KATIBA IHESHIMIWAYO Q41:41
Naendeleza kwa Jina la Mola wa JMT, kazi iendelee.
Maneno kama KATIBA MPYA, tuepukane nayo. Kwa sababu hakuna kitu kama hicho mbunguni wala aridhini. Hii ni kwa sababu kwenye SALA YA BWANA tunaomba "UFALME WA MUNGU UJE DUNIANI KAMA ULIVYO HUKO MBINGUNI".
1- UFALME~
Ufalme ni UTAWALA WA TAIFA wenye mihimili mitatu-
1) KASIR,
2) DESTURI {KATIBA} na
3) MFALME.
Babu yetu King James wa VI (Mfalme wa nchi ya wa In'g [england] na nchi ya wa Scot [scotland]), alikuwa mweusi (download Was King James VI a black); alijua kuwa Ufalme wa hapa ardhini unafanana na wa HUKO MBINGUNI. Akaandika Biblia inayotumiwa na Waanglikani hadi Leo. Ndio maana utawala wa Uingereza una endeshwa kutokea kwenye MAJUMBA MATATU na WASIMAMIZI WATATU~
1) IKULU YA BUCKINGHARM Alipo Malkia,
2) IKULU YA LAMBATH Alipo Askofu mkuu wa Kantibery, na
3) JUMBA LA BUNGE, Alipo Waziri Mkuu.
Watatu hawa kwenye nyumba hizo tatu, WAMESIMIKA UFALME WA MUNGU NCHINI MWAO GREAT BRITAIN (VISIWA VITATU)-
1] KASIR BUCKINGHARM
2] MILA YA KIBRITISH KINYAMKERA (mila YETU WATU WEUSI. Palipo simikwa jina LA Mungu [kimsingi kilichoinuliwa mbele ya Kasr la Malkia lenye visanamu kadhaa KINYAMKERA]) na
3] BRITISH LAWS -SHARIA Q45:18 (MIHIMILI YA UMMA MITATU - MALKIA, ASKOFU na WAZIRI MKUU MTOTO WA MALKIA INGAWA HAKUMZAA)~
1) MALKIA AKIWA NDIYE MWENYE NCHI NA NDIYE MKUU WA UANGLIKANI. Hapigiwi kura na wala hana vipindi.
2) ASKOFU MKUU WA KANTIBERY NDIYE MUWAKILISHI WA MUNGU NABII na
3) WAZIRI MKUU NI MTAWALA CHINI MITAANI KWA KUFUATA AMRI KUMI ZA MUNGU [10 DOWN STREET] -
Kwa nini (mbona), utajiri wa dunia unamwagikia kwao? NA HAWANA HIYANA. WAKAWEKA JUMBA LA NNE- JUMBA LA JUMUIA YA MADOLA ~CW (commonwealth [utajiri wa pamoja]). Visiwa vyao hawana mashamba, hawana madini, hawana misitu, wala wanyama pori, wala gesi, wala samaki, lakini ni nchi tajiri.
Sisi nchi zetu zinaendeshwa kwa NYUMBA NNE NA WASIMIZI WANNE WADIOKUWA NA BIKAO VYA PAMOJA ASILANI-
1) IKULU Alipo Rais asiye na dini kwenye utawala wake
2) SHEHE NA PADRI wasio na IKULU. Na hasa Shehe MKUU utamkuta amepanga Uswahilini. ASKOFU MKUU ni muajiriwa wa Vatikan.
3) WAZIR MKUU ni MKUU wa mawaziri na bungeni anawakilisha serikali.
Kwa namna hii, niambie tutatoka? iIkiwa SERIKALI NI MRADI WA WAZUNGU?
Ki vipi?
Ni mradi wa Wakoloni kwa sababu, WAZIRI MKUU na Mawaziri wenzake wameingia bungeni na pakeji ya kutaka waidhinishiwe mabilioni ya pesa kwa ajili ya kuendesha hicho kiitwacho serikali (sera za siri na Kali). Wizara 23 kupewa pesa -utajiri wa wananchi wanyonge kwenda kununulia vifaa vinavyo liwa na kutu kutoka EEU, AMERIKA NA BRICS!!!!
2- ULAGHAI:
Ni mbinu yao ya kutudumaza, tuzidi kuwa watumishi wao baada ya biashara ya utumwa. Mapinduzi ya viwanda kwetu yametufanya kuwa ndio SOKO lao. Kamwe hawatatuachia bara letu kujikwamua abadani. Kama sio kwa NJIA YA KIMBUNGUNI hatutoki. Ndiyo njia Mola wetu aliyo tufunza watu weusi (uzao wakinabii). TUFUATE YALE MUNGU ALIYOTUTEREMSHIA, atupe ulinzi kutoka Kwake Q5:67~
1) katiba iheshimiwayo yenye two in one,
2) hekima na
3) Hakika UFUNUO HUU UMEFICHWA Q2:159 NA UNAZUILIWA Q2:146-7 kwetu watu wa bara letu - BARA LA WATU.
Ni Magufuli alianza na KAULI MBIU HII (MUNGU TUMUWEKE MBELE) ...........
ah! Walisema kafa kwa ugonjwa wa moyo..... Lakini KAZI IENDELEE. hili ndio muhimu. Bali tuanzie wapi? Hilo ndilo SWALI.
FROM WHERE SHALL WE BEGIN?
itaendelezwa
Watanzania wote..!!??
Wee jamaa unajitambua kweli!??
Hata huyo unayemjibu anaonyesha wazi haihitaji, Sasa wewe Utaanzaje kusema ni wote.
Uhitaji unazingatia ufaidikaji. Kuna watu wanafaidika na Katiba iliyopo vip wewe useme wote wanahitaji Katiba mpya!?
Kama wote wahitaji Kuna haja gani ya kuipigania
KATIBA IHESHIMIWAYO Q41:41:
Hatuhitaji kuandika KATIBA. Na KATIBA YA NCHI tuliyonayo, sio KATIBA kama ilivyo. Bali hii, kwa lugha yao ni CONSTITUTION (tazama neno constitution kweny kamusi). Yaani kitabu chenye kurejelewa kwa mambo ya utawala na uongozi, KAMA WAKOLONI WALIVYO TUASISIA; na sio kitabu chenye mfumo wa namna ya watu KUISHI, KAMA MUUMBA WETU TULIVYO KUBALIANA NAYE KWETU MBINGUNI na kuingia naye mikataba Q7:172-174.
KATIBA Mungu aliyo tuletea ina Vitabu viwili katika kimoja. Jumla ina Ibara 1176 katika SURA 58. Ila KATIBA HII wazungu watawala WAMEIFICHA kwenye vyuo vya Kiislamu. Maarufu -MADRASA.
......itaendelezwa