Katiba mpya,wananchi na wadau tuangalie maeneo haya kwa kina - Tanzania kwanza

huu muundo wa serikali na muungano kwa ujumla unahitaji utulivu kuuamua ili kuondoa makelele ya mda mrefu mfano kusema kuwe na polisi ya muungano na washirika hapa utatokea mgongano hasa kiutendaji na kimamlaka.
 
Mie Tanganyika kwanza vinginevyo ibaki hivi hivi serikali mbili maana wengine tulishajizoelea na muundo huu kutokana na watu wa bara kumezwa na serikali ya muungani wakati wenzetu upande wa pili wana serikali yao pia ni beneficiary wa serikali ya muungano, mistake ilishafanyika tukawa na serikali mbili badala ya moja.

Kama serikali mbili imetushinda tujaribu serikali moja vinginevyo tujikatae mapema na sie tuwe na Tanganyika yenu na zanzibar ibaki kivyao maana serikali tatu ni uzushi tu wakati huo huo bado tena tupo kwenye shirikisho la Afrika mashariki. Kwani kama la serikali mbili au moja limeshindikana tukivunja muungano kuna shida gani hasa ukizingatia zanzibar na Tanganyika tuna uhusiano wenu wa kiasili hata kama tutakuwa nchi tofauti bado tunaweza tukaendeleza uhusiano wetu, mbona Kenya watu wanaingia na wanafanya tu shughuli zao kama kawa kama vile upo Dar tofauti ni kwamba unaingia na passport tu na bado hotel unalipa kwa rate zile zile (hapa kuna tofauti gani na mtu ambae anaishi Mwanza akaenda kwa shughuli binafsi Dar akafikia hotel akafanya yaliyompeleka na kurudi zake ndivyo hivyo na Zenji itakavyokuwa)
 
Jadiri hoja siyo sura za watu kama huwezi unaweza ukawa mjumbe msomaji wa mabandiko.

mkuu kunamajitu ya ajabu yenyewe kila kitu ni kejeli na matusi sijui wanamalezi gani lakini huu ni wakati wa kuungalia vema huu muungano na muundo wake kwani umekuwa ni kelo kwa mda mwingi ukiangalia rasimu nayo imekuja na mitihani mingi zaidi unawezaje kuwa na idara za usalama mbili kwenye nchi moja na majeshi mawili ya polisi ya polisi kwenye nchi moja hizo watafanyaje,
 
Kwa usalama wa ID yangu iwe active naomba kuachana na mjadala huu na sipendi kuchangia post yoyote ya Mwigulu, hata kama umeandika point nzuri kiasi gani ndani ya roho yangu nimekuweka kwenye kundi moja na Lucifer. Thats it i hate you.
 
Ni vizuri mkimueleza pia jinsi Ludovic alivyokuwa analia pale Mahakamani leo baada ya kukosa mtu wa kumdhamini, si vyema kumtelekeza mtoto wa watu baada ya kumtumia.
HAMY-D Njoo uongee na bosi wako hapa hii si tabia njema kabisa.
 
Last edited by a moderator:

kweli kabisa!
 
Tahira ww, kichaa mkubwa wewe, ukawa danganye wala punda wenzako wanyiramba kule singida, ww subiri uone udhalimu unao watenda watz hauta onja mauti kabla ya kuyaona malipo uaji wote uliopanga kwa uroho wa siasa na ccm yako,
shame upon you.
watz lazima wapate tanganyika yao, peleka ujinga wako kwa wauaji wenzako wa ccm
 
Tahira ww, kichaa mkubwa wewe, ukawa danganye wala punda wenzako wanyiramba kule singida, ww subiri uone udhalimu unao watenda watz hauta onja mauti kabla ya kuyaona malipo uaji wote uliopanga kwa uroho wa siasa na ccm yako,
shame upon you.
watu lazima wapate tanganyika yao, peleka utahira wako kwa wauaji wenzako wa ccm



 

naunga mkono hoja!
 

Huwa unaonekana kama Chizi. Anyway leo navunja mwiko, namgongea "mwendawazimu" like!
 
Today you want to be patriot after killing people in Arusha, U will still remain the most brainless person I have ever seen
 
Serikali tatu au mbili kwa Muungano wetu siyo tiba kabisa. Na hili hata Pinda aliongea lakini akashambuliwa akakana!. Huwezi kuwa na Serikali tatu halafu utegemee ufanisi wakati hata serikali mbili zimeshindwa.

Solution ni serikali moja au kuachana na huu Muungano!
 
Today you want to be patriot after killing people in Arusha, U will still remain the most brainless person I have ever seen

Changia hoja, acha vijembe, hii haijengi!
 



Tehteh!
Umeingia chakike,
kwa hizo sera zako watakutimua sasa hivi.,
Ama sivyo ukubaliane na sera zao.
 
Unajua nimeshtuka sana! Nilidhani Savimbi kafufukia humu JF, kumbe ni Mwigulu Mzee wa kuchamba! Katika hoja zako, hiyo ya kuendelea na serikali mbili haikubaliki kamwe! Tunataka sasa serikali tatu, tunataka Tanganyika yetu mliyoiua CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…