Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

wacha kuweka upuuzi wako..hapa kwa heading kubwa bila ya source ya habari yenyewe.
kuwangangania kwa chuki waislam ...tutabaki hivyo hivyo mambo muhimu yanayoleta umaskini nchii hayataondoka kwa kushabikia udini.
waislam kama walivo wakristo na wengineo wanayo haki ya kuchangia upatikanaji wa katiba mpya.

kila kundi lina mlengo yake lakini mwisho wa yote lengo ni kupatikana katiba ambayo lengo kubwa litakuwa
  • kulinda haki za raia wote bila ya kubagua kwa misingi ya dini,ukabila,ukanda ama rangi au jinsia.na kuwa serikali itakuwa mwajiri wa bila ya ubaguzi
  • haki ya kuabudu italindwa ndani ya katiba na mengineyo
kuna mengi ambayo waislam wamesema ili katiba ilinde haki za raia wake na kutoa fursa sawa basi yanapaswa kuwemo ndani ya katiba mfano
  • suala la kurejesha mahkama ya kadhi -suala hili linahusu ndoa za waislam inajulikana wazi waislam wana sheria zao za ndoa na ilii mashauri yao ndoa na mirathi yapate uhalali wa kisheria basi ni lazima kuwepo na mahakama inayotambiliwa kisheria sio suala la udini.ni kustahamiliana katika jamii hii ambayo makundi haya mawili yanakurubiana kwa wingi na maingiliano.wengi ya makundi ya wakristo waliobatizwa miaka ya 60 na 70 basi familia zao ni mchanganyiko wa dini hizi..
  • suala la kadhi lina kuzwa sana na viongozi wa makanisa kuliko uhalisia wake..hili kwa vile ni lazima katika maisha ya muislam basi tustahamiliane na hili sio lazima liwemondani ya katiba lakini sheria inaweza kutongwa kuanzisha mahakama hii. na ukweli halihusu watu wengine bali kazi yake ni mashauri ya ndoa ya kiislam.
  • kama katiba lengo lake ni kuleta usawa basi sheria zote kandamizi au zile sheria ambazo zimeletwa kwetu kwa malengo maaulum ya kuwa kandamiza makundi fulani ndani ya nchi..mfano wa hapa ni sheria ya Ugaidi...hii sheria imeletwa kwa lengo la kuwakandamiza waislam.ndani ya katiba mpya hii lazima iondoke
  • japo serikali haina dini lakini itambue raia wake ni waumin wa dini tofauti , hivyo kama serikali inasaidia kwa namna yoyote ile makudi ya dini au taasisi ya dini basi iwekwe fumula maalum ya usawa kabisa kwamba ni kiasi gani.kuliko sasa hivo misaada ya serikali inalenga zaid upande mmoja
  • ama suala lingine ni kutambua kuwa tanzania ni nchi huru hivyo haifungamani na nchi yoyote duniani kiitikadi ama kimsimamo
  • rasilimali zote ni mali ya watanzania hivyo mikataba yote iwe ya uwazi na taifa lifaidi zaidi kwa mkataba wowte wa madini na mafuta
  • kuwe na bunge tafauti la muungano ambalo litajumiasha wawakilishi na wabunge wa Tanganyika (kama ni 100 basi kila upande uwe 50) hili ndio lipitishe sheria za muungano.sio kama sasa hivi wabunge wa znz wanapiga kura kupitisha bajeti ya magufuli ..hhaaaaa mpaka unaona kinyaaa ...watu kama hawaoni ukweli hivi magufuli na wizara yake inahusu nini na mbunge wa michweni pemba? hivyo bunge la muungano liwe tofauti kujadili mambo ya muungano na yale ya kina magufuli basi yajadiliwe na wabunge wa Tanganyika..ima hili nalo litategemea Hali ya mungano baada ya katiba mpya
ama sula la OIC hili sio suala la katiba ni suala uamuzi tu wa serikali...kama kuna umuhimi wa kujinga ama la..na kama zanzibar wajiunge ama la hili ni suala ambalo pia litaamuliwa na katiba kwani Tanganyika wanakataa kwa mashinikizo lakini katiba hio hio basi itambue imeungana na zanzibar amabyo ina waislam wengi hivyo ina maslahi na jumuia za waislam dunian, hii lazima ndani ya katiba iepo na lazima ipewe haki hii ya kujiunga na jumuiya kama hizi.

ama kuhusu vyama vya dini sijasikia madai hayo ila hii ni yale matongo tongo aliyonayo mleta mada....
lakini hapa katiba lazima ikataze na ipige marufuku vyama vyote vya kidini ama kikanda ama kikabila ...na lazima katiba za vyama uongozi wao uwe wa kitaifa usiwe wa kimkoa
mwisho mleta hoja wacha chuki kwa waislam ....

Umejitahidi sana kutoa maelezo yako,lakini nashindwa elewa tatizo lako liko wapi? Mahakama ya kadhi ni swala la ibada kwa waislam,kama imamu huchaguliwa na waislam kwanini kadhi asichaguliwe na waislam wenyewe na aendeshe hukumu ziwahusuzo waislam hadi serikali iwaanzishie hiyo mahakama,kuna nini hadi iwe lazima mahakama ya kadhi ianzishwe na serikali ?

OIC, Organization of Islamic ... kama sijakosea, kama ni organization ya Islamic ... TZ sio Isramic, kwa nini ijiunge kama nchi ? malengo na madhumuni ya OIC yanahusu uendelezaji wa UISLAM, serikali ya TZ isiyo na dini inahusikaje na uendelezaji wa UIslam ? hata kama kuna baadhi ya malengo yasiyohusu dini kama misaada au lah,hiyo haitoshi kuifanya nchi isiyo ya kiislam kujiunga na taasisi ambayo ni ya kidini per se.
Misaada ya serikali hailengi upande mmoja kama unavyojaribu kudanganya ndugu,serikali inatoa ruzuku kwenye mahospitali yanayoendeshwa na makanisa kwa makubaliano ya kutoa huduma kwa niaba ya serikali,na si kwa wakristo tu,imesemwa taasisi ya agha khan inanufaika nayo ni ya kikristo ?
Bado serikali haijawanyima ruzuku waislam kama wanaweza endesha taasisi kama hospital,unajua kuwa hilo si moja ya malengo ya Uislam,kama serikali ingekuwa inatoa fedha kuendeshea sunday school,naamini na waislam wangepata za kuendeshea madrasa. Lakini sivyo,serikali inafadhili miradi kusaidia jamii kiafya inayoendeshwa na taasisi za kidini sio kikristo tu
 
Hoja hizo hazina mashiko kwani hayo ni masuala ya ndani, na jamii ya Waislam wanaozungumziwa hapa ni Watanzania si wageni kama ilivyokuwa kampuni ya kigeni ya Richmond iliyosajiliwa nje ya Tanzania, It's ridiculous!, kusajili hukumu baina ya raia wa nchi moja iliyotokana na Mahakama ilyopo ndani ya nchi hiyohiyo. Acha upuuzi.
Katiba ni lazima ilinde uhuru wa kuabudu. Mahakama ya kadhi ni hitaji la kisheria katika kutekeleza ibada ya Muislam anapoyaendea masuala ya ndoa, mirathi, na wakfu. Kwa sababu hiyo ni lazima Mahakama hiyo itambuliwe kikatiba ili uhuru huo wa kuabudu ulindwe kikamilifu moja kwa moja kupitia nguvu ya kisheria.

Nani kakataza waislam kuanzisha na kuhukum kwa kutumia sharia ? imesemwa mara nyingi kuwa mnao uhuru wa kuanzisha mahakama ya kadhi na kutoa hukumu zote za kidini isipokuwa zile zenye jinai,lakini hamtaki kuanzisha mnataka ianzihswe na serikali, UHURU WA KUABUDU SI NI PAMOJA NA UHURU WA KUENDESHA TAASISI ZA KIIBADA ?
 
Quran inampa heshima kwa vile na wale waliotumwa na Allah kuja kufikisha ujumbe na kwa vile wayahudi wakamkataa na kumpaka matope Allah akaleta mtume mwingine ili aje amsafishe na uchafu ule aliopakwa Mwana wa Mariam. Nafikiri kama kweli watu tunataka kufuata njia sahihi ili tuweze kuwa salama mbele ya Allah tumepewa akili ebu tufanyeni utafiti. mijadala hii iwe chachu ya kila moja kujiuliza hivi mimi niko sahihi hivi baba yangu alieniingiza dini alikua sahihi? hivi ni vitu vingapi tumeviona wazee wetu wanachemka kwanini na hili la dini lisiwe hivyo. kama mlivyojitahidi kupata elimu zenu nzuri katika kuyajua mazingira yenu yanaowazunguuka basi vile vile mnatakiwa kufanya juhudi hizo hizo kumtafuta muumba wa kweli wala ushabiki hautatusaidia kitu. tunashukuru nchi za magharibi watu wanotumia common sense na sio ushabiki wnegi wamehamia upande wa pili na laiti kama sio jitihada zi kizayuni za kuukandamiza uislamu duniani kote nakuambia watu ukweli wangeujua lakini licha ya jitihada zao bado hawawezi kushindana na nguvu za Allah maana aliisha sema penye ukweli uongo ujitenga

Nguvu ya Allah,you must be joking,nchi za magharibi watu wanao uhuru wa kuamua na kufikiri hata kutokufikiri pia,ndiyo maana Uislam unaweza kuenezwa kwa uhuru kwenye nchi hizo ingawa wenyewe kama dini haina msamiati wa uhuru,na ndiyo maana unaita UZAYUNI wa kukandamiza kwa kuwa uhuru wa magharibi unasheria.
Huzungumzii nchi za kiislam ambako watu wake wamenyimwa uhuru wa kufikiri nje ya boksi walilowekwa la UISLAM kiasi cha kukataza hata vitabu vya kidini nje ya Uislam, sijui nini kimekupofusha unashindwa kuuelewa ukweli huo ulio wazi kabisa,uislam unalindwa kwa mabomu na majambia vinginevyo quran na Uislam wake ingekuwa kwenye hifadhi za makumbusho.
Ukristo ndiyo imani ambayo inalindwa na Mungu Muumba wa mbingu na Nchi, haulindwi kwa mabomu au majambia lakini bado unapeta duniani,unachafuliwa,unadhihakiwa na kutendwa mabaya mengi lakini bado unapeta na kuwaongoa wengi,wewe unakuja na dini inayolindwa kwa sheria kali za serikali kuwa ni allah anailinda,hakika hu mzima wewe...
 
Mbona kuna mahakama ya biashara;kwani kila mtanzania ni mfanyabiashara?

biashara nayo ni dini ? hata taasisi za kibiashara za watu wa dini hata za madhehebu ya dini zaweza kwenda kwenye mahakama ya biashara,waislam mnajidhalilisha sana kwa mfano kama huu.
 
Source gazeti la mzawa

Katika kuelekea kupata katiba mpya waumini wa dini ya kiislam jijini mwanza wamesema katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa mambo ambayo yanahusu dini ya kiislam mambo yafuatayo lazima yaanguzwe katika katiba ili kulinda na kutetea haki za waislam kwa ujumla;

1. Mahakama ya kadhi iwe kisheria na serikali igharamie shughuri zote.

2. Tanzania kujiunga na jumuiya ya kiislam ya OIC

3. Kuwapo kwa vyama vya kisiasa vya kidini
Kila kukicha madai... Hiyo ni dini au ni kikundi cha madai?
 
Uislam haujafilisika kuanza kuwa na Sanamu za waumin kama wewe,nyie wenye maendeleo mmewasaidia vipi ndugu zenu kule mbeya kwenye makanisa kila kichochoro baba,mama,mtoto wote wachungaji lakini biashara ya Ngozi za binadam zimeshamiri,kule shinyanga kanisa lmesaidia vipi kuwaondoa upofu wale wanajumuiya wenzenu wanaokabiliana na changamoto za ugumu wa maisha kwa kuua vibibi kuwa ndo vinawalostisha!

Kwani Mbeya na Shinyanga wanaishi wakristu tu? Tunaona matunda yenu huko Nigeria na Kenya, bado kidogo tu kwa akili kama hizi zinazojitokeza JF, mabomu yataanza kulipuka Tz. The religion of tolerance!!!!
 
Je? ni wako sawa kipofu na anaeona,bubu na anaesema,kiziwi na anesikia, kiza na mwanga, asiekubali haya basi angojee kaburini
 
Hivi kwa mfano kuhusu kujiunga na OIC, kwa nini wasijiunge waisilamu peke yao? maana ukisema nchi ijiunge basi na asiye muislam atakuwa amejiunga pia.
 
Nguvu ya Allah,you must be joking,nchi za magharibi watu wanao uhuru wa kuamua na kufikiri hata kutokufikiri pia,ndiyo maana Uislam unaweza kuenezwa kwa uhuru kwenye nchi hizo ingawa wenyewe kama dini haina msamiati wa uhuru,na ndiyo maana unaita UZAYUNI wa kukandamiza kwa kuwa uhuru wa magharibi unasheria.
Huzungumzii nchi za kiislam ambako watu wake wamenyimwa uhuru wa kufikiri nje ya boksi walilowekwa la UISLAM kiasi cha kukataza hata vitabu vya kidini nje ya Uislam, sijui nini kimekupofusha unashindwa kuuelewa ukweli huo ulio wazi kabisa,uislam unalindwa kwa mabomu na majambia vinginevyo quran na Uislam wake ingekuwa kwenye hifadhi za makumbusho.
Ukristo ndiyo imani ambayo inalindwa na Mungu Muumba wa mbingu na Nchi, haulindwi kwa mabomu au majambia lakini bado unapeta duniani,unachafuliwa,unadhihakiwa na kutendwa mabaya mengi lakini bado unapeta na kuwaongoa wengi,wewe unakuja na dini inayolindwa kwa sheria kali za serikali kuwa ni allah anailinda,hakika hu mzima wewe...
Mkuu umeongea yote mimi nimeishiwa cha kuongezea
 
Kwani Mbeya na Shinyanga wanaishi wakristu tu? Tunaona matunda yenu huko Nigeria na Kenya, bado kidogo tu kwa akili kama hizi zinazojitokeza JF, mabomu yataanza kulipuka Tz. The religion of tolerance!!!!

kwani tunaandika katiba ya nigeria au kenya hapa?..stick to the point.
Ni ukweli kuwa maeneo ambayo yako na population kubwa ya christian ni HOHEHOHE..Songea,kyela,shinyanga,sumbawanga,mbeya,etc.
 
Kwani Mbeya na Shinyanga wanaishi wakristu tu? Tunaona matunda yenu huko Nigeria na Kenya, bado kidogo tu kwa akili kama hizi zinazojitokeza JF, mabomu yataanza kulipuka Tz. The religion of tolerance!!!!

kwani tunaandika katiba ya nigeria au kenya hapa?..stick to the point.
Ni ukweli kuwa maeneo ambayo yako na population kubwa ya christian ni HOHEHOHE..Songea,kyela,shinyanga,sumbawanga,mbeya,simiyu,mpanda,etc.
 
Sioni sababu ya muislam kubishana na mkristo bt naona sababu dhairi ya muislam kumpiga mkristo ili heshima iwepo. Allah ameshasema, hamtokua radhi nasi mpaka tufate mila zenu. Walahi nimeamini.
 
Wana dharau sana hawa watu,wanapenda kujiona wao wako very superio,na tatizo ndo liko hapo.leo mhashamu kikoti amefariki huwezi ona uzi kumhusu na kama upo huwezi kuta muslim wanakejeri.subiri afariki shehe,uone lundo la thread zimejaa kejeri.
 
Mimi nasikitishwa sana na wenzangu wanao kimbilia keyboard na kuanza kuandika kashafa dhidi ya upande mwengine iwe ni wasilamu au wakristo au wengineo. Likija suala la dini, naomba wale akina sisi ambao hatuna elimu sana, tusionyeshe ujinga wetu bali tusubiri wenye ujuzi wakiandika na sisi tunaelimika. Lengo ni kuelimishana. Mjadala wa katiba unaendelea na kila mmoja wetu ana haki (kikatiba) kutoa maoni na mawazo yake. Kuishi pamoja ni kuheshimiana. Bila kuheshimiana itakuwa taabu sana.
Sasa hivi tuta tatizo la Zanziabr na kubwa ni hilo hilo la kuheshimiana. Kukosa kuheshimia ndiko kuliko wafanya wazanzibari kudai UHURU wao.
 
Pole mkuu,kuran inatafuta uhalali kwa kujifanya inamhusu Mungu wa wayahudi na wakristo kitu ambacho hakipo,kwa wakristo hatuna cha kujifunza wala kuelewa kutoka kwenye quran,tunajua hiyo ni mafundisho ya ibilisi ili kuwapumbaza baadhi ya binadam akijinasibisha na mungu wetu.
Endelea katika upotevu wako, siwezi kuiamini quran iliyopitia kwa mtu ambaye alikuwa hatari kqwenye jamii,akibaka watoto wadogo eti kawaoa,akipata hata mataminio kwa wakwe zake na kuwaoa, asilani huyu hawezi kutumwa na Mungu yule yule aliyemtuma Yesu.
bila kujali quran surat gani,quran haina kitu cha kuwafundisha wakristo zaidi ya wakristo kutambua sifa za yule mwovu kwa kupitia ujumbe wake kwenye quran.

Mungu gani aliyemtuma yesu ? yesu si ndio muungu wenu ? ama mtoto wamungu (astaghafirulah)
basi wewe akili yako ..mungu ana mtoto kazaa? khaa mbona unajinyea?
muungu aliuka ana kunya mavi na kutawaza? kha mbona akili mbovu..bora nisiwe muumini kama kuamini muungu kazaliwa...muungu alieuliwa na alie waumba....muungu aliekuwa akiomba msaada alipo kuwa anauliwa msalabani?
usisome quraan basi kasome historia ya ukristo ....usome ukristo ulianza lini ?
usome jee yesu alikua mkrsto ?
usome kwa nini ukristo ulianza baada ya 'kufa' mungu yesu


usitaje wayahudi ...soma utaona wayahudi hawana habari na yesu wenu
 
Umejitahidi sana kutoa maelezo yako,lakini nashindwa elewa tatizo lako liko wapi? Mahakama ya kadhi ni swala la ibada kwa waislam,kama imamu huchaguliwa na waislam kwanini kadhi asichaguliwe na waislam wenyewe na aendeshe hukumu ziwahusuzo waislam hadi serikali iwaanzishie hiyo mahakama,kuna nini hadi iwe lazima mahakama ya kadhi ianzishwe na serikali ?

OIC, Organization of Islamic ... kama sijakosea, kama ni organization ya Islamic ... TZ sio Isramic, kwa nini ijiunge kama nchi ? malengo na madhumuni ya OIC yanahusu uendelezaji wa UISLAM, serikali ya TZ isiyo na dini inahusikaje na uendelezaji wa UIslam ? hata kama kuna baadhi ya malengo yasiyohusu dini kama misaada au lah,hiyo haitoshi kuifanya nchi isiyo ya kiislam kujiunga na taasisi ambayo ni ya kidini per se.
Misaada ya serikali hailengi upande mmoja kama unavyojaribu kudanganya ndugu,serikali inatoa ruzuku kwenye mahospitali yanayoendeshwa na makanisa kwa makubaliano ya kutoa huduma kwa niaba ya serikali,na si kwa wakristo tu,imesemwa taasisi ya agha khan inanufaika nayo ni ya kikristo ?
Bado serikali haijawanyima ruzuku waislam kama wanaweza endesha taasisi kama hospital,unajua kuwa hilo si moja ya malengo ya Uislam,kama serikali ingekuwa inatoa fedha kuendeshea sunday school,naamini na waislam wangepata za kuendeshea madrasa. Lakini sivyo,serikali inafadhili miradi kusaidia jamii kiafya inayoendeshwa na taasisi za kidini sio kikristo tu
hakuwezi kuwa na mahakama ya sheria nje ya utaratibu wa katiba ...mahakama inahitaji kutambuliwa kisheria...na hii mahakama ya kadhi ni ya sheria inahitaji kuwekewa utaratibu wa kisheria...
unaposema waislam waiendeshe wenyewew ni sawa na kuwaambia mfano wafanya biashara waindeshe mahakama ya biashara wenyewe.
hili ni jambo muhimu kwa waislam , jamii ambayo ni kubwa katika watu wa Nchi hii
ni jambo la kustahamiliana kwani kwao ni jambo la lazima
waislam wanajua jumapili iliwekwa na watawala wa kikoloni kama siku ya mapumziko kwa sababu ya imani yao ya ukristo
kwani ndio siku ya ibada kwao
waislam wa nchi hii siku yao ya ibada ni ijumaa, na katika nchi za kiislam ijumaa ndio siku ya mapumziko, lakini waislam wa nchi hii hata baada ya uhuru waliliwachia hili ..kutokana na kuweka maslahi ya umoja na kustahamiliana katika dini, wao wanajua kuwa nchii hii ina dini mbili kubwa hivyo hatuwezi kuwa na mapumziko tofauti kwa wiki kukidhi matakwa ya dini hizi.
hivyo kama waislam wameweza kustahamili na kuridhia jumapili iwe siku ya mapumziko ili wakristo wende makanisani basi na wakristo nao wasiwe na uchoyo na roho mbaya kwa kila wana chotaka waislam wao wawe ndo wa mwanzo kukipinga..
ipo siku waislam watasema sasa basi ...tugawane mbao..na wao hawana cha kupoteza
lakini huko si kwa kufika ila kila ambaye ana ona mbali , anaetambua kuwa nchi hii ina dini mbili kubwa, dini ambazo zina waumini wengi zaidi na karibu sawa...inatakiwa kustahamiliana .....
kinyume chake nchi hii iko very vulnerable .....dini moja kuhodhi kila kitu...kuanzia nafasi za kazi serikalini , nafasi za masomo ndani na nje ya nchi, heshima kwa taasisi za dini na viongozi wao, kama haki na uadilifu itakuwa ni kitu adimu ndani ya viongozi wa kikristo basi nchii hii haiwezi kuwa kisiwa cha amani ..kwani huwezi kumnyima mtu haki yake milele..binaadamu anachoka ..
na wito kwa waislam wakati huu wa kuchakachua katiba ..kuna haja ya waislam kutoa msimamo wa wazi kuwa nchii hi si ya kidini haina dini hivyo katiba ibadilishwe na siku za mapumziko yasizingatie dini moja ..
bora siku ya mapumziko iwe jumatatu...na jumanne...bora tuaanzie hapo hima waislam tuichagize tume ya katiba tuweke mambo sawa tukatae siku za mapumziko kuwa jumapili
labda ndio sense itaingia kwa wakristo
 
nguvu ya allah,you must be joking,nchi za magharibi watu wanao uhuru wa kuamua na kufikiri hata kutokufikiri pia,ndiyo maana uislam unaweza kuenezwa kwa uhuru kwenye nchi hizo ingawa wenyewe kama dini haina msamiati wa uhuru,na ndiyo maana unaita uzayuni wa kukandamiza kwa kuwa uhuru wa magharibi unasheria.
Huzungumzii nchi za kiislam ambako watu wake wamenyimwa uhuru wa kufikiri nje ya boksi walilowekwa la uislam kiasi cha kukataza hata vitabu vya kidini nje ya uislam, sijui nini kimekupofusha unashindwa kuuelewa ukweli huo ulio wazi kabisa,uislam unalindwa kwa mabomu na majambia vinginevyo quran na uislam wake ingekuwa kwenye hifadhi za makumbusho.
Ukristo ndiyo imani ambayo inalindwa na mungu muumba wa mbingu na nchi, haulindwi kwa mabomu au majambia lakini bado unapeta duniani,unachafuliwa,unadhihakiwa na kutendwa mabaya mengi lakini bado unapeta na kuwaongoa wengi,wewe unakuja na dini inayolindwa kwa sheria kali za serikali kuwa ni allah anailinda,hakika hu mzima wewe...

afrika ukristo umeletwa na ukoloni..umeletwa kwa bikuti na pipi...na mitumba....umaskini na ufukara wa kiafrika ndio umewaingiza huko...na si kwa elimu ya dhati kuujuwa ukristo
ukweli utabaki hakuna muislam wa kweli anae ingia ukristo..
Lakini wazungu kwa mamia wanaingia uislam,
 
Back
Top Bottom