Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
We kama unawekewa mb8 plus jero jero na Ukawa kazi kwako, mie nawka kwa pesa zangu na bhana we si ndo mchumia tumbo ndo mana toka asubuhi uko humu ndani wala hukauki. Hahahaha
Naona imekuumiza sana pole kwa hilo piga hesabu tangia asubuhi hadi sasani mb ngapi zimetumika? Pole sana kiongozi