Pamoja na hatua zote zinazoweza kuchukuliwa dhidi ya mapendekezo batili ya akina Mukandara, tupanue wigo.
Walisema umoja ni nguvu.
Kwa hakika wananchi wanataka katiba mpya na wako pote.
Wako CCM, NCCR, CHADEMA, nk na wengine hata vyama hawana.
Shughuli hii inahitaji watu, tena waliodhamiria.
Tofauti ndogo ndogo ziwekwe kando.
Katiba mpya ni sasa.
Rejea:
Baada ya kumsikiliza Profesa Mukandala, nakubaliana na CHADEMA kwamba wadai Katiba Mpya "kivyao"
Spika Tulia, huu si ufisadi kweli Bunge kukodi mabasi ya Shabiby?
Walisema umoja ni nguvu.
Kwa hakika wananchi wanataka katiba mpya na wako pote.
Wako CCM, NCCR, CHADEMA, nk na wengine hata vyama hawana.
Shughuli hii inahitaji watu, tena waliodhamiria.
Tofauti ndogo ndogo ziwekwe kando.
Katiba mpya ni sasa.
Rejea:
Baada ya kumsikiliza Profesa Mukandala, nakubaliana na CHADEMA kwamba wadai Katiba Mpya "kivyao"
Spika Tulia, huu si ufisadi kweli Bunge kukodi mabasi ya Shabiby?