haki kwa nani? Quran kaandika nani? Uadilifu wa aliyeiandika ukoje? Au je wake wanne ni haki kwa mwanamke...... Kuwa makini sana usisali tu eti kisa Baba/mama alikuwa huko, tafakari.... Chukua hatua.....
wake wa 4 ni haki kwa mwenye kuelewa...mtu kamaa wewe huwezi kuelewa hata siku moja na haina haja ya kukufahamisha kwa nini wake 4...
na pia hatusali kwa sababu ya mama na baba walifanya hivyo..lakini tunasali kwa sababu sisi tunamsalia yule aliumba mbingu na ardhi na vyote alivo viumba ndani yake huyu ndio tunamsalia na kumuomba
sisi hatumsalii na kumuomba yule ambaye hata hakuishi zaidi ya miaka 36, amabye uzawa wake ni kizungu mkuti...haijulikani kama ni mwanaharamu ama na nani..wayahudi walimkataa wakasema huyu ni mwana haramu hawezikuwa masihi ama mtume...walimkataa...ingawa yeye aliletwa kwa ajili ya kwao peke yao
huyu kutokana na dhambi hii waliyo dhania mayahudi wakamfitini kwa wakuu wa nchi...
na hukumu ikapitishwa akamatwe auliwe...sasa huyu akakamatwa..huyu munae muomba , huyu muungu wenu, huyu ambaye alikuwa na kunya anakula na akashindwa hata kujificha ama kuleta nguvu yake ya uungu...akakamatwa akauliwa msalabani muungu akauliwa....msalabani na muungu huyu huyu alisema kabla ya kwamba kusulubiwa ni jambo la kikafiri na ukifanywa hivi basi wewe umepotea lakini yeye mwenyewe muungu huyu wako alishindwa na nguvu za viumbe wake hakuwa na nguvu hakuwa na hili wala lile akasulubiwa kishenzi kabisa hata sasa hakuna hukumu kama ile, hata hitler hakuwahi kufanya haya ila muungu wako alifanyiwa
sasa wewe unaenda kanisani unamuomba huyu ambaye yeye uzawa wake ni wa mashaka , unamuomba na kusali unafikiri ana kusikia ? soma ..soma na fanya utafiti usifate tu kwa sababu kupewa pesa ama nafasi ya kusoma ama mitumba (maana inaelekea hukufata baba na mama)
soma upate kujua..ama kuhusu Quraan nani kaandika basi imeletwa kwa Mtume wetu na Jibril...sasa ni miaka 1500 na zaidi lakini imebaki kama ilivoteremshwa ...
na humo sasa ndani yake hii Quraan ndio sasa inamsafisha yule muungu wako ...hii Quraan unayo idhihaki basi hii ndio unamsafisha muungu wako..hii quraan ina wajibu mayahudi ya kwamba huyu alikua ni mtume kama walivo kina daud, yusuf,ibrahim na alizaliwa bila ya baba..kwa uwezo wa MUNGU TUNAYEMSALIE SISI,
Na pia hii quraaan inaweka wazi kwamba huyu hawaku msulubu..kwani Mungu wake alimlinda ..kwa nini aruhusu mtume wake aburuzwe kama kibaka>? haiwezekani...alimtoa Musaa misri atashindwaje kumlinda mtume wake ambaye wale walio kusudiwa awalinaganie walimkataa?
hivyo Mungu wetu ali mlinda huyu..hawakumuua...bali ali uliwa mwengine mnamwita Yuda huyu ndio alie uliwa ...Huyu Yesu hakuuliwa....ndio maana Jumapili alijitokeza akiwa hai......na kuchukuliwa na Muumba wake Jumatatu...
sasa nyie mnasema kafa...halafu kaffuka...hebu weka bong yako sawa wewe ndio muumba halafu ufe..yaaani ufe kabisa ...hiviu utafufuka vipi? wewe umeshakufa ...hebu weka akili yako sawa sawa...itabidi awepo mtu mwengine alie hai akufufue ..hii ndio mantki ati...kilichokufa hakiwezi kurudi kiwenyewe hii ni sayansi ya kawaida, muungu hafi
sasa uislam unaweka sawa haya na qURAAN ndio unasema huyu hakufa wala hawakumua....
ukitaka zaidi ndugu yangu tafuta quraan soma surat Maryam..uone vipi muungu wako ali vosafishwa dhidi ya uongo wa mayahudi na paulo...
usihesabu rozari tu kwa sababu ya mitumba au mikopo..soma uelewe...