Mngejua watu wana kiu ya pesa uku mtaani msingeangaika na katiba.
Katiba inaletaje maisha mazuri kwa mtanzania wa hali ya chini??
Success story ya katiba iliyoleta maisha mazuri ni nchi gani? Dubai? Singapore? Qatar?
Mnaanza tena??? Sasa sijui tutawaomba viongozi wa dini tena wakamuombe mama tena. Jamani, tafuteni hoja za msingi msimchokoze Rais.
Wajiandae tu kukamatwa na kutupwa Mwabe Pande, Mama si anashauriwa na Kikwete kwa kila kitu, subirini tu mtaona maana huu ndiyo ulikuwa mchezo wa Kikwete katika utawala wake.
Hivi kwanini mnaogopa sana katiba mpya.Dogo lala tena uote ,jaribuni kuwa watu wa maana Kila mtu anataka katia lakini lazima tufuate utaratibu sio lazima upete katiba ukiwa na chongo
USSR
Zoba hili lisilotaka kukubali ukweliKamtishe mamayo
Utamfuta huko aliko.....Dogo lala tena uote ,jaribuni kuwa watu wa maana Kila mtu anataka katia lakini lazima tufuate utaratibu sio lazima upete katiba ukiwa na chongo
USSR
Katiba mpya ni ya wananchi
Nyie hambadili katiba ya chama chenu au bado mnakomaa na PILATO wenu[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mjinga sana, ccm juzi wamebadili katiba yao je mamako kawekewa chongo??
Hacha kutisha watu we mbwa
Bado hawatambui kwamba vitisho havina nafasi tena Tanzania, hawa watu sijui akili zao zikoje.
Wametishia Ugaidi, wakaona watu hawatikisiki.
Hii ni mikiki ya mwisho mwisho, ndiyo maana unaona Maza Mizinguo anachanganyikiwa kabisa hajui afuate lipi. Iliyobaki sasa ni kuachia tu.
CHADEMA ni lazima wakazie hapo hapo. Hii ajenda ya Katiba Mpya wamepewa kama zawadi kwao.
Wasikose kuitumia ipasavyo.
Kwenye hiyo movement inabidi wapumbavu kama wewe muanze kuvunjwa miguu sababu akili zenu zimeshakuwa lemavu.Mnataka kuanzisha kikundi cha kigaidi muharibu amani yetu eti ee,tunawaangalia tu mnavyo washwa washwa na mmemisi segerea na ukonga,hakuna mwananchi mtamuona kwenye hayo maujinga.
Hivi una kiwango gani cha elimu wewe, tuanzie hapo? Eti "Katiba inaletaje maisha mazuri kwa mtanzania wa hali ya chini??"Mngejua watu wana kiu ya pesa uku mtaani msingeangaika na katiba.
Katiba inaletaje maisha mazuri kwa mtanzania wa hali ya chini??
Success story ya katiba iliyoleta maisha mazuri ni nchi gani? Dubai? Singapore? Qatar?
Kama kungekuwa na Katiba Bora mgogoro wa Ngorongoro na wamasai ungeshaisha kitambo sana.Umelima mahindi yako halafu Serikali inakunapangia bei na soko, hapo utapataje hiyo pesa? KATIBA MPYA ni muarobaini wa UHALIFU wote wa CCM, umeelewa sasa we kilaza?
Kwahiyo hujui uhusiano pamoja na kuwa unaamini wewe ni msomi mzuri? Unadhani Ulaya na marekani wana katiba kama ya Uganda na Rwanda?Hivi una kiwango gani cha elimu wewe, tuanzie hapo? Eti "Katiba inaletaje maisha mazuri kwa mtanzania wa hali ya chini??"
Unajua maana ya KATIBA?
Ni Kweli Nchi inahitaji KATIBA mpya halipingiki.Hii ndio taarifa inayotembea mitandaoni kwa sasa, hasa baada ya kikosi kazi cha serikali kinachoongozwa na Profesa Mukandala kusoma mapendekezo ambayo hayafahamiki yalikookotwa.
Mukandala huku akitetemeka (Ishara ya uongo), amependekeza kwamba mchakato wa Katiba mpya uanze baada ya Uchaguzi mkuu wa 2025, bado wananchi wanajiuliza ni wapi alikopata maoni hayo na ni nani waliohojiwa na kinachoitwa Kikosi kazi kilicho chini yake kilichojaa Mamluki wachumia tumbo.
Bali sasa Wananchi wa Tanzania kwa umoja wao wanapanga wiki ijayo kutangaza Kikosi kazi chao kitakachosimamia mchakato wa Katiba Mpya, inayopaswa kukamilika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025, gharama zote zitalipwa na Wananchi Wenyewe.
KATIBA MPYA NI SASA, SIYO BAADA YA 2025
View attachment 2159876
Katiba ya waeioba ipo.. isifanyiwe amendment yoyote ileHii ndio taarifa inayotembea mitandaoni kwa sasa, hasa baada ya kikosi kazi cha serikali kinachoongozwa na Profesa Mukandala kusoma mapendekezo ambayo hayafahamiki yalikookotwa.
Mukandala huku akitetemeka (Ishara ya uongo), amependekeza kwamba mchakato wa Katiba mpya uanze baada ya Uchaguzi mkuu wa 2025, bado wananchi wanajiuliza ni wapi alikopata maoni hayo na ni nani waliohojiwa na kinachoitwa Kikosi kazi kilicho chini yake kilichojaa Mamluki wachumia tumbo.
Bali sasa Wananchi wa Tanzania kwa umoja wao wanapanga wiki ijayo kutangaza Kikosi kazi chao kitakachosimamia mchakato wa Katiba Mpya, inayopaswa kukamilika kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025, gharama zote zitalipwa na Wananchi Wenyewe.
KATIBA MPYA NI SASA, SIYO BAADA YA 2025
View attachment 2159876