ya wananchi:

 
Ingekuwa ni kwa hisani yangu suala la katiba mpya lingekuwa lilishakwisha zamani. Ya CAG yangekuwa historia. Haki na usawa vingekuwa vimetamalaki katika nyanja zote. Tungekuwa na serikali ya umoja wa kitaifa. Muungano ungekuwa kwa ridhaa ya wananchi:

View attachment 2576003
Tanzania ni Nchi ya kipekee, haifananishwi na Uganda Wala Kenya.

Wana mengi ya kujifunza Kutoka kwetu kuliko machache tunayoweza kujifunza Kutoka kwao.

Hata Katiba mpya yetu itakuwa Bora kuliko zao na itapatikana Kwa njia ya AMANI.

Tanzania Bado Kuna viongozi wenye HOFU ya Mungu kulinganisha na mataifa mengine.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Tanzania ni Nchi ya kipekee, haifananishwi na Uganda Wala Kenya.

Wana mengi ya kujifunza Kutoka kwetu kuliko machache tunayoweza kujifunza Kutoka kwao...

Kumbe waliokuwa wakihimiza kuombewa huku watu wakikamatwa, kuteswa, kuuwawa na kupotea walikuwa na hofu ya nani?
 
Kumbe waliokuwa wakihimiza kuombewa huku watu wakikamatwa, kuteswa, kuuwawa na kupotea walikuwa na hofu ya nani?
Bado watu wanaendelea kupotea, kuuwawa, kukamatwa, kuteswa nk nk.

Ktk population ya watu wanazidi 50ml hayo yapo, bt Kwa ujumla, hapa kwetu ni pazuri, kisiwa Cha AMANI,

Soon tutafurahi pamoja, maana Mfalme wa WAFALME atatawala pamoja nasi.

Nafurahi Kuzaliwa katika Nchi hii nzuri.

TANZANIA.

Amen
 
Binafsi kama mpenda maendeleo. Mimi ningekuwa Mama ningependekeza katiba ya warioba iongezewe vitu vichache tu. Tutengeneze Mtandao ambao raia watatoa maoni yao...
Tunahitaji katiba mpya haraka la sivyo matrilioni yataendelea kupotea kama ilivyooneshwa kwenye ripoti ya CAG.
 
Bado watu wanaendelea kupotea, kuuwawa, kukamatwa, kuteswa nk nk.

Ktk population ya watu wanazidi 50ml hayo yapo, bt Kwa ujumla, hapa kwetu ni pazuri, kisiwa Cha AMANI,

Soon tutafurahi pamoja, maana Mfalme wa WAFALME atatawala pamoja nasi.

Nafurahi Kuzaliwa katika Nchi hii nzuri.

TANZANIA.

Amen

Tunza posts zako unapoendelea kusubiria dodo kwenye mnazi
 
Naunga mkono hoja kama kuna vitu vya kuongeza au kupunguza nadhani vitakua vichache kuliko kuanza mwanzo kabisa
N:b mama mwenye nyumba kipindi kile alikua naibu "supika" kama sijakosea, anajua Kila kitu au kama amesahau akumbushwe ili asiteketeze pesa zingine
 
Binafsi kama mpenda maendeleo. Mimi ningekuwa Mama ningependekeza katiba ya warioba iongezewe vitu vichache tu. Tutengeneze Mtandao ambao raia watatoa maoni yao kwa kuna AI sasa hivi tunazichakata hizo taarifa within a few days(wazee wa data science na python wapo mtaani kibao). Then inapelekwa bungeni kupitiwa na kupitishwa.

Hakuna haja ya kutengeneza BUNGE LA KATIBA ili hela ziliwe na watu wachahe tu. Hela zingine zielimishe watu katiba ina nini kwa kuandaa apps, VIPINDI VYA TV kila usiku hata one hour.

Kwa muktadha huo itasaidia taifa kuokoa pesa nyingi sana. Next tunaweka maadhimio kila baada ya miaka 20 katiba ifanyiwe amendment.

Nawasilisha.
Ukiwasikiliza wapinzani nao wanasema ile ya Warioba nayo imepitwa na wakati eti kuna mambo yanatakuwa kufanyiwa marekebisho!
 
Back
Top Bottom