Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio taarifa inayotembea mitandaoni kwa sasa, hasa baada ya kikosi kazi cha serikali kinachoongozwa na Profesa Mukandala kusoma mapendekezo ambayo hayafahamiki yalikookotwa.
Mukandala huku akitetemeka (Ishara ya uongo), amependekeza kwamba mchakato wa Katiba mpya uanze baada ya Uchaguzi mkuu wa 2025, bado wananchi wanajiuliza ni wapi alikopata maoni hayo na ni nani waliohojiwa na kinachoitwa Kikosi kazi kilicho chini yake kilichojaa Mamluki wachumia tumbo.
Bali sasa Wananchi wa Tanzania kwa umoja wao wanapanga wiki ijayo kutangaza Kikosi kazi chao kitakachosimamia mchakato wa Katiba Mpya, inayopaswa kukamilika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025, gharama zote zitalipwa na Wananchi Wenyewe.
KATIBA MPYA NI SASA, SIYO BAADA YA 2025
Mukandala huku akitetemeka (Ishara ya uongo), amependekeza kwamba mchakato wa Katiba mpya uanze baada ya Uchaguzi mkuu wa 2025, bado wananchi wanajiuliza ni wapi alikopata maoni hayo na ni nani waliohojiwa na kinachoitwa Kikosi kazi kilicho chini yake kilichojaa Mamluki wachumia tumbo.
Bali sasa Wananchi wa Tanzania kwa umoja wao wanapanga wiki ijayo kutangaza Kikosi kazi chao kitakachosimamia mchakato wa Katiba Mpya, inayopaswa kukamilika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025, gharama zote zitalipwa na Wananchi Wenyewe.
KATIBA MPYA NI SASA, SIYO BAADA YA 2025