Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Jamani watu wenye mawazo yakutugawa ni wakuogopwa kama ukoma,katiba imayopendekezwa ni yetu sote na hatuko tayari kuwaruhusu watu wachache wapandikize mbegu za chuki,kama wewe sio mtanzania huwezi kuwa na uchungu na nchi hii,yuachie nchi yetu,katiba inayopendekezwa tumeandika wenyewe na tutaipigia kura ya ndioo........wakati ukifika.si katiba yetu.