KATIBA PENDEKEZWA,Ni VIZURI KUWA NA HOJA KULIKO UBISHI BILA DIRA

KATIBA PENDEKEZWA,Ni VIZURI KUWA NA HOJA KULIKO UBISHI BILA DIRA

unaandika kama unakimbizwa jabza za nini unataka tufanane mawazo wote labda upeo wako wa kufikiria ndo umeishia huna jipya taifa la tanzania halihitaji vijana wenye upeo mdogo kama wako linahitaji vijana wenye uzalendo wenye uwezo wa kukemea uovu wa serikali bila woga tambua humu JF kila mtu ana huru wa kutoa maoni yake kwa uhuruView attachment 242704Hatuwezi kukubali kuandika katiba na mafisadi .
Kwa taarifa yako niko timamu kuliko wewe!huwezi kushabikia ujinga afu ukaachwa tu kwani nakuogopa, hilo haliwezekani,kama unafikiri muda wa kuzuga watu umefika close your uondoke!Wantanzia wameshaanza kujipanga kupiga kura wanasubiri siku ifike iwe mvua, jua au masika,hiyo katiba itaungwa mkono!l
 
Kwa watanzania tulio makini tunatambua kuwa katiba inayopendekezwa ni matunda ya maoni yetu hivyo ni lazima tujiandikishe na wakati ukifika tupige kura ya maoni kwa nguvu zote ili taifa lisonge mbele,watanzania wenzangu nchi yetu tuijenge kwa kuweka uzalendo mbele,tanzania kwanza
 
Kamuulize mmeo hayo maswali ya kipuuzi, kwani we unaishi nchi gani hata usilolijua linaloendelea. Wanapiga leo!

kutukana ni dalili za kuishi hoja mimi sina muda wa kushindana na muovu kama wewe
 
Wewe unashabikia nini sasa hapa hujui taifa lako linakwenda wapi?hufuatilii taarifa za nchi yako unakalia kulipuka tu!subiri utaambiwa siku na Tume ya uchaguzi.

una mawazo mgando kama akili yako wamekutoa lini mirembe wewe kichaa.
 
Wewe umejaza nini kama sio uzandiki na unafiki!

ukishindana na kichaa na wewe unaweza kuonekana ni kichaa bora nkuache wewe kichaa unaendelea na mawazo yako kinafiki na kimbea hivi wewe ni jinsia gani kwanza usikute nashindana na demu .
 
ukishindana na kichaa na wewe unaweza kuonekana ni kichaa bora nkuache wewe kichaa unaendelea na mawazo yako kinafiki na kimbea hivi wewe ni jinsia gani kwanza usikute nashindana na demu .

Nina jinsia uliyonayo wewe,ha ha ha na kweli mawazo yako mbilikimo badala ya kuweka hoja unauliza jinsia au wewe ni mbakaji nini?
 
View attachment 242625
Kijana TIMIZA WAJIBU WAKO KWA FAIDA YA TAIFA
Acha kutumia bendera ya Taifa vibaya. Wewe unaonekana hata unachokisema hukijui. vinginevyo ungesema kwa hekima ndogo tu kuwa tuisome vizuri Katiba Inayopendekezwa na kuielewa vizuri na mwisho wa siku tufanye maamuzi sahihi. Informed decisions. Mambo ya kusema hapana tu bila msingi hayo waachie watu wa kijiweni ambao hata hawajaisoma Katiba Inayopendekezwa. Nadhani umenielewa na utabadilika kwani si kosa lako bali malezi uliyolelewa ndiyo shiida!
 
Acha kutumia bendera ya Taifa vibaya. Wewe unaonekana hata unachokisema hukijui. vinginevyo ungesema kwa hekima ndogo tu kuwa tuisome vizuri Katiba Inayopendekezwa na kuielewa vizuri na mwisho wa siku tufanye maamuzi sahihi. Informed decisions. Mambo ya kusema hapana tu bila msingi hayo waachie watu wa kijiweni ambao hata hawajaisoma Katiba Inayopendekezwa. Nadhani umenielewa na utabadilika kwani si kosa lako bali malezi uliyolelewa ndiyo shiida!
View attachment 242998
hawa ndo wako sahihi kwa upeo wako mdogo wa kufikiria.
 
Back
Top Bottom