Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

Katiba mpya: Waislam watoa madai mazito Mwanza yawekwe kwenye katiba mpya

Wana dharau sana hawa watu,wanapenda kujiona wao wako very superio,na tatizo ndo liko hapo.leo mhashamu kikoti amefariki huwezi ona uzi kumhusu na kama upo huwezi kuta muslim wanakejeri.subiri afariki shehe,uone lundo la thread zimejaa kejeri.

Bw elungata, dharau inatokana na namna ambavyo waislam wengi wanawakilisha ,mawazo yao dhidi ya wale wasio waislam,kama una kumbukumbu,kaburu wakati anaendesha ubaguzi wa rangi south,aliwaaminisha waafrika wa afrika ya kusini kuwa wao ndiyo waafrika bora na waliostaarabika kuliko waafrika wengine wowote duniani,hivyo namna ambavyo wanabaguliwa ilikuwa bado ni swala la kujivunia,kwani waliwadanganya kuwa waafrika wengine wanaishi kama masokwe. Kwa kipindi kirefu waliishi wakijiona wao ni bora kuliko waafrika wengine hadi pale walipofanikiwa kutoka kwenye box la south na kufika maeneo mengine ya afrika wakakuta wale waliokuwa wanaambiwa wapo wanaishi kama masokwe kumbe wanaishi sawa na wale wanaowabagua kwao,wanakula chakula hotel wanazokula wazungu,wanaingia popote bila bughuza,ndiyo ukawa mwanzo wa mapambano.
Ndivyo ilivyo kwa waislam wengi wanaamini kuwa wao ndiyo wenye hati miliki ya dunia hii,hati ambayo imetolewa na allah kwenye quran,hivyo wao wamedanganyika na kuona kila linatendwa pasipo kufuata matakwa yao ni swala la kulazimisha litendeke kwa kuwa dini yao ndiyo bora duniani na wao ndiyo wana hatimiliki ya huyo wanayemwamini kuwa ndiye muumba wa dunia hii. Lakini kama waislam wangejua kuwa wao wana haki sawa na wale wasio waislam katika kufaidi oksjeni ya dunia hii,na taratibu za allah wao ni kwa faida au hasara yao wazifuate pasipo kuingilia uhuru wa wengine na wala pasipo kuhusisha taasisi ambazo sio za kidini hakika dunia ingekuwa ni mahala pa kuisi kwa kuheshimiana,lakini wapi ? wao ndiyo maandiko yao ni sahihi, ukiwaambia Nabii isa wao sio Yesu hawataki kwan kuwa wanapumbazwa na imani kuwa kitabu chao ndicho sahihi kuitwa Yesu kwengine ni upotofu, wanatakiwa waamini mungu wao ni mungu wao tu,Wakristo wanaMungu wao,wanaoabudu ngo'mbe nao ni Mungu wao. Mungu yupi ni wa kweli ni swala la mtu binafsi kutafakali na kujitambua.

ni wakati kwa waislam kubinafsisha uislam wao.
Tuheshimiane...
 
Mhh Makubwa-kwani huyo Yesu hakufa? Je unaamini hivyo? Wewe ndo wa kwanza kusema alisurubiwa msalabani akafa-je Uoni kuwa ni mfu? Unaamini lipi alikufa au hakufa? Kama unaamini hakufa basi wewe ni muislam kwani ndo msimamo wa uislam, lkn unatakiwa ujue kuwa kila nabii alikuja kwa wakati wake kama ilivyokuwa historia ya dunia-ujima, ukabaila, ubepari na ujamaa(ukomunisti) -kwa hali hiyo utawala ulipo (awe yesu amekufa au la) ni Muhammad (SAW) -sie waislam hatumabudu Muhamad bali Mungu wa Pekee aliyeumba kila kitu kwa kupitia maneno yake Allah kama yalivyofundishwa na Mtume wake Muhammad (SAW). Pole kwako wewe unayemwabudu Yesu -aliyezaliwa kama wewe, aliyekuwa anakula na kunywa na kulala na kwenda haja-loo haiweekani Mungu akwa na sifa za upungufu wa kibinadamu kama hizo. Jifunze uislam uone mwenendo wake -usipinge kwa sababu unapinga tu kwa mazoea kaa la moto
 
Last edited by a moderator:
sina hakika kam ndugu yangu Mkwesa anahakika na yale anayoyasema. hakuna muislam kwenye dunia hii anaona yeye ndio mwenye hati miliki ya dunia, ila kuona kuwa dini yake ni sahihi hilo ni wajibu si tu kwa waislam bali hata kwa wasiokuwa waislam. haiwezekani kuona dini yako siyo sahihi halafu ukaendelea kuiamini-basi utakuwa punguwani.
ungefanya juhudi kidogo ungeelewa kwa nini waislam wamefikia hapo walipo-ni kutoana na ufedhuli na dhuluma wanazofanyiwa na wasiokuwa wao-tafuta kote ulimwengu ambako waislam wanaheshimiwa saa na wasio kuwa wao ukakuta kuna ukorofi.
suala la Issa au yesu ni sual ala jinatu unaweza kuita john au yohana ikawa haina dosari-ndo ilivyo kuwa, hakuna muislam aliyejitungia kuwa yesu siyo issa bali ni Yule aliyekiteremisha kitabu kisichokuwa na Shaka ndani yake -Qur'an na kisha sifa (wasifu) wa anayeitwa yesu na issa -bahati mbaya sana wasio waislam hawasomi Qur'an ndo maana wanabisha kwa kila kitu-sifa zinalinganisha watu kuliko majina
 
afrika ukristo umeletwa na ukoloni..umeletwa kwa bikuti na pipi...na mitumba....umaskini na ufukara wa kiafrika ndio umewaingiza huko...na si kwa elimu ya dhati kuujuwa ukristo
ukweli utabaki hakuna muislam wa kweli anae ingia ukristo..
Lakini wazungu kwa mamia wanaingia uislam,

Waweza kuwa sahihi kuwa Ukristo uliletwa na wakoloni,lakini hao wakoloni hawakuleta imani ya kukariri,ukristo una mfanya mtu wa Imani hiyo kuwa mtu mwenye kutafakari si kama Uislam ambao mtu akisha kuingia anakuwa na ugonjwa wa kushindwa kufikiri na kutafakari anakuwa mtu wa kukariri tu.
Ni aibu kwa Muislam kusema kama unavyosema kwamba 'hakuna Muislam wa kweli anae ingia Ukristo' huku ukijua kuwa Uislam ni dini ambayo binadam analazimishwa na kinyume chake akiacha dini hiyo anauawa,uislam unalindwa kwa silaha za kuulia watu,ukristo hauna ulinzi wa kishetani namna hiyo,ni Imani huru ambayo mtu yeyote mwenye busara hawezi kuiacha na kuibeza na tatizo la kibusara kubeza ukristo hasa kwa Muislam. Ukristo hauhitaji elimu ya dhati kwa maana ya kuariri,ukristo unahitaji busara ya kawaida kabisaaa.
 
]Mungu gani aliyemtuma yesu ?[/COLOR] yesu si ndio muungu wenu ? ama mtoto wamungu (astaghafirulah)
basi wewe akili yako ..mungu ana mtoto kazaa? khaa mbona unajinyea?
muungu aliuka ana kunya mavi na kutawaza? kha mbona akili mbovu..bora nisiwe muumini kama kuamini muungu kazaliwa...muungu alieuliwa na alie waumba....muungu aliekuwa akiomba msaada alipo kuwa anauliwa msalabani?
usisome quraan basi kasome historia ya ukristo ....usome ukristo ulianza lini ?
usome jee yesu alikua mkrsto ?
usome kwa nini ukristo ulianza baada ya 'kufa' mungu yesu


usitaje wayahudi ...soma utaona wayahudi hawana habari na yesu wenu

Mungu wa Israel,Mungu wa Isihaka,Mungu wa Yakobo (Sio allah),Yesu alikuwa Mungu kweli na Binadam kwa umbo tu,Mtoto wa Mungu kweli (Ataitwa mwana wa aliye juu) Kasome biologia ujue kuzaa au kutozaa hakuwezi kuwa sifa ya mungu awaye yote, mungu wenu allah ndiye hazai (atakuwa jamii ya mamalia) kwa kuwa mammals (mamalia) pekee ndiyo wenye sifa ihusianayo na kuzaa au kutozaa. Mungu wetu ni ROHO hivyo swala la kuzaa au kutokuzaa halimuhusu japo ana mwana ni mwana kwa uweza wa ROHO mtakatifu (Haya huyawezi kwani hayakaririki), aliteswa,aliuliwa MWISHO ALISHINDA MAUTI YU HAI MILELE,dhihaka unazotoa leo walitoa wenzio zamani akiwa msalabani kwa hiyo hazinibabaishi kwani zipo na nimezisoma (IBILISI at work)
Mkristo ni mwamini wa YESU kristo,Yesu hawezi kuwa mkristo (Punguza kukariri ni sawa na kusema Tanzania haijawahi kuwa Mtanzania,Zinduka wewe zuzu)
Ukristo ????!!!! sijui una maanisha nini zuzu wangu,Ukristo ni kuishi na kuamini habari njema,watu wa aina hiyo walikuwa Unique,jamii ya wakati ule ikawaita hawa watu ni WA KRISTO kwani walikuwa wanamfuata kristo YESU,kwa mantiki hiyo huwezi kusema ukristo ulianza baada ya kifo cha Yesu wakati Habari Njema (Injili) ilipokelewa na kuaminiwa wakati YESU yupo ( Huna hatia katika yote najua una ugonjwa ule AIDS 'Acquired intelligency deficiency syndrome'

Wayahudi si wote,japo wengi hawakumwamini YESU kwa sababu sawa na waislam wa leo kutomwamini YESU,waliishi maisha ya kukariri torati nao wakawa na AIDS 'acquired intelligency deficient syndrome.(Mfano,kwenye torati walikariri amri ya USIZINI,wakijua kuzini ni kwa mtu kufanya tendo na mwanamke asiye wake (ambayo ni tafsiri ya waislam hadi leo, kwa kuwa ni madhara ya kukariri hatuna namna ya kuwaponya, Lakini mkuumkuu alipokuja aliwafundisha kutokukariri kwa kuwambia kuzini ni pamoja na kuangalia mwanamke kwa matamanio...
Dozi hii inakutosha kukufanya uanze kuishi kwa kutafakari,sio lazima lakini.
 
sina hakika kam ndugu yangu Mkwesa anahakika na yale anayoyasema. hakuna muislam kwenye dunia hii anaona yeye ndio mwenye hati miliki ya dunia, ila kuona kuwa dini yake ni sahihi hilo ni wajibu si tu kwa waislam bali hata kwa wasiokuwa waislam. haiwezekani kuona dini yako siyo sahihi halafu ukaendelea kuiamini-basi utakuwa punguwani.
ungefanya juhudi kidogo ungeelewa kwa nini waislam wamefikia hapo walipo-ni kutoana na ufedhuli na dhuluma wanazofanyiwa na wasiokuwa wao-tafuta kote ulimwengu ambako waislam wanaheshimiwa saa na wasio kuwa wao ukakuta kuna ukorofi.
suala la Issa au yesu ni sual ala jinatu unaweza kuita john au yohana ikawa haina dosari-ndo ilivyo kuwa, hakuna muislam aliyejitungia kuwa yesu siyo issa bali ni Yule aliyekiteremisha kitabu kisichokuwa na Shaka ndani yake -Qur'an na kisha sifa (wasifu) wa anayeitwa yesu na issa -bahati mbaya sana wasio waislam hawasomi Qur'an ndo maana wanabisha kwa kila kitu-sifa zinalinganisha watu kuliko majina

YESU maana yake,ni MWOKOZI,Isa maana yake nini ? acha ujinga,ni ibilisi aliogopa kutumia jina YESU kwa angekuwa anakiri kuwa nio mwokozi, akatengeneza dhana ya kusadikika na hadithi inayofanana fanana kwa mbali na ukweli kuhusu yesu akamwita character wa movie yake Isa ili awapate mazuzu wakiamini kuwa isa wamsomae ni huyo itwaye YESU na wakristo ili na wao wajione wako kwenye njia sahihi waendelee upotevuni,sijasema waislam wanasema,no waislam wanakariri lakini quran ndiyo iliyoandika hivyo,YESU ana tafsiri yake katika lugha zote duniani,hakuna lugha ambayo ina tafsiri YESU kuwa ni issa,hiyo ni kazi ya ibilisi kuwapumbaza. YESU NI JINA LENYE MAANA NA MAANA YAKE NDIYO INAMTOFAUTISHA NA WAZALIWA WENGINE WA MWANAMKE ikiwa ni pamoja na mimi na wewe na mtume wako. Narejea quran haina kitu cha mkristo kujifunza wala kurejea kwa namna yoyote,yalioyomo kwenye kitabu chenu si maagizo ya Mungu aliyemtuma YESU kwani yeye si mwanadam kwamba awe anachanganyikiwa kwenye INJILI aagize hivi kwenye quran aagize tofauti,Mungu wetu ni mtakatifu sana na ahadi zake ni kamilifu,huwezi kupata kuhitilafiana kwa agano la kale na INJILI na Manabii kwenye agano jipya kama ilivyo kwenye quran,maana yake ni kwamba mafundisho hayaotoki kwenye chanzo kimoja,Acha kujidanganyaa...
 
Wewe hizo takwimu za Waislam kuwa zaidi ya theluthi moja ya watanzania wote umeitoa wapi? mbona sijawahi kusikia mmefanya sensa huko misikitini mwenu? Maana wakristo wana mfumo unaowapa takwimu zinazowahusu kila kukicha. Pili, sensa ya Kiserikali haitafuti kujua ni dini ipi inaizidi nyingine kwa wingi wa waumini. Kama mnataka kujua ni dini ipi ambayo ina waumini wengi zaidi, mbona ni rahisi sana?
Jihesabuni katika misikiti yenu (fanyeni sensa ya kidini humo humo katika nyumba za ibada), then linganisheni na idadi ya Watanzania iliyotangazwa na serikali, ili mjijue kuwa mu asilimia ngapi ya watanzania. Hizo takwimu mnatajiwa na viongozi wenu, zilizotokana na wingi wa wanawake mnaowaoa, hazina mashiko.
Mimi ni mkatoliki, na kila baada ya muda tunafanya sensa kujua idadi ya wakatoliki. Mwaka juzi ilifanyika. ndiyo maana ukisikia wakristo ni % kadhaa, hawakukurupuka kupata takwimu hizo.
wewe unauelewa mdogo. Nani kakuambia waislamu hawazidi milioni kumi? au umefuata takwimu za uongo zilizotolewa na maajenti wa kanisa? Waislamu ni zaidi ya theluthi moja ya watanzania wote na ni wengi kuliko wakristo. Uzushi huu wa takwimu fake ndio umesababisha waislamu waone kuna umuhimu wa kipengele cha dini kiingizwe kwenye sensa ili kuondoa kitendawili hiki, mkijigamba iwe kiuhalali au muone haya kuongopea umma
 
Mna matatizo sana na hamuelewi na mnashindwa kujua maana ya maoni ,hivi hamuelewi kuwa mtu au watu kikundi au chama kinaweza kutoa maoni ya aina yeyote kutaka yawemo ndani ya katiba ?

Hivi wa dini zingine mmekataliwa kutoa maoni ? Msitangulize meno mbele yatang'olewa.
Ushakula ban kamanda, pole sana!!!!
 
Mna matatizo sana na hamuelewi na mnashindwa kujua maana ya maoni ,hivi hamuelewi kuwa mtu au watu kikundi au chama kinaweza kutoa maoni ya aina yeyote kutaka yawemo ndani ya katiba ?

Hivi wa dini zingine mmekataliwa kutoa maoni ? Msitangulize meno mbele yatang'olewa.
Unajua kuna maoni mengine ni ushuzi mtupu ndiyo maana tunayatilia shaka, kwa taarifa yenu hizo njama zenu za kutaka kuisilimisha Tanzania tumezigundua na hapa tutakula sahani kwa taarifa yako huo upuuzi wenu mnaouita mapendekezo30 hata moja halitaingia kwenye katiba tuombe uzima.Hizo mahakama zenu anzisheni misikitini na mzigalamie nyinyi wenyewe kwani zina manufaa na nyinyi wenyewe.
 
vyama vya kidini marufuku! Dini yako kaifanyie kanisani au msikitini serikali yetu haina dini lkn watu wake wana dini.
 
Uislam ndo dini ya haki.na mwenyezi mungu amesema ndani ya qurain kuwa ndiyo dini anayotambua.chonde chonde achane utani na uislam.[/QUOTE
Huo upuuzi wa kutishana peleka huko misikitini, kila mtu ana dini yake, ni dini ya haki kwenu na kwa Mungu wenu, tusiye muamini sisi ambao siyo waislam na wala hatuna mpango wa kuwa waslam.
 
YESU maana yake,ni MWOKOZI,Isa maana yake nini ? acha ujinga,ni ibilisi aliogopa kutumia jina YESU kwa angekuwa anakiri kuwa nio mwokozi, akatengeneza dhana ya kusadikika na hadithi inayofanana fanana kwa mbali na ukweli kuhusu yesu akamwita character wa movie yake Isa ili awapate mazuzu wakiamini kuwa isa wamsomae ni huyo itwaye YESU na wakristo ili na wao wajione wako kwenye njia sahihi waendelee upotevuni,sijasema waislam wanasema,no waislam wanakariri lakini quran ndiyo iliyoandika hivyo,YESU ana tafsiri yake katika lugha zote duniani,hakuna lugha ambayo ina tafsiri YESU kuwa ni issa,hiyo ni kazi ya ibilisi kuwapumbaza. YESU NI JINA LENYE MAANA NA MAANA YAKE NDIYO INAMTOFAUTISHA NA WAZALIWA WENGINE WA MWANAMKE ikiwa ni pamoja na mimi na wewe na mtume wako. Narejea quran haina kitu cha mkristo kujifunza wala kurejea kwa namna yoyote,yalioyomo kwenye kitabu chenu si maagizo ya Mungu aliyemtuma YESU kwani yeye si mwanadam kwamba awe anachanganyikiwa kwenye INJILI aagize hivi kwenye quran aagize tofauti,Mungu wetu ni mtakatifu sana na ahadi zake ni kamilifu,huwezi kupata kuhitilafiana kwa agano la kale na INJILI na Manabii kwenye agano jipya kama ilivyo kwenye quran,maana yake ni kwamba mafundisho hayaotoki kwenye chanzo kimoja,Acha kujidanganyaa...
Mkuu nakuunga mkono kwa 100% unajua hawa watu tumewalea kwa miaka mingi sana na huo upotoshaji wao.Sasa inabidi wakirisito tuamke tuache tofauti zetu tukabiliane na huu upotoshaji, Upotoshaji na ubabe huu ndiyo umesababisha nchi nyingi duniani ukiristo kufutika,Sasa sisi tuko macho wakitoa hoja tutawajibu wakitukana, tutatukana vyovyote itakavyo tuko tayari kwa lolote, ubarikiwe na YESU,
 
Waweza kuwa sahihi kuwa Ukristo uliletwa na wakoloni,lakini hao wakoloni hawakuleta imani ya kukariri,ukristo una mfanya mtu wa Imani hiyo kuwa mtu mwenye kutafakari si kama Uislam ambao mtu akisha kuingia anakuwa na ugonjwa wa kushindwa kufikiri na kutafakari anakuwa mtu wa kukariri tu.
Ni aibu kwa Muislam kusema kama unavyosema kwamba 'hakuna Muislam wa kweli anae ingia Ukristo' huku ukijua kuwa Uislam ni dini ambayo binadam analazimishwa na kinyume chake akiacha dini hiyo anauawa,uislam unalindwa kwa silaha za kuulia watu,ukristo hauna ulinzi wa kishetani namna hiyo,ni Imani huru ambayo mtu yeyote mwenye busara hawezi kuiacha na kuibeza na tatizo la kibusara kubeza ukristo hasa kwa Muislam. Ukristo hauhitaji elimu ya dhati kwa maana ya kuariri,ukristo unahitaji busara ya kawaida kabisaaa.
Mpendwa hawa watu wana matatizo kupita maelezo na wanahitaji maombi yako zaida,Mungu anayeabudiwa na waislam ni shetani kwa mjibu wa imani ya etu,Ni Mungu gani? anaye amrisha watu wachinjwe wakiacha kufuata dini yake,Ni mungu gani ambaye anaomba msaada kwa binadamu eti wapiganie dini yake,Angalia baadhi ya amri za MUNGU wa waislam, kufuga ndevu, kupiga mswaki, kunyoa nywele za kwenye makwapa,Mkuu huu ni msiba.
 
tafakari haya ili ujue dini ya kweli ni ipi?
1. Sehemu yenye washirikina wengi ina wakazi wengi wakristu au waislamu?
2. Sehemu yenye matendo mengi ya ushoga wakazi wake wengi ni wa imani gani?
3.sehemu ambazo shetani na watoto wake majini wanheshimiwa sana watu wengi ni wa imani gani?

imani bila elimu ni hatari kuliko nyuklia

 
Ndo maana ya maoni mwisho wa siku lazima yachambuliwe!
 
jambo kubwa la pekee katika mchakato wa marekebisho ya katiba na utoajiwetu wa maoni si kuleta hisia na imani zetu ndani ya katiba ya nchi. Kila mtu ana dini yake na dini hiyo ina madai mbalimbali. Madai ya dini yako au yangu hayawezi kuingia kuwa sehemu ya katiba ambayo ni mwongozo mama wa maisha ya watanzania wote. Ninafurahi sana kuona watu wa dini ya kiislamu wakitoa maoni mazuri sana na kupinga maoni yale ya kiislamu ambayo si tu yanaleta hisia mbaya kwa wengine lakini pia yanaleta sura isiyofaa kwa dini hii ambayo huhusishwa sana na machafuko.

Naamini kabisa uhuru wa kutoa mawazo lakini wakati huu si wa uhuru tu wa kutoa mawazo bali ni wakati wa kuileta nchi yetu ya tanzania pamoja. Mimi ninamarafiki zangu wengi ambao si tu ni waislamu lakini ni mashekhe na viongozi wengine wa dini hiyo. Urafiki wetu umejengwa na utazidi kujengwa kwa kuilinda misingi mbalimbali iliyotuweka pamoja bila ya ubaguzi. Matatizo na mapungufu ya dini yako au yangu yatatuliwe kwa njia nyingine ifaayo zaidi.

Naomba notoe hoja kwamba masuala kama kadhi na mahakama ya kadhi si tatizo maana yanaimarisha imani na maisha kamili ya kiislamu. Pamoja na umuhimu huo hatuhitaji kuweka mfumo huo kwa njia ya katiba maana tayari katiba hata iliyopo inatoa uhuru wa kuabudu. Serikali imesharidhia kuwa mahakama hizo ziwepo na jana tayari hata kadhi mkuu ametangazwa kwa upande wa tanzania bara. Je, ametangazwa kwa katiba ipi? Hii ni ishara wazi kabisa kuwa mambo yanaweza kwenda vizuri kabisa bila kuleta migongano hii ambayo wengine wanaitaka. Waislamu nawaomba tushikamane wote na tuwe na umoja wa dini zote na hata wasio na dini. Maombo ya oic ni kwa nchi za kiislamu na maana hata katiba ya oic ipo wazi kabisa kuwa jumuiya hiyo ina malengo yake na moja ya malengo hayo ni kueneza dini ya kiislamu. Ni jambo nzuri kueneza dini hiyo lakini sasa lisiwe na kitaifa. Naomba waislamu tubaki kama tulivyokuwa miaka yote. Chembechembe hizi mnajua zinatoka wapi? Wengi wana hamu sana kuona nchi yetu ikiingia katika mafarakano, wanaingia kwa hoja ambazo kama huna akili nzuri utaona kama ni kutetea dini yako. Tufunguke na tuwe na akili ambayo rais kikwete aliisema alipokuwa akielezea juu ya mgomo wa walimu - kuhusu kong'osi na mbayuwayu. Ebu changanya akili yako na yale unayopewa. Ukifanya hivyo utakuwa mtanzania halisi na si kama tunavyoona baadhi ya mawazo huu eti dini yetu..........eti dini yao.............. Haaaaaaaaaaaaaaaa! Maneno haya ya kutafuta nani ni mchawi yataisha pale tutakapojishughulisha na kazi. Sio kupiga bao chini ya mwembe ahalafu unatafuta mchawi aliekuloga kwa kukosa mlo wa jioni. Umejiloga mwenyewe. Tunataka watu wasemee haya katika katiba na sio umbeya.

Asanteni.
jamani waislam tumeonewa vyakutosha sasa tunahitaji changes katba mpya lazma izingatie maoni ya waislam
 
Back
Top Bottom