Hii ndio taarifa inayotembea mitandaoni kwa sasa , hasa baada ya kikosi kazi cha serikali kinachoongozwa na Profesa Mukandala kusoma mapendekezo ambayo hayafahamiki yalikookotwa .
Mukandala huku akitetemeka (Ishara ya uongo) , amependekeza kwamba mchakato wa Katiba mpya uanze baada ya Uchaguzi mkuu wa 2025 , bado wananchi wanajiuliza ni wapi alikopata maoni hayo na ni nani waliohojiwa na kinachoitwa Kikosi kazi kilicho chini yake kilichojaa Mamluki wachumia tumbo .
Bali sasa Wananchi wa Tanzania kwa umoja wao wanapanga wiki ijayo kutangaza Kikosi kazi chao kitakachosimamia mchakato wa Katiba Mpya , inayopaswa kukamilika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 , gharama zote zitalipwa na Wananchi Wenyewe .
KATIBA MPYA NI SASA , SIYO BAADA YA 2025
View attachment 2159876