Katiba Mpya yaja, somo la awamu ya tano linatosha

Katiba Mpya yaja, somo la awamu ya tano linatosha

Sabaya ana siku 3 pale takukuru dar...akihojiwa tusubiri kama atapanda kisutu
 
Katiba mpya IPO, ilikuwepo tangu kuumbwa watu. Ni jukumu LA muundaji kitu kuandika KITABU cha maelezo namna kituo hicho kitumike vyema.

Na kwa vile wanadamu tumeundwa na Mungu, Yeye hawezi kukiuka mwendo huo.

Kwa hiyo KATIBA IHESHIMIWAYO Qur'anic 41:41 IPO LAKINI KUNA WATU WAMEIFICHA, QUR'AN 2:159; UFU 5:1, 6, 12.
 
Katiba mpya itaundwa tu.

Utawala wa awamu ya 5 ndiyo umeleta chachu na hamu ya uhitaji wa kuundwa kwa Katiba mpya. Kila kundi katika jamii linahitaji Katiba mpya. Wanaccm, Wapinzani, Wanaharakati, n.k.

Wananchi wa makundi mengi katika jamii hawakufurahishwa na mwenendo wa mwendazake lakini hawakuwa na namna ya kumdhibiti kwasabb Katiba hii mbovu inampa rais umungu Mtu. Ninaamini wasingependa kuona hali hii inajirudia tena. Hivyo hata wao wanataka Katiba mpya.

Katiba mpya yaja bandugu, maana hakuna kundi ambalo halikuonja machungu ya mwendazake.

Hata U-turn ya maamuzi, maoni na mitazamo ya viongozi waandamizi katika Serikali ni ushahidi tosha kuwa kila Mtu alikuwa anaburuzwa na mwendazake.

Nawahakikishia katiba mpya yaja.
Uh! Inakuja kujaje? Huyo muundaji ni nani?
 
Kwa jina la Mola wa JMT, hoja ya katiba mpya UMUHIMU wake, iendelezwe.

1- KATIBA IPO LAKINI IMEFICHWA (REJEA QUR'ANI 2:159), ILIKUWEPO TANGU MBINGU NA ARDHI KUUMBWA (REJEA QUR'ANI 9:36), NA ITAENDELEA KUWEPO MUDA WA ULIMWENGU HUU WA MADA KUENDELEA KUWEPO.

1) Suala la Katiba, sio suala la chama fulani cha SIASA!
2) A'a. Bali ni suala la kimaumbile asili ya UTU. Rejea Kutoka 25:8 "na wanijengee pahalavpatakatifu, ili niwe miongoni mwao".
3) Mtu mmoja, haina shida. Hali kadhalika watu wakiwa ni wawili, haina shida. Lakini watu wakiwa ni watatu au zaidi, shida imeingia. Lazima pawe na makubaliano Fulani wawezeshwe kuishi bila mikwaruzo. Na pakitokea mikwaruzo, nani wakumlalamikia, naye atachukua hatua gani? Pia ibainishwe wazi wazi, pindi watu wakikosea, wapi waparejelee.
4) Ni hapa pakurejelewa, ikiwa ni maandishi, ndiyo huitwa KATIBA. Ikiwa ni nyumba kuu. Huitwa IKULU. Ikiwa marejeo hayo ni mtu, huitwa MJUMBE; Vitu vi3-
A- katiba,
B- ikulu na
C- mjumbe
Vitu vitatu maarufu kuelekewa. Jumba aingialo Mjumbe (msimamizi), na humo anaingia na Katiba aliyoapa kuilinda.
5) Kwa maana ni KITABU chenye KUREJEZA NAMNA YA KUISHI WATU WA JAMII MOJA.

2- KATIBA NI MUONGOZO:

Ewe Mjamiiforamu tuko stand kuu ya mabasi Mjini.
1) Utawaona watu wakishuka kwenye Mabasi kuingia Mjini kutoka mashambani vijijini.
2) Kila aliyeshuka kutoka kijijini, huko kwao waliishi kama jamii moja yenye kushika vitu vitatu - asili ilikuwa ni:
a) mila (Yale yenye kheri na watu),
b) desturi (mwendo, taratibu za namba ya kuishi. miiko n.k) na
c) jadi (msimamizi wa uko - babu mkubwa).
3) Kimbembe hapa Mjini jamii tofauti tofauti zinakutana na kuishi pamoja, swali; WAISHI JE?

3- JAWABU:

1) Yule Muumbaji wetu WATU, katika maandiko matakatifu aliagiza Q2:38 "shukeni humo (MIJINI) atatuletea MUONGOZO (katiba) kutoka Kwake. Watakao ifuata, hawatakuwa na khofu wala huzuni" mwisho wa kunukuu.
{Eeeee wana jamiiforamu MPO? Tuendelee au tuache? Kwani itakuwa kupoteza muda na Mali ikiwa tutaendelea kuishi kwenye handaki la uvyama, udini na ukahaba Mjini, tulio zainishiwa na adui wetu na adui wa Mungu wetu watu weusi!

Kaka na Dada zangu, tutaendelea hivi mpaka lini? Tuepuke mawazo ya kufugwa (USHULE). Let us find our roots kwanza. Is it chadema, ccm or what? Watu tukisimama kwenye vyama vilivyoanzishwa na watu, kweli tutaona mbali? Tujitambue kwanza kuwa, sisi sio vizaliwa wa manyani. Bali vizazi tunaotokana na Manabii wa Mungu. Kutokea hapo, ndio tuanze kupanda ngazi moja baada ya nyingine}.
2) Kibosho 1 -mnanitia mashaka. Tunatakiwa kuwa basi moja. Lakini mbona kila mtu ana basi lake?

Modereta wapoooo?

Inatakiwa tuwe wakeli wa nia, maneno na matendo.

4- WANAJAMIIFORAMU TUKO TAYARI TUPANDE BASI MOJA?

utayari huu ni mzuri. Kwa hiyo moderetaz watupangie tukutane kwenye chumba. Ikibidi tuchangaie GHARAMA.
MADA SIKU HIYO:
TUUTAFUTE UKWELI WA AHADI YA MWENYEZI MUNGU KUTULETEA MWONGOZO {KATIBA}.
1) Eeee Mungu wa baba zetu weusi na baba zao Karume, Nyerere, Lumumba, Mkwawa, Kimweri n.k, Mungu wa pekee, wa kupigiwa kura ya ndio; sote wanajamiiforamu tunajisalimisha Kwako. Tupe MWONGOZO NA UTUKIRIMU. MANENO YAKO YAWE NA LADHA MASIKIONI MWA WOTE WAKUTAFUTAYE.
2) Wazungu watawala wametukaba pumzi, tunakufa kifo cha mende.
3) SALA YA BWANA (AL FAT'HA): Ewe Baba yetu uliye mbinguni, jina lako tunalitikuza na UFALME WAKO UMESHAKUJA DUNIANI ....
.........mpaka mwisho

Aaammina
 
Katiba ni muhimu kuliko ata suala la tofauti zetu ni muhimu kuliko ccm na chadema.

Kwakweli napata mashaka sana kwa mwanachama wa ccm anae pinga/kataaa kuundwa kwa katiba mpya
Hivi ndugu yangu inashangaa watu wanavyopinga katiba mpya. Mimi sishangai. Hebu pitisha vipeperushi vya kuuliza katiba ni nini nchi nzima kila mtanzania ajibu kisha majibu yake nakushauri ukayasubirie pembeni ya hospitali kwa sababu usipopata mshtuko unaweza kupata kichaa kabisa
 
Kwa jina la Mola wa JMT, mchanganuo huu wa KATIBA uendelee; kuwa HAKI ibainishwe MJI MKUU, ili wana wa mama weusi tutambue kuwa hakuna katiba ya Zamani na au Mpya. Mbona Waingereza KATIBA hawana, bali wao wanayo SHARIA na MILA zao? Sisi Wana wa mama mweusi, suala la katiba ya ZAMANI au MPYA, tunalitoa wapi?

KATIBA:

Mwaka 1959 ndio mwaka Wakoloni London, waliwasimamia wawakilishi wetu chini ya usimamizi wa waziri wao wa mambo ya ndani, wakatunukulia kitabu cha namba ya kitawala nchi. Kitabu hicho ndicho vijana wa JamiiForums wanakiita KATIBA YA ZAMANI.

1) ZAMANI:
Unaposema katiba ya ZAMANI, unalinganisha muda Fulani na wakati uliokuwepo. Kwani ZAMANI ni IPI hiyo?
Eh! Ni Kabla dunia haija umbwa, au kabla ya uhuru wa bendera au kipindi kabla ya wakoloni kuvamia maeneo yetu, au vipi?

Tambueni enyi vijana, ZAMANI sisi Wazee, KATIBA ilikuwepo kwa jina LA DESTURI. Zama za Wazee wetu kabla ya Mkoloni kutuvamia, tulishika mihimili mitatu ya UKOO-
a) MILA {hekima}
b) DESTURI {katiba} na
c) JADI {amir wa uko / rais}.
Tukashika DESTURI kuwa ndiyo katiba. Yetu. Kwa hiyo, mimi nikisema katiba mpya nitamaanisha DESTURI MPYA kufuatana na wakati uliopo ambao watu wenye mila na DESTURI tofauti tofauti, tunaishi pamoja kwenye nchi moja. Ni wakati kama huku, tufuate DESTURI ipi?

Zingatia pia kuwa, kuchanganywa huku; watu wa koo na kabila tofauti tofauti, haikuwa kwa hiari yetu, bali ilikuwa ni kwa hila za wakoloni. Hata walipokuja kutupa UHURU WA BENDERA, ikawa rahisi kwao kutushikisha utatu mtakatifu FISIDI-
a) serikali haina dini
b) katiba haina dini, na
c) mahakama yenyekufuata sheria bila SHARIA. Na ili kuuchunga uvamizi wao kudumu bila kipingamizi, wakatushikisha utatu mtakatifu dhulumaji-
a) polisi
b) mahakama na
c) jela.
Kwa namba hii, wakoloni wamemudu kututwala kwa rimoti kontroo. Na UHURU KAMILI imebaki kuwa ndiyo. Na hata mzee hayati Magufuli alidhamiria tupate uhuru w uchumi. Lo! wamemgaddafi. He angeta taka UHURU KAMILI, ingekuwa je?

UHURU KAMILI:

Enyi vijana! Uhuru KAMILI, neno hili mwaka 1963, wakati marehemu Nyerere alitembelea Marikani, lilitamkwa na Rais J.F KENEDY. Pale alipomuahidi
Nyerere kutusaidia tufikie UHURU KAMILI. Weeee! Walimuua. Si Nyerere au Magufuli tu. Wengi wengi wengi mno, wameuawa, pindi walipoitakia bara afrika Liwe na uhuru KAMILI.

Ikiwa tu nataka tujitawalw wenyewe Afrika, basi tutumie akili za kimbinguni! Sidi kwetu Roho ni Mbinguni. Baba yetu Yu HAI, Wala hafi. Nasi so wenye kufanya, bali ni kubadilishiwa MAKAZI TU. Kwetu roho ni mbinguni. Kisha tikapuliziwa matumboni mwa mama zetu tukiwa kwenye kiwiliwili kulichoundwa kutokana na udongo. Na kuja kuzaliwa diniani, kituo cha tatu.

Kwa hiyo tukidai katiba mpya kwenye kituo hiki cha tatu, ina maana katiba ya ZAMANI ni ile ya kituo cha pili tulipokuwa matumboni mwa mama zetu, n'vipi tulitawalia mambo yetu?! Na kwa vile Muumba wetu ndiye anayejua matumboni mwa Mama zetu tuliishije, hayumkini katika kituo hiki cha tatu - maisha ya dunia, tumsikize Mungu, Yeye katupangia nini?

MPANGO WA MUNGU:

Q2:38 shukeni humo (mijini), nitakuleteeni uongozi {KATIBA}, itokayo kwangu:
Ufu 5:1, 6, 12 Yule aliyeketi.... alishika kitabu (KATIBA) iliyo andikwa mbele na nyuma yenye IBARA 7........ Zimetumwa kwa walimwengu wote na kwa nyakati zote.........1) Uweza 2) Utajiri 3) Hukumu 4) Nguvu 5) Heshima 6) Utukufu na 7) Nataka.
Yoh 16:13 Yesu ana nukuliwa kusema kuwa, Kheri yeye aondoke ili aje Msaidizi (ROHO WA KWELI [sio roho mtakatifu ambaye ni Jibrilu. A' a, bali roho wa kweli naye ni MUHAMMAD), Akija huyo (Muhammad), atatuingiza kwenye kweli yote. Na kweli zile ibara saba alizopewa Yesu, Muhammad alikuja kuzibainisha wazi-
Q15:87 tumekupa Ibara saba na saba wenza na mwongozo mkubwa (ELIMU YA URAIA). Vitu hivi vitatu Muhammad alipewa:
a) aya (IBARA) 7 za Sura ya USHINDI kuwa ni KATIMA MAMA,
b) SABA WENZA ()miiko na
c) Mwongozo mkubwa Juz'u ya 30 (AMMAMMA TUISHIJE? 29 (TUBARIKIWE), na 28 (TUWE WADIKIVU). Yaani KATIBA MWENZA.

HIYO NDIYO KATIBA KWA WALIMWENGU WOTE NA KWA NYAKATI ZOTE. INA SURA 58 na IBARA 1176. Wayahudi wameificha!!!!!!

WENZANGU JAMIIFORUMS, MPO TUIDADAVUE?

NAANZA..........

1- Katiba ni kitabu chenye kuonyesha namba ya KUREJEZA jinsi ya watu kuishi.
2- Ni vitabu viwili katika kimoja (TWO IN ONE). Ni viwili kwa sababu Mwenyezi Mungu Kaumba kila kitu viwili viwili. Maarufu, kiume na kile.
3- Kwa maana hii basi, KATIBA ina kiume na kike. Au hasi na chanya:
a) USHINDI....
b) KATIBA IHESHIMIWAYO Q41:41.

TUANZE NA KATIBA MAMA......... itaendelezwa........
 
Katiba Mpya ndio Mwarobaini wa Matatizo ya Kisiasa , Kiuchumi na Kijamii yaliyopo nchini kwetu . Katiba tunayotumia sasa imepitwa na wakati . Katiba Mpya inaweza kukidhi mahitaji ya wakati tulionao sasa.
 
Wewe huoni kwamba suala la katiba mpya ni hitaji la watanzania wote?! Ujinga ni hatari sana.
Watanzania wote..!!??
Wee jamaa unajitambua kweli!??
Hata huyo unayemjibu anaonyesha wazi haihitaji, Sasa wewe Utaanzaje kusema ni wote.
Uhitaji unazingatia ufaidikaji. Kuna watu wanafaidika na Katiba iliyopo vip wewe useme wote wanahitaji Katiba mpya!?
Kama wote wahitaji Kuna haja gani ya kuipigania
 
KATIBA IHESHIMIWAYO Q41:41

Naendeleza kwa Jina la Mola wa JMT, kazi iendelee.

Maneno kama KATIBA MPYA, tuepukane nayo. Kwa sababu hakuna kitu kama hicho mbunguni wala aridhini. Hii ni kwa sababu kwenye SALA YA BWANA tunaomba "UFALME WA MUNGU UJE DUNIANI KAMA ULIVYO HUKO MBINGUNI".

1- UFALME~
Ufalme ni UTAWALA WA TAIFA wenye mihimili mitatu-
1) KASIR,
2) DESTURI {KATIBA} na
3) MFALME.
Babu yetu King James wa VI (Mfalme wa nchi ya wa In'g [england] na nchi ya wa Scot [scotland]), alikuwa mweusi (download Was King James VI a black); alijua kuwa Ufalme wa hapa ardhini unafanana na wa HUKO MBINGUNI. Akaandika Biblia inayotumiwa na Waanglikani hadi Leo. Ndio maana utawala wa Uingereza una endeshwa kutokea kwenye MAJUMBA MATATU na WASIMAMIZI WATATU~
1) IKULU YA BUCKINGHARM Alipo Malkia,
2) IKULU YA LAMBATH Alipo Askofu mkuu wa Kantibery, na
3) JUMBA LA BUNGE, Alipo Waziri Mkuu.

Watatu hawa kwenye nyumba hizo tatu, WAMESIMIKA UFALME WA MUNGU NCHINI MWAO GREAT BRITAIN (VISIWA VITATU)-
1] KASIR BUCKINGHARM
2] MILA YA KIBRITISH KINYAMKERA (mila YETU WATU WEUSI. Palipo simikwa jina LA Mungu [kimsingi kilichoinuliwa mbele ya Kasr la Malkia lenye visanamu kadhaa KINYAMKERA]) na
3] BRITISH LAWS -SHARIA Q45:18 (MIHIMILI YA UMMA MITATU - MALKIA, ASKOFU na WAZIRI MKUU MTOTO WA MALKIA INGAWA HAKUMZAA)~
1) MALKIA AKIWA NDIYE MWENYE NCHI NA NDIYE MKUU WA UANGLIKANI. Hapigiwi kura na wala hana vipindi.
2) ASKOFU MKUU WA KANTIBERY NDIYE MUWAKILISHI WA MUNGU NABII na
3) WAZIRI MKUU NI MTAWALA CHINI MITAANI KWA KUFUATA AMRI KUMI ZA MUNGU [10 DOWN STREET] -
Kwa nini (mbona), utajiri wa dunia unamwagikia kwao? NA HAWANA HIYANA. WAKAWEKA JUMBA LA NNE- JUMBA LA JUMUIA YA MADOLA ~CW (commonwealth [utajiri wa pamoja]). Visiwa vyao hawana mashamba, hawana madini, hawana misitu, wala wanyama pori, wala gesi, wala samaki, lakini ni nchi tajiri.

Sisi nchi zetu zinaendeshwa kwa NYUMBA NNE NA WASIMIZI WANNE WADIOKUWA NA BIKAO VYA PAMOJA ASILANI-
1) IKULU Alipo Rais asiye na dini kwenye utawala wake
2) SHEHE NA PADRI wasio na IKULU. Na hasa Shehe MKUU utamkuta amepanga Uswahilini. ASKOFU MKUU ni muajiriwa wa Vatikan.
3) WAZIR MKUU ni MKUU wa mawaziri na bungeni anawakilisha serikali.
Kwa namna hii, niambie tutatoka? iIkiwa SERIKALI NI MRADI WA WAZUNGU?

Ki vipi?

Ni mradi wa Wakoloni kwa sababu, WAZIRI MKUU na Mawaziri wenzake wameingia bungeni na pakeji ya kutaka waidhinishiwe mabilioni ya pesa kwa ajili ya kuendesha hicho kiitwacho serikali (sera za siri na Kali). Wizara 23 kupewa pesa -utajiri wa wananchi wanyonge kwenda kununulia vifaa vinavyo liwa na kutu kutoka EEU, AMERIKA NA BRICS!!!!


2- ULAGHAI:
Ni mbinu yao ya kutudumaza, tuzidi kuwa watumishi wao baada ya biashara ya utumwa. Mapinduzi ya viwanda kwetu yametufanya kuwa ndio SOKO lao. Kamwe hawatatuachia bara letu kujikwamua abadani. Kama sio kwa NJIA YA KIMBUNGUNI hatutoki. Ndiyo njia Mola wetu aliyo tufunza watu weusi (uzao wakinabii). TUFUATE YALE MUNGU ALIYOTUTEREMSHIA, atupe ulinzi kutoka Kwake Q5:67~
1) katiba iheshimiwayo yenye two in one,
2) hekima na
3) Hakika UFUNUO HUU UMEFICHWA Q2:159 NA UNAZUILIWA Q2:146-7 kwetu watu wa bara letu - BARA LA WATU.

Ni Magufuli alianza na KAULI MBIU HII (MUNGU TUMUWEKE MBELE) ...........

ah! Walisema kafa kwa ugonjwa wa moyo..... Lakini KAZI IENDELEE. hili ndio muhimu. Bali tuanzie wapi? Hilo ndilo SWALI.

FROM WHERE SHALL WE BEGIN?

itaendelezwa

Watanzania wote..!!??
Wee jamaa unajitambua kweli!??
Hata huyo unayemjibu anaonyesha wazi haihitaji, Sasa wewe Utaanzaje kusema ni wote.
Uhitaji unazingatia ufaidikaji. Kuna watu wanafaidika na Katiba iliyopo vip wewe useme wote wanahitaji Katiba mpya!?
Kama wote wahitaji Kuna haja gani ya kuipigania
KATIBA IHESHIMIWAYO Q41:41:

Hatuhitaji kuandika KATIBA. Na KATIBA YA NCHI tuliyonayo, sio KATIBA kama ilivyo. Bali hii, kwa lugha yao ni CONSTITUTION (tazama neno constitution kweny kamusi). Yaani kitabu chenye kurejelewa kwa mambo ya utawala na uongozi, KAMA WAKOLONI WALIVYO TUASISIA; na sio kitabu chenye mfumo wa namna ya watu KUISHI, KAMA MUUMBA WETU TULIVYO KUBALIANA NAYE KWETU MBINGUNI na kuingia naye mikataba Q7:172-174.

KATIBA Mungu aliyo tuletea ina Vitabu viwili katika kimoja. Jumla ina Ibara 1176 katika SURA 58. Ila KATIBA HII wazungu watawala WAMEIFICHA kwenye vyuo vya Kiislamu. Maarufu -MADRASA.

......itaendelezwa
 
KATIBA IHESHIMIWAYO (muendelezo)~

1- JUZ'U AMMA
Wale wenye majina ya Kiarabu, wanaijua JUZ'U AMMA kuwa ni kitabu cha awali kwa mwanafunzi wa MADRASA.

Hapana!!!!

Hiki kitabu cha Mwanafunzi wa MADRASA ndiyo KATIBA.

EE!! Kivipi?

2- USHAHIDI WA KIAKILI~
1) KATIBA ya nchi ina NEMBO. KATIBA ya chama pia ina NEMBO. Na ndicho Juz'u Amma nayo kwenye jalada ina NEMBO ya SINAGOGI.
2) Ndani ukurasa wa kwanza IPO dua mbili. Tuombe kuzidishiwa ELIMU na turuzukiwe UFAHAMU. Na chini yake iko PICHA ya SINAGOGI TAKATIFU LA MAKKA - ALKAABA {kuwa ndio jumba umoja wa mataifa}.
3) Ukurasa unaofuata una ALAMA ZA MUNGU TATU.
a- SINAGOGI .......ikulu
b) NYOTA,.............mjumbe na
c) MWEZI...............KATIBA.
4) Chini ya picha hiyo ya nyota, SINAGOGI na mwezi; kuna maneno, sentenso KAMILI- iliyo jengwa kwa HERUFI 19 na Maneno SITA. Kila herufi ni JINA LA MUNGU. Na kila neno ni JINA la UNGU. KWA HIYO 19+6 =25 majina 25ya Mungu yenye Utendaji.
5) Chini ya sentensi hiyo, ndio unakuta HERUFI 26 za alphabeti, na sote ni jumla ya majina ya Mungu wanayo jumuisha utawala, uongozi, hekima, huruma, uadilifu, nguvu, kheri.........itaendelezwa
 
Watanzania wote..!!??
Wee jamaa unajitambua kweli!??
Hata huyo unayemjibu anaonyesha wazi haihitaji, Sasa wewe Utaanzaje kusema ni wote.
Uhitaji unazingatia ufaidikaji. Kuna watu wanafaidika na Katiba iliyopo vip wewe useme wote wanahitaji Katiba mpya!?
Kama wote wahitaji Kuna haja gani ya kuipigania
Kila mtu anahitaji sheria mpya zilizo bora zaidi na utawala bora kuliko huu, hata wale wasio na fahamu nzuri wanahitaji katiba mpya!
 
Back
Top Bottom