Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Kwa taarifa yako niko timamu kuliko wewe!huwezi kushabikia ujinga afu ukaachwa tu kwani nakuogopa, hilo haliwezekani,kama unafikiri muda wa kuzuga watu umefika close your uondoke!Wantanzia wameshaanza kujipanga kupiga kura wanasubiri siku ifike iwe mvua, jua au masika,hiyo katiba itaungwa mkono!lunaandika kama unakimbizwa jabza za nini unataka tufanane mawazo wote labda upeo wako wa kufikiria ndo umeishia huna jipya taifa la tanzania halihitaji vijana wenye upeo mdogo kama wako linahitaji vijana wenye uzalendo wenye uwezo wa kukemea uovu wa serikali bila woga tambua humu JF kila mtu ana huru wa kutoa maoni yake kwa uhuruView attachment 242704Hatuwezi kukubali kuandika katiba na mafisadi .