KATIBA PENDEKEZWA,Ni VIZURI KUWA NA HOJA KULIKO UBISHI BILA DIRA

KATIBA PENDEKEZWA,Ni VIZURI KUWA NA HOJA KULIKO UBISHI BILA DIRA

sentino2015

Senior Member
Joined
Apr 9, 2015
Posts
176
Reaction score
30
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia hoja zetu katika katiba PENDEKEZWA!mwingine unakuta anabisha na kusema hapana kwa katiba pendekezwa wakati Hana Upande wa ndiyo!sasa ujenzi wa taifa lolote hapana bila sababu ya msingi ni ufarisayo!taifa litajengwa na wenye moyo hebu tufikiri kwa maunufaa na si kufikiri kwa Hamasa zisizo na dira!nauliza hivi kweli katiba pendekezwa yaweza kubezwa kirahisi kwa madai Kuwa haifai bila hata kuisoma na kuielewa?
 
10408656_791167674266173_4239474630871864397_n.jpg
Kijana TIMIZA WAJIBU WAKO KWA FAIDA YA TAIFA
 
View attachment 242625
Kijana TIMIZA WAJIBU WAKO KWA FAIDA YA TAIFA


Ubarikiwe kwa kuienzi moja ya alama ya Taifa letu, Bendera ya Taifaa japokuwa huna heshima kwa nchi yako, alama hii muhimu imetajwa ndani ya Katiba Inayopendekezwa sura ya kwanza Ibara ya 3!Watanzania wa sasa hawana mawazo kama yako wanajielewa na wataipigia kura kuipa ridhaa katiba inayopendekezwa ili kuona fikra mgando na utovu wa nidhamu wa kuchezea alama ya utambulisho wa Taifa la Tanzania kwa kuweka art work!! Hii inaonyesha ni jinsi gani usivyokuwa na uzalendo,usivyojli utaifa wako na usivyokuwa na msaada wa aina yoyote kwa taifa la Tanzani.
 
Ubarikiwe kwa kuielenzi moja ya alama ya Taifa letu, Bendera ya Taifa. Ambayo imetajwa ndani ya Katiba Inayopendekezwa sura ya kwanza Ibara ya 3!Watanzania wa sasa hawana mawazo kama yako wanajielewa na wataipigia kura kuipa ridhaa katiba inayopendekezwa ili kuona fikra mgando na utovu wa nidhamu wa kuchezea alama ya utambulisho wa Taifa la Tanzania kwa kuweka art work!! Hii inaonyesha ni jinsi gani usivyokuwa na uzalendo,usivyojli utaifa wako na usivyokuwa na msaada wa aina yoyote kwa taifa la Tanzani.
hajielewei huyo kaka achana naye maana hiyonavatr yake na mwenyewe anaonekana kuwa akilimzakemhazina akili.
 
Ubarikiwe kwa kuienzi moja ya alama ya Taifa letu, Bendera ya Taifaa japokuwa huna heshima kwa nchi yako, alama hii muhimu imetajwa ndani ya Katiba Inayopendekezwa sura ya kwanza Ibara ya 3!Watanzania wa sasa hawana mawazo kama yako wanajielewa na wataipigia kura kuipa ridhaa katiba inayopendekezwa ili kuona fikra mgando na utovu wa nidhamu wa kuchezea alama ya utambulisho wa Taifa la Tanzania kwa kuweka art work!! Hii inaonyesha ni jinsi gani usivyokuwa na uzalendo,usivyojli utaifa wako na usivyokuwa na msaada wa aina yoyote kwa taifa la Tanzani.
unaandika kama unakimbizwa jabza za nini unataka tufanane mawazo wote labda upeo wako wa kufikiria ndo umeishia huna jipya taifa la tanzania halihitaji vijana wenye upeo mdogo kama wako linahitaji vijana wenye uzalendo wenye uwezo wa kukemea uovu wa serikali bila woga tambua humu JF kila mtu ana huru wa kutoa maoni yake kwa uhuru
View attachment 242704
Hatuwezi kukubali kuandika katiba na mafisadi .
 
hajielewei huyo kaka achana naye maana hiyonavatr yake na mwenyewe anaonekana kuwa akilimzakemhazina akili.

ID yako EBOLA HATARI safi sana CCM ni zaidi ya EBOLA ni hatari zaidi.
 
hajielewei huyo kaka achana naye maana hiyonavatr yake na mwenyewe anaonekana kuwa akilimzakemhazina akili.

rudi darasani ukajifunze kuandika kiswahili akilizakemhazina akili ndo nini
 
Hakuna wahuni wa ccm kule mwaka huu tunataka kusafisha kabisa hao masalia waliobakia.
wapuuzi nyie mnajidanganya kwanza wenzenu katiba wameikubali na wameahidi kusema Ndiyooo, nyie viraka hamjitambui ndo mnaocuta bangi na kunywa viroba mtaani.
 
wapuuzi nyie mnajidanganya kwanza wenzenu katiba wameikubali na wameahidi kusema Ndiyooo, nyie viraka hamjitambui ndo mnaocuta bangi na kunywa viroba mtaani.
sasa kama mmeshahadiwa kura za ndiyo mbona mnaweweseka sana wajinga nyie
View attachment 242869
haya ngoja tuone huu mchezo wenu
 
wewe weka katuni weee lakn majibu yake utayapata cku inapopita hii katiba ndo utajifuma kuwa ulikuwa unapoteza muda wako bureee kabisaaa.
mwaka huu mtakuwa machizi kura za katiba yenu ya ccm zinapigwa lini
 
Back
Top Bottom